Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
Ila hawa waliopo si ndo walitugonga 3 kwa 1? Mi sioni shida kama waliifunga Yanga wanaweza ifunga hata Simba. Hakuna haja ya kuogopa ogopa. Sisi Yanga tutawafunga Simba hamna shaka kabisa.Una akili sana mkuu
Hivi mcalger mliwafunga bao ngapi?Ila hawa waliopo si ndo walitugonga 3 kwa 1? Mi sioni shida kama waliifunga Yanga wanaweza ifunga hata Simba. Hakuna haja ya kuogopa ogopa. Sisi Yanga tutawafunga Simba hamna shaka kabisa.
Kuhusu Yanga kuwafunga 5imba ni jambo la lazimaIla hawa waliopo si ndo walitugonga 3 kwa 1? Mi sioni shida kama waliifunga Yanga wanaweza ifunga hata Simba. Hakuna haja ya kuogopa ogopa. Sisi Yanga tutawafunga Simba hamna shaka kabisa.
Kabisa. Tujitahidi tu tuwe tunashinda na mechi za kimataifa. But sasa tupo vizuri hili kombe la shirikisho crdb letu.tumeenda robo fainali.Kuhusu Yanga kuwafunga 5imba ni jambo la lazima
Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbuMtoa mada una akili za kitoto sana ndio mana manara alisema Yanga watu wenye akili ni wawili tu.Timu yenu ikianzaga kuboronga tu lazima ziwepo tuhuma kwa TFF ,Marefa na Bodi ya Ligi..hii ni akili ya kitoto kabisa.Wachezaji waliopo ndio walioonesha upinzani wa kutosha mzunguko wa kwanza na mbaya zaidi waliwachapa 3-1 kama mmesimama iweje mtake tucheze na wageni.Au lengo lenu tucheze na wageni tuwafunge mje kusema hamjakutana na Tabora ya round ya kwanza.Ifikie wakati ushabiki usiwafanye kuwa brainwashed.Na hao mnaolilia wapewe vibali ili wacheze mechi ya Simba mnazani watapata muda wa kutosha ku catch up na wenzao??
Na Yanga tupo robo final ya mashindano ya akina bibi 🤣5imba yupo robo final ya mashindano ya akina mama
Siwezi kubishana na wewe maana hoja yako ni dhaifu sana.Ungezungumzia dirisha la usjali ningekuelewa lakini sio kuizungumzia simba.Kwanza kwa upande wa Simba kuchezeshwa wachezaji wageni kwake ni faida kubwa kwa sababu wanakuwa bado hawajazoeana na wenzao kwa hiyo kuwapiga ni rahisi mnoo kuliko hawa ambao wameshakaa karibu nusu msimu.Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
Sasa hujui dirisha la usajili wachezaji wanatoka na kuingia
Ndo maana nasema Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbuSiwezi kubishana na wewe maana hoja yako ni dhaifu sana.Ungezungumzia dirisha la usjali ningekuelewa lakini sio kuizungumzia simba.Kwanza kwa upande wa Simba kuchezeshwa wachezaji wageni kwake ni faida kubwa kwa sababu wanakuwa bado hawajazoeana na wenzao kwa hiyo kuwapiga ni rahisi mnoo kuliko hawa ambao wameshakaa karibu nusu msimu.
Sio KweliImeripotiwa kuwa Tabora United imekosa kiasi cha million 20 ili kulipia vibali vya wachezaji wa kigeni.
Lakini tukumbuke Mkuu wa mkoa wa Tabora ametoa ahadi ya million 50 timu hiyo ikiifunga Simba.
Hiyo ahadi ya Mkuu wa mkoa wa Tabora ni zuga tu, kama ana million 50 kwanini asiwape Wakamilishe usajili wa wachezaji wa kigeni
Kiongozi mwandamizi wa Tabora United alikuwa Mwenyekiti wa Simba zamani Mzee Rage, hapa Kuna upangaji matokeo unaratibiwa wazi wazi
Tukumbuke Tabora United alifungwa na Simba mechi mkondo wa kwanza Kwa kuwa na wachezaji pungufu maana wachezaji wengi wa timu hawakuwa na vibali
Tunawaomba tFF ihairishe huu mchezo hadi Tabora United Wakamilishe mchakato wa wachezaji wao wapate vibali
TFF, wachukulie hatua Simba na shoga yake Tabora United, Kwa kosa la kupanga matokeo
Washushwe daraja
Na Yanga tupo robo final ya mashindano ya akina bibi 🤣Yanga tumecheza club bingwa sio mashindano yenu ya UMISETA yaani mashindano ya akina mama
Tatizo lako uko brainwashed ..niambie ni staa gani katika wachezaji tegemeo wa Tabora aliyeondoka?Ndo maana nasema Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
Wachezaji wanatoka na kuingia
Baadhi ya wachezaji wa Tabora United wametoka na walioingia hawatacheza.
Hii si ndio michuano mlicheza majuzi ,basi.mjiandae mkichukua ubingwa tutaeabafilisha jinsia tuwawekee va 'ndio muende Caf!SIMBA YUPO CAF INAYOITWA MICHUANO YA WANAWAKE.SASA KULE SIJUI NANI ALIPANGA MATOKEO.
Kama wana uwezo wakuifunga simba wataifunga tu maana wameifunga Yanga na Azam akiwa na kikosi hiko hiko kwahiyo tusitafute kichaka cha kuongea mnyama akijipigia nyingi JpiliHuu mchezo mchafu unachezwa na bodi ya ligi na hata waamuzi wanachezesha mechi za Simba 80% ni wanawake
Cha ajabu utashangaa Tabora wanapomaliza tu game ya Simba wiki ijayo vibali na lesen vimeshapatikana, huu uhuni wa kitoto🤣🤣