Mechi ya Simba vs Mtibwa na Ihefu, siyo kipimo sahihi kwa kwa mchezaji Jean baleke na kuanza kumuita "the goal machine"

Alipochukua kiatu cha ufungaji ligi kuu ya DRC mbele ya huyo mayele WENU bado hakua kipimo?
 
Tangu Phiri apate majeraha manywele kafunga mangapi?
Phiri asingepata majeraha angekuwa anaongoza kwenye orodha ya wafungaji.
Aendelee kuongoza tu unafikiri kufunga ni matako Kila mtu anayo/ anao uwezo wakufunga.
 
Nani asiyejua kilichofanyika kwenye benchi la ufundi la ihefu (bahasha)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…