Mechi ya Tabora United vs Simba huwa kuna upangaji matokeo ya wazi

Mechi ya Tabora United vs Simba huwa kuna upangaji matokeo ya wazi

Huu mchezo mchafu unachezwa na bodi ya ligi na hata waamuzi wanachezesha mechi za Simba 80% ni wanawake
Cha ajabu utashangaa Tabora wanapomaliza tu game ya Simba wiki ijayo vibali na lesen vimeshapatikana, huu uhuni wa kitoto🤣🤣
Mechi kama izi ilitakiwa achezeshe Arajiga ata Mechi Nzito za Azam au Yanga uchezesha Arajiga ndiye Refa Bora namba Moja kwasasa.

Ukitaka kujua kua Simba ndio Wana panga Marefa wa mechi zao tafuta mechi ambayo Arajiga amechezesha mechi ya Simba.

Ndio maana Mechi na Azam dhidi ya Simba Refa ndio alikua Nyota wa Mchezo.
Dodoma JiJi vs Simba Refa alikua nyota wa mchezo.
Pamba vs Simba Refa alikua nyota wa mchezo.
Mashujaa vs Simba Refa alikua nyota wa mchezo.
Singida Black Star vs Simba Refa alikua Nyota wa Mchezo.

Usifikiri Bodi ya Ligi au Chama Cha Marefa hawaoni ila ndio njia inayo tumika kuibeba Simba.

Mechi ijayo Refa ni uyo Mama Amina Kyando, Yeye na Tatu Malogo ni marefa wa Simba.
Hakuna Mechi yoyote inayo onekana Ngumu kwa Simba akapewa Arajiga Ambaye ni Refa namba Moja Nchini, Simba hawamtaki kwakua Alisha goma kuchukua pesa zao za Hongo.

Alisha waambia siku akichezesha mechi Yao wajipange yeye Hataki Upendeleo wowote.

Yaani marefa wa Simba uwa wanapambana kuliko ata ao wachezaji wa Simba, Yaani anamaliza mechi Yuko hoi ki saikolojia maana anajua amefanya dhulma hadharani.
 
Mechi kama izi ilitakiwa achezeshe Arajiga ata Mechi Nzito za Azam au Yanga uchezesha Arajiga ndiye Refa Bora namba Moja kwasasa.

Ukitaka kujua kua Simba ndio Wana panga Marefa wa mechi zao tafuta mechi ambayo Arajiga amechezesha mechi ya Simba.

Ndio maana Mechi na Azam dhidi ya Simba Refa ndio alikua Nyota wa Mchezo.
Dodoma JiJi vs Simba Refa alikua nyota wa mchezo.
Pamba vs Simba Refa alikua nyota wa mchezo.
Mashujaa vs Simba Refa alikua nyota wa mchezo.
Singida Black Star vs Simba Refa alikua Nyota wa Mchezo.

Usifikiri Bodi ya Ligi au Chama Cha Marefa hawaoni ila ndio njia inayo tumika kuibeba Simba.

Mechi ijayo Refa ni uyo Mama Amina Kyando, Yeye na Tatu Malogo ni marefa wa Simba.
Hakuna Mechi yoyote inayo onekana Ngumu kwa Simba akapewa Arajiga Ambaye ni Refa namba Moja Nchini, Simba hawamtaki kwakua Alisha goma kuchukua pesa zao za Hongo.

Alisha waambia siku akichezesha mechi Yao wajipange yeye Hataki Upendeleo wowote.

Yaani marefa wa Simba uwa wanapambana kuliko ata ao wachezaji wa Simba, Yaani anamaliza mechi Yuko hoi ki saikolojia maana anajua amefanya dhulma hadharani.
Simba wanabebwa wazi
 
Imeripotiwa kuwa Tabora United imekosa kiasi cha million 20 ili kulipia vibali vya wachezaji wa kigeni.
Lakini tukumbuke Mkuu wa mkoa wa Tabora ametoa ahadi ya million 50 timu hiyo ikiifunga Simba.

