Mechi ya Yanga FC Vs Mediama - Uwanja wa Taifa, Dar 16 July 2016

Tambweee kakosa goal la wapi poor yanga
 
Mediama hiki kipindi cha pili msiniangushe kabisa..
Embu piga hao magoli mengi
 
Tambwe lile goli alilokosa atajilaumu sana
 
Golikipa wa medeama kawabania yanga magoli mawili ya wazi kabisa.!
 
Daaaaah [emoji22][emoji22][emoji22]
 
siku hizi hainaga ukimataifa tunakulaga
mo beiya kapita
mazembe kapita

zamu ya nani leo
zamu ya mediama zamu yako itakuja kesho usikonde mnyama wangu
 
siku hizi hainaga ukimataifa tunakulaga
mo beiya kapita
mazembe kapita

zamu ya nani leo
zamu ya mediama zamu yako itakuja kesho usikonde mnyama wangu
Mkuu Ahsante kwa song la nguvu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…