Mechi ya Taifa Stars na Uganda yasimama kwa muda kutokana na taa za uwanjani kupungua mwanga. Taa ziliwaka ikaendelea

Mechi ya Taifa Stars na Uganda yasimama kwa muda kutokana na taa za uwanjani kupungua mwanga. Taa ziliwaka ikaendelea

Screenshot_20230328-211132_Chrome.jpg
Screenshot_20230328-211158_Chrome.jpg
 
Tunachukuliana poa sana Waafrika. Tunataka standard zetu basi zivumiliwe na wengine, ujinga wetu ubebwe kikawaida na wengine.

Kwa hio ina maana hizo taa hazikuchekia once more, basi hata kuficha aibu katika mechi kubwa ya kihistoria. Yani hata hawakutaka kukagua kila kitu na vile vitu ambavyo walizembea angalau wavichangamkie.

Anyway tushazoeana. Maisha yataenda tu.

we nyumbani kwako huwa unakagua taa?
 
Huu uwanja ni kipimo kizuri sana Cha ubabaishaji wa michezo nchini
 
Manager atakuwa anaonewa tu. Hiki kiko juu ya uwezo wake. Mbona mnapindisha,waziri wa nishati na jopo lake kwenda na maji
Kwa upande wangu sidhani kama wazir wa nishati anahusika directly na lililotokea leo,unaweza kukuta uwanja haupati service inavyotakiwa
 
Back
Top Bottom