Mechi ya Tabora United vs Simba huwa kuna upangaji matokeo ya wazi

Mechi ya Tabora United vs Simba huwa kuna upangaji matokeo ya wazi

Mwamedi kisha tembeza.mlungula
Mi huwa nakagua uchezeshaji tu, simba ikicheza muamala wa refa hua nauona kabisa mechi inaweza kuisha dkk 120 hadi kolo afunge. Mpinzani akifunga simba hilo sio goli kamwe, yaani mechi za simba zinatia kinyaa kuangalia!!
 
Imeripotiwa kuwa Tabora United imekosa kiasi cha million 20 ili kulipia vibali vya wachezaji wa kigeni.
Lakini tukumbuke Mkuu wa mkoa wa Tabora ametoa ahadi ya million 50 timu hiyo ikiifunga Simba.

Hiyo ahadi ya Mkuu wa mkoa wa Tabora ni zuga tu, kama ana million 50 kwanini asiwape Wakamilishe usajili wa wachezaji wa kigeni

Kiongozi mwandamizi wa Tabora United alikuwa Mwenyekiti wa Simba zamani Mzee Rage, hapa Kuna upangaji matokeo unaratibiwa wazi wazi

Tukumbuke Tabora United alifungwa na Simba mechi mkondo wa kwanza Kwa kuwa na wachezaji pungufu maana wachezaji wengi wa timu hawakuwa na vibali

Soma Pia RC Chacha aahidi milioni 50 kwa Tabora United ikiilaza Simba SC

Tunawaomba TFF ihairishe huu mchezo hadi Tabora United Wakamilishe mchakato wa wachezaji wao wapate vibali

TFF, wachukulie hatua Simba na shoga yake Tabora United, Kwa kosa la kupanga matokeo
Washushwe daraja
Ukiwa muongo uwe na kumbu kumbu azam ndio walishinda tabora ikiwa na wachezaji saba pungufu simba alishinda wakiwa kamili kama walivyo shenyetwa yanga 3-1!
 
Mi huwa nakagua uchezeshaji tu, simba ikicheza muamala wa refa hua nauona kabisa mechi inaweza kuisha dkk 120 hadi kolo afunge. Mpinzani akifunga simba hilo sio goli kamwe, yaani mechi za simba zinatia kinyaa kuangalia!!
Si uache kuangalia mechi zao mkuu usije ukatapika, endelea kuangalia mechi za kina Kayoko mbona wanachezesha kwa kiwango kikubwa sana
 
We nawe una gubu kama ndugu wa mume
Ukilala unaweweseka na simba
Kwani sisi ndi tuliwatoa Makundi au nyie wenyewe ndo mmeshindwa hebu tukome baasi
Vibali vya nyokweee
Yaani punguza presha dogo mpira burudani kama inakutesa iache ,tafuta starehe nyingine hata kunya kanye
 
Hao waliopo si ndiyo waliwafunga Yanga hamuwaamini kuwa wanatosha kuifunga simba!! Halafu kukosekana kwa vibali kwa kushindwa kulipa 20m simba inahusikaje au Simba ndiyo ilitakiwa kutoa hizo hela za vibali!!

Sioni mantiki ya huu uzi
Wanahisi kuwa huenda mwenye pesa kazishikilia kwanza kungoja la Simba lipite.
 
Haya wameshalipiwa vibali hao wachezaji 6 tuone sasa wakiifunga Simba hiyo Jpili
 
Imeripotiwa kuwa Tabora United imekosa kiasi cha million 20 ili kulipia vibali vya wachezaji wa kigeni.
Lakini tukumbuke Mkuu wa mkoa wa Tabora ametoa ahadi ya million 50 timu hiyo ikiifunga Simba.

Hiyo ahadi ya Mkuu wa mkoa wa Tabora ni zuga tu, kama ana million 50 kwanini asiwape Wakamilishe usajili wa wachezaji wa kigeni

Kiongozi mwandamizi wa Tabora United alikuwa Mwenyekiti wa Simba zamani Mzee Rage, hapa Kuna upangaji matokeo unaratibiwa wazi wazi

Tukumbuke Tabora United alifungwa na Simba mechi mkondo wa kwanza Kwa kuwa na wachezaji pungufu maana wachezaji wengi wa timu hawakuwa na vibali

Soma Pia RC Chacha aahidi milioni 50 kwa Tabora United ikiilaza Simba SC

Tunawaomba TFF ihairishe huu mchezo hadi Tabora United Wakamilishe mchakato wa wachezaji wao wapate vibali

TFF, wachukulie hatua Simba na shoga yake Tabora United, Kwa kosa la kupanga matokeo
Washushwe daraja
Ukumbuke tu kule TFF unakopeleka mashtaka kuna Wallace Karia, ambaye pia ni simba dam dam.
 
Simba wanabebwa wazi
Wanaobebwa waliishia makundi huko CAFCL coz huko hamnaga cha chura kubebwa ama kununua mechi kama vyura wafanyavyo NBCPL.

Ubaya Ubwela tumetinga robo kwa kutembeza boli pasipo kubebwa...

Mtateseka sana 😂
 
Wanaobebwa waliishia makundi huko CAFCL coz huko hamnaga cha chura kubebwa ama kununua mechi kama vyura wafanyavyo NBCPL.

Ubaya Ubwela tumetinga robo kwa kutembeza boli pasipo kubebwa...

Mtateseka sana 😂
Nani anajali hayo mashindano yenu ya akina mama Sasa?
 
Back
Top Bottom