DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Alipochukua kiatu cha ufungaji ligi kuu ya DRC mbele ya huyo mayele WENU bado hakua kipimo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aendelee kuongoza tu unafikiri kufunga ni matako Kila mtu anayo/ anao uwezo wakufunga.Tangu Phiri apate majeraha manywele kafunga mangapi?
Phiri asingepata majeraha angekuwa anaongoza kwenye orodha ya wafungaji.
Weka statistics acha ujuha wa kwenye kahawa.Alipochukua kiatu cha ufungaji ligi kuu ya DRC mbele ya huyo mayele WENU bado hakua kipimo?
Nani asiyejua kilichofanyika kwenye benchi la ufundi la ihefu (bahasha)Hizi timu unazoziita dhaifu (mtibwa na Ihefu) hata manywele alicheza nazo lakini hatukuona alichokifanya . Mbaya zaidi hii Ihefu unayoiita dhaifu ndiyo iliyowatoa bikra .
Basi tuseme hata manywele ni galasa anafunga timu dhaifu kwasababu timu alizozifunga ndizo hizihizi za ligi kuu ya NBC anazozifunga Jean Baleke a.k.a JINI BALEKE
View attachment 2583838
Asante sana afande wa zenji.Tafuta mume uolewe nyege mbaya sana
Sawa kabw’!liAsante sana afande wa zenji.
Hauna hoja ni mtapu tapu tu.Sawa kabw’!li
Kuwafunga raja Casablanca goli moja Tena lakubahatisha ndiyo lakujisifu.mkuu kawafunga hata Raja huyo
Zile saluti mlizokuwa mnapiga na kumuimba Moses phiri ziliishia wapi.mkuu kawafunga hata Raja huyo