Mechi ya Simba vs Mtibwa na Ihefu, siyo kipimo sahihi kwa kwa mchezaji Jean baleke na kuanza kumuita "the goal machine"

Mechi ya Simba vs Mtibwa na Ihefu, siyo kipimo sahihi kwa kwa mchezaji Jean baleke na kuanza kumuita "the goal machine"

Wydad away kawaweka pia kenge wa kijani weeeeeh
Horoya kawaweka pia na hizo ni klabu bingwa sio luzaz boya weeeeeh
 
Najua matusi na kejeli zitamwagika Kama mvua ya mawe baada tu NALIA NGWENA kuzungumza ukweli huu mchungu usiopingika.

Zimeibuka kelele nyingi zakumtukuza Jean Baleke kuwa ni "talk of town" wengine wakikata mayenu Kama Pape osumane sakho alivyokuwa akimburudisha sadio mane na wenzake ndani ya timu ya taifa ya Senegal.

Makelele ya Jean baleke kuwa ni goal mashine yamenishitua mwamba nakwenda kupekua wasifu wake nione je huko alikotoka ana uchembe chembe wakufunga magoli?? Maana ni Jambo la kushangaza kumtukuza kwa kuifunga ihefu na mtibwa Tena mpira wote tumetazama, mpira uliochezwa na mtibwa na ihefu ni wa kiwango Cha chini sana hata babu yangu mzee NGWENA ukimpa jezi anafunga.

Jean baleke alicheza Lebanese leage timu inayoitwa nejmeh jumla ya michezo 11 dakika 519 jumla ya magoli yote ni 3 na assist 1.

Akiwa TP Mazembe mwamba Jean baleke alicheza michezo 5, dakika 196 hakufanikiwa kufunga goli Wala assist yakufutia machozi.
Kwa takwimu hizo mbovu na ndiyo maana tp Mazembe waliamua kumtoa kwa mkopo kuja katika league yetu hii tia maji tia maji.

My take, bado Jean baleke hajafikia hatua yakuitwa "the goal machine" Kwa kuifunga mtibwa na ihefu, timu zilizocheza mpira kwa kiwango dhaifu sana, Nasema siwezi kumpamba au kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa huo ni upuuzi.
View attachment 2581894View attachment 2581895
Kipimo Cha Mayele kilikuwa Zalan FC au siyo.

Hivyo tutumie ligi ipi kumpima.

Kwahiyo kocha anamtuma uwanjani kufanya nini?

Mcheezaji kufunga inategemea fitness yake, mbinu za kocha na mazingira ya timu kwa ujumla. Kombinesheni ya ubora wa wachezaji wenzake pia.

Kwani Mazembe pale mna timu gani?

Swali ni je tumpime kwa mechi gani, Na je akifanya vizuri tisimsifie?

WEWE NI UTOPOLO HUJUI CHOCHOTE KUHUSU UTOPOLO YAKO KUTWA UNAIWAZA SIMBA. hamna Cha kuandika kuhusu Yanga yenu?

Nb: mechi kumi za mwisho mashindano yote: Baleke goli 12,Mayele goli 4.
 
Brother JEAN BALEKE msimu wa 2020-2021 akiwa TP ENGLABA MAZEMBE ndiye aliye mzuia FISTO KALALA MAYELE Akiwa AS VITA CLUB Asichukue kiatu cha ufungaji Bora katika ligi ya Congo Sasa unataka tumuite nani GOAL MACHINE?
Hana kumbukumbu huyo
 
Kweli mkuu mpira ni mchezo wa wazi kabisa, kiwango walichokionyesha mtibwa na ihefu huwezi kuanza kumpamba mtu wakati galasa tu.
So tutumie nn kumpima. Kwasababu ndiyo Kazi aliyomtuma kocha.

Na asingefunga mngekuwa mnakunya Nini humu!

Hao Ihefu wewe ulie bora uliwafunga goli ngapi?

Juzi mlisema Simba kanunua mechi, hoja imekufa leo Ihefu imegeuka kuwa dhaifu
 
Juzi Ihefu Ni timu imara haiwezi kufungwa goli 5,Ihefu imeuza mechi.

VS

Leo Ihefu Ni timu dhaifu si kipimo kwa Baleke.

Manara aliwahi kusema: Pale utopoloni kuna watu 2 tu wenye akili, Kikwete na Mzee Sunday Manara.

(Hii haijabadilika wenye akili Ni hao 2 hajaongezeka hata mmoja)
 
Back
Top Bottom