Mkuu yanga kwanini una sema haiusiki na ulinzi wa kati Yanga ni wenyeji wa Timu inayokuja Tanzania kucheza nayo.Yanga waliwahi kuadhibiwa na CAF kisa kikiwa Basi la Rivers lilivunjwa kioo na kuibiwa Dola kadhaa wakati Yanga hawahusiki na ulinzi wa bus la Livers, vitu hivyo vili ibiwa wakati wachezji wakiwa mazoezini pale uwanja wa Taifa.
Shida ya Simba imekua iki lalamikiwa kwa muda mrefu na timu tofauti zaidi ya 7 zilizowahi kucheza na Simba apa DAR.
Hujanbo CPA wa mchongo?Kwa ujumla wa kulaumiwa ni Yanga kuwaingiza chaka
Kuwa mwenyeji hakukufanyi mwenyeji utoe huduma ya ulinzi Kila wanapo kwenda.Mkuu yanga kwanini una sema haiusiki na ulinzi wa kati Yanga ni wenyeji wa Timu inayokuja Tanzania kucheza nayo.
Sent from my SCV48 using JamiiForums mobile app
Yanga waliwahi kuadhibiwa na CAF kisa kikiwa Basi la Rivers lilivunjwa kioo na kuibiwa Dola kadhaa wakati Yanga hawahusiki na ulinzi wa bus la Livers, vitu hivyo vili ibiwa wakati wachezji wakiwa mazoezini pale uwanja wa Taifa.
Shida ya Simba imekua iki lalamikiwa kwa muda mrefu na timu tofauti zaidi ya 7 zilizowahi kucheza na Simba apa DAR.
Hii wataijibu waliowapokea*Hotelini waliwekewa sumu kwenye chakula ikawathiri wachezaji wao watano na wakapona kabla ya mechi kwa jitihada za madaktari wao.
Inatakiwa vyumba vihakikiwe kabla na baada.Wakuu hizi timu huwa wanazusha tu tuhuma,unakumbuka timu nyingi walituhumu Simba kila wanapofungwa,lakini mwisho wa siku CAF wanatupilia mbali malalamiko,maana kila mechi ina makamishna wa CAF ,wanahakiki vyumba kabla ya mchezo,wanahakiki uwanja na wanaandika ripoti mechi ikiisha,mwisho wa siku wanapuuzwa tu
Chizi maarifa!Kwa ujumla wa kulaumiwa ni Yanga kuwaingiza chaka