Mechi ya Simba na Yanga imesogezwa hadi sa Moja Usiku

Hiv Ramadhan n Simba na yanga tu inamana timu zingine hazina Ramadhan kweli tuna viongoz vibuyu kuwah kutokea
 
Kuna wavuta BANGI wanataka kukimbia.
Sie hata point za mezani tunachukua.
MPIRA SAA 1 USIKU
 
Hivi yanga walivyo na maneno wakifungwa wameshapata sababu.Watadai Wachezaji wao wameharibiwa kisaikolojia.Wizara na TFF ilipaswa wajiongeze.
 
Safi kabisa,waliofunga wapate kufturu na Wasabato jua litakuwa limezama,
 
Bodi ya ligi na Tff hawajielew na hawajitambui wao ndo wao ndo wasimamiz wa mpira wa miguu Kwa nn waongozwe na wizara
 
View attachment 1777448






======

Maamuzi sahihi lakini walitaliwa waamue at least siku 3 kabla sio siku ya mechi.

Aliyepanga mwanzoni saa 11 mwezi wa ramadhani ana matumizi mabovu ya akili aondolewe kabisa kwenye upangaji wa kitu chochote
Kwani hii ndio mechi ya kwanza kuchezwa ndani ya mwezi ya huu wa Ramadhani? Kwani Simba hakucheza mechi yoyote ndani ya mwezi huu wa Ramadhani? Na Yanga hakucheza mechi yoyote ndani ya mwezi huu wa Ramadhani?
 
Mwenye maamuzi ya .mwisho NI TFF mechi NI saa 1 usiku.
Hyo saa 11 jioni watacheza na misukule Yao.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
WAENDE WAKAPIGE RAMLI TENA YA SAA 1 USIKU.
maana mganga aliwaanbia saa 11 wangeshinda.
Watu wamepindua
Ona Sasa wameanza Waziri na TFF wanalakujibu hapa.Bonge la kosa watajutia kwa Yanga navyo wajua.
 
Alikuwa na akili kama zako tu

WOTE UTOPOLO

Kwanini hukushauri before? Ndio unajua leo kuna mfungo?

Mechi nyingine zooote huwa zinakuwa affected na mfungo?

Utopolo mna kazi
Kubadilisha muda sio tatizo, tatizo ni kubadilisha muda wakati mashabiki tayari wako uwanjani

Walitakiwa kubadilisha muda siku 3/4 kabla ya mchezo
 
Kwani hii ndio mechi ya kwanza kuchezwa ndani ya mwezi ya huu wa Ramadhani? Kwani Simba hakucheza mechi yoyote ndani ya mwezi huu wa Ramadhani? Na Yanga hakucheza mechi yoyote ndani ya mwezi huu wa Ramadhani?
Kosa walilofanya ni kubadili muda siku ya mchezo wakati mashabiki tayari wako uwanjani, kama wangebadili muda siku 3/4 kabla ya mchezo isingekuwa tatizo
 
Kama namuona bwana Nugaz atakavyotembea na hii kadhia kama chaka la kujifichia.
 
utopolo kapata mwanya na kisingizio cha kukacha mechi ili kukwepa kichapo cha mbwa mwizi!!
Utopolo atapewa pointi 3 za mezani, iko hivi:
Yanga wataingiza timu uwanjani saa 11.00 joini. Ikifika saa 11.30 joini wataitoa timu uwanjani wakidai simba kaingia mitini!
Simba ataingiza timu uwanjani saa 1.00 usiku. Atawasubiri utopolo hadi saa 1.30 refa atapuliza kipenga cha mwisho na kutoa pointi 2 na magoli 2 kwa simba! Yanga watakata rufaa na itakataliwa na tff. Mwisho wa siku utopolo watakata rufaa fifa, na ikifika huko utopolo atashinda rufaa yake asubuhi!!! Simba atanyang'anywa zile pointi 3 na magoli mawili, kisha utopolo watapewa pointi 3 na magoli 2. Mwisho wa mchezo!
Hili dili limepangwa na yanga wenyewe halafu saa hii wanajifanya kulalamika. Cha kufanya kwa simba na wao waingize timu uwanjani hiyo saa 11.00 jioni! Hapo janja ya utopolo itakuwa imegonga mwamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…