Hiyo ahadi ya Mkuu wa mkoa wa Tabora ni zuga tu, kama ana million 50 kwanini asiwape Wakamilishe usajili wa wachezaji wa kigeni

Kiongozi mwandamizi wa Tabora United alikuwa Mwenyekiti wa Simba zamani Mzee Rage, hapa Kuna upangaji matokeo unaratibiwa wazi wazi

Tukumbuke Tabora United alifungwa na Simba mechi mkondo wa kwanza Kwa kuwa na wachezaji pungufu maana wachezaji wengi wa timu hawakuwa na vibali

Tunawaomba tFF ihairishe huu mchezo hadi Tabora United Wakamilishe mchakato wa wachezaji wao wapate vibali

TFF, wachukulie hatua Simba na shoga yake Tabora United, Kwa kosa la kupanga matokeo
Washushwe daraja
SIMBA YUPO CAF INAYOITWA MICHUANO YA WANAWAKE.SASA KULE SIJUI NANI ALIPANGA MATOKEO.
 
Wapenzi wa Simba na yanga Wana kelele sana.Ila wapenzi wa yanga wanaizidi mpaka honi ya garimoshi.
 
SIMBA YUPO CAF INAYOITWA MICHUANO YA WANAWAKE.SASA KULE SIJUI NANI ALIPANGA MATOKEO.
Kwani CAF Simba abebwi? Mechi ngapi ambazo adhabu za Penalty zilitakiwa zitolewe dhidi Yao na wapinzani wao hawakupewa.
Njia wanayo tumia kwenye Ligi ndio ileile wanayo tumia kwenye Shirikisho.

Ndio maana Simba huishia robo kwakua mara nyingi robo unakutana na timu ambazo uwanjani zimekamilika na nje ya uwanja Zina weza ku battle na Marefa.
 
Wale wachambuzi bahasha kwenye viredio vyao hutowasikia kulisemea hili kila mechi ya tabora na simba wachezaji wa tabora hawana vibali ina maana toka mechi ya mzunguko wa kwanza hawajajifunza tuu. Kweli nguvu ya ubaya ubwela inaonekana
 
Hao waliopo si ndiyo waliwafunga Yanga hamuwaamini kuwa wanatosha kuifunga simba!! Halafu kukosekana kwa vibali kwa kushindwa kulipa 20m simba inahusikaje au Simba ndiyo ilitakiwa kutoa hizo hela za vibali!!

Sioni mantiki ya huu uzi
 
Imeripotiwa kuwa Tabora United imekosa kiasi cha million 20 ili kulipia vibali vya wachezaji wa kigeni.
Lakini tukumbuke Mkuu wa mkoa wa Tabora ametoa ahadi ya million 50 timu hiyo ikiifunga Simba.

Hiyo ahadi ya Mkuu wa mkoa wa Tabora ni zuga tu, kama ana million 50 kwanini asiwape Wakamilishe usajili wa wachezaji wa kigeni

Kiongozi mwandamizi wa Tabora United alikuwa Mwenyekiti wa Simba zamani Mzee Rage, hapa Kuna upangaji matokeo unaratibiwa wazi wazi

Tukumbuke Tabora United alifungwa na Simba mechi mkondo wa kwanza Kwa kuwa na wachezaji pungufu maana wachezaji wengi wa timu hawakuwa na vibali

Tunawaomba tFF ihairishe huu mchezo hadi Tabora United Wakamilishe mchakato wa wachezaji wao wapate vibali

TFF, wachukulie hatua Simba na shoga yake Tabora United, Kwa kosa la kupanga matokeo
Washushwe daraja
Hii mechi watu wanaipa promo ili Simba ikishinda ionekane imeishinda timu bora sana na wadau wamumwagie sifa nyingi kocha na wachezaji watakaofanikisha ushindi.

Lakini ukweli ni kwamba hii ni moja ya mechi nyepesi sana kwa simba na itajizolea alama tatu kiulaini sana. Kama wewe unafuatilia kwa karobu ligi ya Tanzania na aina ya viongozi wa hizi timu, wala hizo propaganda za Media haziwezi kukufanya uamini kwamba mechi ya Simba na Tabora ni ngumu sana.

Yaani kuna watu wanaamini kwamba timu ambayo inalelewa na Rage itaifunga simba?
 
Hii mechi watu wanaipa promo ili Simba ikishinda ionekane imeishinda timu bora sana na wadau wamumwagie sifa nyingi kocha na wachezaji watakaofanikisha ushindi.

