Mechi ya Yanga FC Vs Mediama - Uwanja wa Taifa, Dar 16 July 2016

Mechi ya Yanga FC Vs Mediama - Uwanja wa Taifa, Dar 16 July 2016

Mediama hiki kipindi cha pili msiniangushe kabisa..
Embu piga hao magoli mengi
d081495a3ee8c7b7f3ee9682169075ff.jpg
 
Golikipa wa medeama kawabania yanga magoli mawili ya wazi kabisa.!
 
siku hizi hainaga ukimataifa tunakulaga
mo beiya kapita
mazembe kapita

zamu ya nani leo
zamu ya mediama zamu yako itakuja kesho usikonde mnyama wangu
Mkuu Ahsante kwa song la nguvu!
 
Back
Top Bottom