Mi huwa nakagua uchezeshaji tu, simba ikicheza muamala wa refa hua nauona kabisa mechi inaweza kuisha dkk 120 hadi kolo afunge. Mpinzani akifunga simba hilo sio goli kamwe, yaani mechi za simba zinatia kinyaa kuangalia!!Mwamedi kisha tembeza.mlungula
Ukiwa muongo uwe na kumbu kumbu azam ndio walishinda tabora ikiwa na wachezaji saba pungufu simba alishinda wakiwa kamili kama walivyo shenyetwa yanga 3-1!Imeripotiwa kuwa Tabora United imekosa kiasi cha million 20 ili kulipia vibali vya wachezaji wa kigeni.
Lakini tukumbuke Mkuu wa mkoa wa Tabora ametoa ahadi ya million 50 timu hiyo ikiifunga Simba.
Hiyo ahadi ya Mkuu wa mkoa wa Tabora ni zuga tu, kama ana million 50 kwanini asiwape Wakamilishe usajili wa wachezaji wa kigeni
Kiongozi mwandamizi wa Tabora United alikuwa Mwenyekiti wa Simba zamani Mzee Rage, hapa Kuna upangaji matokeo unaratibiwa wazi wazi
Tukumbuke Tabora United alifungwa na Simba mechi mkondo wa kwanza Kwa kuwa na wachezaji pungufu maana wachezaji wengi wa timu hawakuwa na vibali
Soma Pia RC Chacha aahidi milioni 50 kwa Tabora United ikiilaza Simba SC
Tunawaomba TFF ihairishe huu mchezo hadi Tabora United Wakamilishe mchakato wa wachezaji wao wapate vibali
TFF, wachukulie hatua Simba na shoga yake Tabora United, Kwa kosa la kupanga matokeo
Washushwe daraja
Nitajie hao 6 acha kuleta viojaKumbe we ndo mbumbumbu namba 1
Si uache kuangalia mechi zao mkuu usije ukatapika, endelea kuangalia mechi za kina Kayoko mbona wanachezesha kwa kiwango kikubwa sanaMi huwa nakagua uchezeshaji tu, simba ikicheza muamala wa refa hua nauona kabisa mechi inaweza kuisha dkk 120 hadi kolo afunge. Mpinzani akifunga simba hilo sio goli kamwe, yaani mechi za simba zinatia kinyaa kuangalia!!
Nakuona mwenzetu mashindano ya kinababa upo hukoooHuko kwenye mashindano ya akina mama nani anajali
Wanahisi kuwa huenda mwenye pesa kazishikilia kwanza kungoja la Simba lipite.Hao waliopo si ndiyo waliwafunga Yanga hamuwaamini kuwa wanatosha kuifunga simba!! Halafu kukosekana kwa vibali kwa kushindwa kulipa 20m simba inahusikaje au Simba ndiyo ilitakiwa kutoa hizo hela za vibali!!
Sioni mantiki ya huu uzi
Ukumbuke tu kule TFF unakopeleka mashtaka kuna Wallace Karia, ambaye pia ni simba dam dam.Imeripotiwa kuwa Tabora United imekosa kiasi cha million 20 ili kulipia vibali vya wachezaji wa kigeni.
Lakini tukumbuke Mkuu wa mkoa wa Tabora ametoa ahadi ya million 50 timu hiyo ikiifunga Simba.
Hiyo ahadi ya Mkuu wa mkoa wa Tabora ni zuga tu, kama ana million 50 kwanini asiwape Wakamilishe usajili wa wachezaji wa kigeni
Kiongozi mwandamizi wa Tabora United alikuwa Mwenyekiti wa Simba zamani Mzee Rage, hapa Kuna upangaji matokeo unaratibiwa wazi wazi
Tukumbuke Tabora United alifungwa na Simba mechi mkondo wa kwanza Kwa kuwa na wachezaji pungufu maana wachezaji wengi wa timu hawakuwa na vibali
Soma Pia RC Chacha aahidi milioni 50 kwa Tabora United ikiilaza Simba SC
Tunawaomba TFF ihairishe huu mchezo hadi Tabora United Wakamilishe mchakato wa wachezaji wao wapate vibali
TFF, wachukulie hatua Simba na shoga yake Tabora United, Kwa kosa la kupanga matokeo
Washushwe daraja
Wanaobebwa waliishia makundi huko CAFCL coz huko hamnaga cha chura kubebwa ama kununua mechi kama vyura wafanyavyo NBCPL.Simba wanabebwa wazi
Kwa hiyo karia huwa anacheza namba ngapi?Ukumbuke tu kule TFF unakopeleka mashtaka kuna Wallace Karia, ambaye pia ni simba dam dam.
Nani anajali hayo mashindano yenu ya akina mama Sasa?Wanaobebwa waliishia makundi huko CAFCL coz huko hamnaga cha chura kubebwa ama kununua mechi kama vyura wafanyavyo NBCPL.
Ubaya Ubwela tumetinga robo kwa kutembeza boli pasipo kubebwa...
Mtateseka sana 😂
Mfa maji hakosi kutapatapaKaria anawapangia waamuzi Wanachama akina Tatu Malogo