Mechi ya Tabora United vs Simba huwa kuna upangaji matokeo ya wazi

Mechi ya Tabora United vs Simba huwa kuna upangaji matokeo ya wazi

Mtoa mada una akili za kitoto sana ndio mana manara alisema Yanga watu wenye akili ni wawili tu.Timu yenu ikianzaga kuboronga tu lazima ziwepo tuhuma kwa TFF ,Marefa na Bodi ya Ligi..hii ni akili ya kitoto kabisa.Wachezaji waliopo ndio walioonesha upinzani wa kutosha mzunguko wa kwanza na mbaya zaidi waliwachapa 3-1 kama mmesimama iweje mtake tucheze na wageni.Au lengo lenu tucheze na wageni tuwafunge mje kusema hamjakutana na Tabora ya round ya kwanza.Ifikie wakati ushabiki usiwafanye kuwa brainwashed.Na hao mnaolilia wapewe vibali ili wacheze mechi ya Simba mnazani watapata muda wa kutosha ku catch up na wenzao??
 
Mtoa mada una akili za kitoto sana ndio mana manara alisema Yanga watu wenye akili ni wawili tu.Timu yenu ikianzaga kuboronga tu lazima ziwepo tuhuma kwa TFF ,Marefa na Bodi ya Ligi..hii ni akili ya kitoto kabisa.Wachezaji waliopo ndio walioonesha upinzani wa kutosha mzunguko wa kwanza na mbaya zaidi waliwachapa 3-1 kama mmesimama iweje mtake tucheze na wageni.Au lengo lenu tucheze na wageni tuwafunge mje kusema hamjakutana na Tabora ya round ya kwanza.Ifikie wakati ushabiki usiwafanye kuwa brainwashed.Na hao mnaolilia wapewe vibali ili wacheze mechi ya Simba mnazani watapata muda wa kutosha ku catch up na wenzao??
Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
Sasa hujui dirisha la usajili wachezaji wanatoka na kuingia
 
Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
Sasa hujui dirisha la usajili wachezaji wanatoka na kuingia
Siwezi kubishana na wewe maana hoja yako ni dhaifu sana.Ungezungumzia dirisha la usjali ningekuelewa lakini sio kuizungumzia simba.Kwanza kwa upande wa Simba kuchezeshwa wachezaji wageni kwake ni faida kubwa kwa sababu wanakuwa bado hawajazoeana na wenzao kwa hiyo kuwapiga ni rahisi mnoo kuliko hawa ambao wameshakaa karibu nusu msimu.
 
Siwezi kubishana na wewe maana hoja yako ni dhaifu sana.Ungezungumzia dirisha la usjali ningekuelewa lakini sio kuizungumzia simba.Kwanza kwa upande wa Simba kuchezeshwa wachezaji wageni kwake ni faida kubwa kwa sababu wanakuwa bado hawajazoeana na wenzao kwa hiyo kuwapiga ni rahisi mnoo kuliko hawa ambao wameshakaa karibu nusu msimu.
Ndo maana nasema Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
Wachezaji wanatoka na kuingia
Baadhi ya wachezaji wa Tabora United wametoka na walioingia hawatacheza.
 
Imeripotiwa kuwa Tabora United imekosa kiasi cha million 20 ili kulipia vibali vya wachezaji wa kigeni.
Lakini tukumbuke Mkuu wa mkoa wa Tabora ametoa ahadi ya million 50 timu hiyo ikiifunga Simba.

Hiyo ahadi ya Mkuu wa mkoa wa Tabora ni zuga tu, kama ana million 50 kwanini asiwape Wakamilishe usajili wa wachezaji wa kigeni

Kiongozi mwandamizi wa Tabora United alikuwa Mwenyekiti wa Simba zamani Mzee Rage, hapa Kuna upangaji matokeo unaratibiwa wazi wazi

Tukumbuke Tabora United alifungwa na Simba mechi mkondo wa kwanza Kwa kuwa na wachezaji pungufu maana wachezaji wengi wa timu hawakuwa na vibali

Tunawaomba tFF ihairishe huu mchezo hadi Tabora United Wakamilishe mchakato wa wachezaji wao wapate vibali

TFF, wachukulie hatua Simba na shoga yake Tabora United, Kwa kosa la kupanga matokeo
Washushwe daraja
Sio Kweli
 
Ndo maana nasema Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
Wachezaji wanatoka na kuingia
Baadhi ya wachezaji wa Tabora United wametoka na walioingia hawatacheza.
Tatizo lako uko brainwashed ..niambie ni staa gani katika wachezaji tegemeo wa Tabora aliyeondoka?
 
Hivi suala la vibali vya wachezaji watatu ni suala la kughair mechi? Mbona hata Simba na Yanga kuna wakati zinashindwa kuwatumia wachezaji waliowasajili kwa kuchelewa kupata vibali.
 
SIMBA YUPO CAF INAYOITWA MICHUANO YA WANAWAKE.SASA KULE SIJUI NANI ALIPANGA MATOKEO.
Hii si ndio michuano mlicheza majuzi ,basi.mjiandae mkichukua ubingwa tutaeabafilisha jinsia tuwawekee va 'ndio muende Caf!
 
Huu mchezo mchafu unachezwa na bodi ya ligi na hata waamuzi wanachezesha mechi za Simba 80% ni wanawake
Cha ajabu utashangaa Tabora wanapomaliza tu game ya Simba wiki ijayo vibali na lesen vimeshapatikana, huu uhuni wa kitoto🤣🤣
Kama wana uwezo wakuifunga simba wataifunga tu maana wameifunga Yanga na Azam akiwa na kikosi hiko hiko kwahiyo tusitafute kichaka cha kuongea mnyama akijipigia nyingi Jpili
 
Back
Top Bottom