Mechi ya Yanga FC Vs TP Mazembe - Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

Mechi ya Yanga FC Vs TP Mazembe - Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

Mimi kama mdau wa mpira wa miguu nimefuatilia sana mchezo huu wa leo kupitia luninga. Niseme ule ukweli mpira wa YANGA kwa sasa hivi uko juu sana na kwa kweli wamecheza kwa ustadi mkubwa sana licha ya kufungwa. Goli walilofungwa ni goli ambalo timu yeyote inaweza kufungwa na inajulikana mpira ni dakika tisini. Mimi binafsi nimewakubali sana YANGA.
Yanga ni habari nyingine kama huamini waulize TP Mazembe walivyopigwa leo. Yanga ni noma kweli.
 
Sio mbaya Yanga tunaongoza
e6c8470790ccd9d6e6a638dd2f6acf65.jpg
 
Shida ya wachezaji wa yanga wakiwaona wachezaji wa nje wanawashangaa mwishowe wanapigwa hawana uzoefu wa kucheza nje mara nyingi ndio tatizo aaah
 
NIKO NAKUSANTE SANA TP MAZEMBE KWA HII MOYA UMEWAPIGANGA YANGA. WAKIKUYA LUBUMBASHI MUBHATOSHE MUMASHINDANO.
 
Nadhani Watanzania tufike mahali tuache Siasa kwenye michezo kwani siasa haina nafasi kabisa.Ukisoma magazeti ya Tanzania wiki mbili zilizopita yalikuwa yanatufahamisha watanzania kuwa Yanga imejiandaa vya kutosha kiasi ambacho watanzania wasubiri matokeo tu.Magazeti yaliipamba Yanga mpaka ikabweteka kiasi cha kujiamini kuwa timu ya Tp Mazembe si lolote inafungika kirahisi wakati ukweli timu ya Tp Mazembe no timu Kubwa ktk Afrika.Matokeo tumeyaona uwanja wa Taifa.Viongozi wa Yanga acheni kucheza Mpira magazetini , matokeo mmeyaona.
Kwa hiyo unashauri magazeti yangeandika nini labda!?
 
kama kawaida yao magazeti fc,wameendeleza rekodi ya kuwa mpira hauchezwi na muro na wala si yale mashindano ya malinzi cup unakwenda mbeya ukiwa matokeo unayo mfukoni,lazima viongozi waandae timu si kwa maandalizi ya kuikoga simba sasa wale vibonde wote wameshawafunga mbolembole na mwanaspoti wawaongopee kuwa hesabu zinawabeba,poleni jipangeni mechi ijayo kumbukeni hii ni michuano ya cuf si malinzi cup!
 
Binadamu tumetofautiana katika fikra. Wapo wenzetu wenye uwezo wa kuona hadi ya kesho yake, akina mshana Jr, pasco wanalijua hili vizuri.
Leo namuweka mwenyekiti mpendwa sana wa yanga, kwa kuona mbali akaamua kupunguza machungu ya mashabiki. Maana kiingilio na kufungwa juu kungeuma zaidi. Mpendwa mwenyekiti akaamua kupunguzia mashabiki na wanachama mojawapo. Waingie bure.
Mwenyekiti ubarikiwe sana.
 
Binadamu tumetofautiana katika fikra. Wapo wenzetu wenye uwezo wa kuona hadi ya kesho yake, akina mshana Jr, pasco wanalijua hili vizuri.
Leo namuweka mwenyekiti mpendwa sana wa yanga, kwa kuona mbali akaamua kupunguza machungu ya mashabiki. Maana kiingilio na kufungwa juu kungeuma zaidi. Mpendwa mwenyekiti akaamua kupunguzia mashabiki na wanachama mojawapo. Waingie bure.
Mwenyekiti ubarikiwe sana.
Asiishie kwenye hiyo mechi moja na mechi zingine zinazofuata aendelee na moyo huo!
 
wacongo man bwana,eti akiulizwa kwanini anafikiri watz wamefanya kuingia bure uwanjani?
jibu: mutu ya musiba hafanyagi malipo.musiba huwa NI BURE KWA BA MUTU BOTE!
 
Back
Top Bottom