Mechi za CAF jukumu la ulinzi uwanjani nani anahusika? Simba ikanushe hizi tuhuma

Mechi za CAF jukumu la ulinzi uwanjani nani anahusika? Simba ikanushe hizi tuhuma

Yanga waliwahi kuadhibiwa na CAF kisa kikiwa Basi la Rivers lilivunjwa kioo na kuibiwa Dola kadhaa wakati Yanga hawahusiki na ulinzi wa bus la Livers, vitu hivyo vili ibiwa wakati wachezji wakiwa mazoezini pale uwanja wa Taifa.

Shida ya Simba imekua iki lalamikiwa kwa muda mrefu na timu tofauti zaidi ya 7 zilizowahi kucheza na Simba apa DAR.
Mkuu yanga kwanini una sema haiusiki na ulinzi wa kati Yanga ni wenyeji wa Timu inayokuja Tanzania kucheza nayo.

Sent from my SCV48 using JamiiForums mobile app
 
Yanga waliwahi kuadhibiwa na CAF kisa kikiwa Basi la Rivers lilivunjwa kioo na kuibiwa Dola kadhaa wakati Yanga hawahusiki na ulinzi wa bus la Livers, vitu hivyo vili ibiwa wakati wachezji wakiwa mazoezini pale uwanja wa Taifa.

Shida ya Simba imekua iki lalamikiwa kwa muda mrefu na timu tofauti zaidi ya 7 zilizowahi kucheza na Simba apa DAR.

Huwa sio ukweli ndiyo maana hakuna adhabu wa ushahidi wa wazi. Ama wewe mwenzetu upo Ghana?

Ile ya Yanga uliona wazi kila kitu.
 
*Hotelini waliwekewa sumu kwenye chakula ikawathiri wachezaji wao watano na wakapona kabla ya mechi kwa jitihada za madaktari wao.
Hii wataijibu waliowapokea
 
Wakuu hizi timu huwa wanazusha tu tuhuma,unakumbuka timu nyingi walituhumu Simba kila wanapofungwa,lakini mwisho wa siku CAF wanatupilia mbali malalamiko,maana kila mechi ina makamishna wa CAF ,wanahakiki vyumba kabla ya mchezo,wanahakiki uwanja na wanaandika ripoti mechi ikiisha,mwisho wa siku wanapuuzwa tu
Inatakiwa vyumba vihakikiwe kabla na baada.
Vikihakikiwa kabla tu itabidi wawepo na walinzi, maana watu wabaya wanaweza kuwataimu watu wanao hakiki wakiondoka tu, nao wafanye Yao.
 
Back
Top Bottom