Lakini ukweli ni kwamba hii ni moja ya mechi nyepesi sana kwa simba na itajizolea alama tatu kiulaini sana. Kama wewe unafuatilia kwa karobu ligi ya Tanzania na aina ya viongozi wa hizi timu, wala hizo propaganda za Media haziwezi kukufanya uamini kwamba mechi ya Simba na Tabora ni ngumu sana.

Yaani kuna watu wanaamini kwamba timu ambayo inalelewa na Rage itaifunga simba?
Una akili sana mkuu
 
FB_IMG_17360688163306305.jpg
 
Kwani CAF Simba abebwi? Mechi ngapi ambazo adhabu za Penalty zilitakiwa zitolewe dhidi Yao na wapinzani wao hawakupewa.
Njia wanayo tumia kwenye Ligi ndio ileile wanayo tumia kwenye Shirikisho.

Ndio maana Simba huishia robo kwakua mara nyingi robo unakutana na timu ambazo uwanjani zimekamilika na nje ya uwanja Zina weza ku battle na Marefa.
Duh wivu kidonda
 
Mechi kama izi ilitakiwa achezeshe Arajiga ata Mechi Nzito za Azam au Yanga uchezesha Arajiga ndiye Refa Bora namba Moja kwasasa.

Ukitaka kujua kua Simba ndio Wana panga Marefa wa mechi zao tafuta mechi ambayo Arajiga amechezesha mechi ya Simba.

Ndio maana Mechi na Azam dhidi ya Simba Refa ndio alikua Nyota wa Mchezo.
Dodoma JiJi vs Simba Refa alikua nyota wa mchezo.
Pamba vs Simba Refa alikua nyota wa mchezo.
Mashujaa vs Simba Refa alikua nyota wa mchezo.
Singida Black Star vs Simba Refa alikua Nyota wa Mchezo.

Usifikiri Bodi ya Ligi au Chama Cha Marefa hawaoni ila ndio njia inayo tumika kuibeba Simba.

Mechi ijayo Refa ni uyo Mama Amina Kyando, Yeye na Tatu Malogo ni marefa wa Simba.
Hakuna Mechi yoyote inayo onekana Ngumu kwa Simba akapewa Arajiga Ambaye ni Refa namba Moja Nchini, Simba hawamtaki kwakua Alisha goma kuchukua pesa zao za Hongo.

Alisha waambia siku akichezesha mechi Yao wajipange yeye Hataki Upendeleo wowote.

Yaani marefa wa Simba uwa wanapambana kuliko ata ao wachezaji wa Simba, Yaani anamaliza mechi Yuko hoi ki saikolojia maana anajua amefanya dhulma hadharani.
Anayebebwa alikuwa w tatu nbc ligi, na sasa yupo zake cafcc . Ambaye habebwi alikuwa bingwa wa nbc ligi lakini kaishia makundi cafcl. Kuna haja ya kuuliza hapa anayebebwa ni nani?
 
Imeripotiwa kuwa Tabora United imekosa kiasi cha million 20 ili kulipia vibali vya wachezaji wa kigeni.
Lakini tukumbuke Mkuu wa mkoa wa Tabora ametoa ahadi ya million 50 timu hiyo ikiifunga Simba.

Hiyo ahadi ya Mkuu wa mkoa wa Tabora ni zuga tu, kama ana million 50 kwanini asiwape Wakamilishe usajili wa wachezaji wa kigeni

Kiongozi mwandamizi wa Tabora United alikuwa Mwenyekiti wa Simba zamani Mzee Rage, hapa Kuna upangaji matokeo unaratibiwa wazi wazi

Tukumbuke Tabora United alifungwa na Simba mechi mkondo wa kwanza Kwa kuwa na wachezaji pungufu maana wachezaji wengi wa timu hawakuwa na vibali

Tunawaomba tFF ihairishe huu mchezo hadi Tabora United Wakamilishe mchakato wa wachezaji wao wapate vibali

TFF, wachukulie hatua Simba na shoga yake Tabora United, Kwa kosa la kupanga matokeo
Washushwe daraja
Tulipokuwa tunawambia mwaka huu ni "Ubaya ubwela" kumbe hamkuelewa eh? Nasemaje huu mwangwi wote bado tuko kwenye "UBAYA" siku tukianza "UBWELA" mtatembea uchi wa mnyama
 
Back
Top Bottom