Mechi ya Simba vs Mtibwa na Ihefu, siyo kipimo sahihi kwa kwa mchezaji Jean baleke na kuanza kumuita "the goal machine"

Mechi ya Simba vs Mtibwa na Ihefu, siyo kipimo sahihi kwa kwa mchezaji Jean baleke na kuanza kumuita "the goal machine"

Jean baleke alicheza Lebanese leage timu inayoitwa nejmeh jumla ya michezo 11 dakika 519 jumla ya magoli yote ni 3 na assist 1.
Jamaa mwenzako ametoka kukusema kuhusu kuanzisha nyuzi nyingi nyingi za Simba, kabla hajamaliza umeshaanzisha mwingine! 😁😁😁
 
Jamaa mwenzako ametoka kukusema kuhusu kuanzisha nyuzi nyingi nyingi za Simba, kabla hajamaliza umeshaanzisha mwingine! [emoji16][emoji16][emoji16]
Mimi nimezungumzia ukweli halisi sijazungumzia Mambo ya simba hapo.
 
Najua matusi na kejeri zitamwagika Kama mvua ya mawe baada tu NALIA NGWENA kuzungumza ukweli huu mchungu usiopingika.

Zimeibuka kelele nyingi zakumtukuza Jean baleke kuwa ni "talk of town" wengine wakikata mayenu Kama Pape osumane sakho alivyokuwa akimburudisha sadio mane na wenzake ndani ya timu ya taifa ya Senegal.

Makelele ya Jean baleke kuwa ni goal mashine yamenishitua mwamba nakwenda kupekua wasifu wake nione je huko alikotoka ana uchembe chembe wakufunga magoli?? Maana ni Jambo la kushangaza kumtukuza kwa kuifunga ihefu na mtibwa Tena mpira wote tumetazama, mpira uliochezwa na mtibwa na ihefu ni wa kiwango Cha chini sana hata babu yangu mzee NGWENA ukimpa jezi anafunga.

Jean baleke alicheza Lebanese leage timu inayoitwa nejmeh jumla ya michezo 11 dakika 519 jumla ya magoli yote ni 3 na assist 1.

Akiwa TP Mazembe mwamba Jean baleke alicheza michezo 5, dakika 196 hakufanikiwa kufunga goli Wala assist yakufutia machozi.
Kwa takwimu hizo mbovu na ndiyo maana tp Mazembe waliamua kumtoa kwa mkopo kuja katika league yetu hii tia maji tia maji.

My take, bado Jean baleke hajafikia hatua yakuitwa "the goal machine" Kwa kuifunga mtibwa na ihefu, timu zilizocheza mpira kwa kiwango dhaifu sana, Nasema siwezi kumpamba au kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa huo ni upuuzi.
View attachment 2581894View attachment 2581895
Hakuna unachoafiki wewe.Inaonekana hata kitandani una gubu sana.
 
Ukiniambia kwanini mayele alitemwa na vita ambayo ilikuwa inajua ina mashindano ya klabu bingwa afrika ndio ntakwambia kwanini alitoka lebanon!
Baki na jibu lako na Mimi nibaki na jibu langu.
 
Najua matusi na kejeri zitamwagika Kama mvua ya mawe baada tu NALIA NGWENA kuzungumza ukweli huu mchungu usiopingika.

Zimeibuka kelele nyingi zakumtukuza Jean baleke kuwa ni "talk of town" wengine wakikata mayenu Kama Pape osumane sakho alivyokuwa akimburudisha sadio mane na wenzake ndani ya timu ya taifa ya Senegal.

Makelele ya Jean baleke kuwa ni goal mashine yamenishitua mwamba nakwenda kupekua wasifu wake nione je huko alikotoka ana uchembe chembe wakufunga magoli?? Maana ni Jambo la kushangaza kumtukuza kwa kuifunga ihefu na mtibwa Tena mpira wote tumetazama, mpira uliochezwa na mtibwa na ihefu ni wa kiwango Cha chini sana hata babu yangu mzee NGWENA ukimpa jezi anafunga.

Jean baleke alicheza Lebanese leage timu inayoitwa nejmeh jumla ya michezo 11 dakika 519 jumla ya magoli yote ni 3 na assist 1.

Akiwa TP Mazembe mwamba Jean baleke alicheza michezo 5, dakika 196 hakufanikiwa kufunga goli Wala assist yakufutia machozi.
Kwa takwimu hizo mbovu na ndiyo maana tp Mazembe waliamua kumtoa kwa mkopo kuja katika league yetu hii tia maji tia maji.

My take, bado Jean baleke hajafikia hatua yakuitwa "the goal machine" Kwa kuifunga mtibwa na ihefu, timu zilizocheza mpira kwa kiwango dhaifu sana, Nasema siwezi kumpamba au kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa huo ni upuuzi.
View attachment 2581894View attachment 2581895
Ni sahihi kabisa 🤓
 
Unaandika yote haya kujifariji?

Mayele alipopata hat trick dhidi ya Zalani fc siyo nyie mlikenua magego na kujipiga vifua?

Ihefu alikufunga na Mayele yupo mpaka dakika 90 zikaisha, leo unasema siyo kipimo unataka amfunge nani?

Jamani!
 
Unaandika yote haya kujifariji?

Mayele alipopata hat trick dhidi ya Zalani fc siyo nyie mlikenua magego na kujipiga vifua?

Ihefu alikufunga na Mayele yupo mpaka dakika 90 zikaisha, leo unasema siyo kipimo unataka amfunge nani?

Jamani!
Ihefu ile utaifananisha na hii ifu ya mchongo ihefu ya bahasha hivi uliangalia mpira wewe
 
Back
Top Bottom