Mechi ya Simba na Yanga imesogezwa hadi sa Moja Usiku

Mechi ya Simba na Yanga imesogezwa hadi sa Moja Usiku

utopolo kapata mwanya na kisingizio cha kukacha mechi ili kukwepa kichapo cha mbwa mwizi!!
Utopolo atapewa pointi 3 za mezani, iko hivi:
Yanga wataingiza timu uwanjani saa 11.00 joini. Ikifika saa 11.30 joini wataitoa timu uwanjani wakidai simba kaingia mitini!
Simba ataingiza timu uwanjani saa 1.00 usiku. Atawasubiri utopolo hadi saa 1.30 refa atapuliza kipenga cha mwisho na kutoa pointi 3 na magoli 2 kwa simba! Yanga watakata rufaa na itakataliwa na tff. Mwisho wa siku utopolo watakata rufaa fifa, na ikifika huko utopolo atashinda rufaa yake asubuhi!!! Simba atanyang'anywa zile pointi 3 na magoli mawili, kisha utopolo watapewa pointi 3 na magoli 2. Mwisho wa mchezo!
Hili dili limepangwa na yanga wenyewe halafu saa hii wanajifanya kulalamika. Cha kufanya kwa simba na wao waingize timu uwanjani hiyo saa 11.00 jioni! Hapo janja ya utopolo itakuwa imegonga mwamba.
 
Hujui mpira. Nyie ndio mnaoendeshwa kama mapunda mnabaki kufurahia.
utopolo kapata mwanya na kisingizio cha kukacha mechi ili kukwepa kichapo cha mbwa mwizi!!
Utopolo atapewa pointi 3 za mezani, iko hivi:
Yanga wataingiza timu uwanjani saa 11.00 joini. Ikifika saa 11.30 joini wataitoa timu uwanjani wakidai simba kaingia mitini!
Simba ataingiza timu uwanjani saa 1.00 usiku. Atawasubiri utopolo hadi saa 1.30 refa atapuliza kipenga cha mwisho na kutoa pointi 3 na magoli 2 kwa simba! Yanga watakata rufaa na itakataliwa na tff. Mwisho wa siku utopolo watakata rufaa fifa, na ikifika huko utopolo atashinda rufaa yake asubuhi!!! Simba atanyang'anywa zile pointi 3 na magoli mawili, kisha utopolo watapewa pointi 3 na magoli 2. Mwisho wa mchezo!
Hili dili limepangwa na yanga wenyewe halafu saa hii wanajifanya kulalamika. Cha kufanya kwa simba na wao waingize timu uwanjani hiyo saa 11.00 jioni! Hapo janja ya utopolo itakuwa imegonga mwamba.
 
Jamaa wamegoma??
Yeah
IMG-20210508-WA0251.jpg
 
sijaelewa kisa Ramadhan ndiyo mechi ichezwe saa moja?

Mbona Kwa resma haikua hivyo, wasituletee mambo ya kidini watu tumetoka majumbani toka saa tano mi TFF inakera sana
Msengeee ww. Umeisoma vzr hio taarifa ya tff. Kuna sehemu yoyote imesema issue ya kufunga. KIAZ wEWE
 
Utopolo kakimbia kipigo cha mbwa mwizi! Ni kweli haikuwa sahihi kusogeza mbele muda wakuanza mechi kwa taarifa ya muda mfupi, lakini si busara kugomea mechi! Kilichohamasisha utopolo kugoma ni kuwa wameona ni upenyo wa kutoroka kipigo cha mbwa mwizi! Hii kwao ni fursa!!
 
Msengeee ww. Umeisoma vzr hio taarifa ya tff. Kuna sehemu yoyote imesema issue ya kufunga. KIAZ wEWE

okaay sababu mama yako ajakufunza ustaarabu acha walimwengu tukufunze, alieleta taarifa mwanzo alisema sababu ya ramadhan.

Asante kwa kunitukana sijaumia popote, naomba tusi lingine ilo limezoeleka sanaaaaaa!!
 
Ila nimeudhika jamani hivi hii hela yangu ya kiingilio si ningeitumia mambo mengine!! Wizara mmetukosea sana
 
Kuna watu wajinga wajinga sana.. Sasa mnailamu TFF kwa lipi wakt wao wamepokea maelekezo ya wizara
 
Kuna watu wajinga wajinga sana.. Sasa mnailamu TFF kwa lipi wakt wao wamepokea maelekezo ya wizara
Make no mistake, washabiki tunataka majibu

Hayo maelekezo ni yapi? Wameshindwa kutangaza kuwa ni 1,2,3 wewe unasema maelekezo toka wizarani...Yapi? Dharura ipi? Kama case ya kubadilishwa muda ilikuwa inajulikana tangu jana, why wasingetangaza jana

Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom