Mechi za CAF Kesho: Yanga ataifunga Al Ahly na Simba atatoa Sare dhidi ya Jwaneng Galaxy, Na Tp mazembe atamfunga Mamelod

Mechi za CAF Kesho: Yanga ataifunga Al Ahly na Simba atatoa Sare dhidi ya Jwaneng Galaxy, Na Tp mazembe atamfunga Mamelod

Habari Wakuu,

Kuelekea Mechi za CAF CHAMPIONS LEAGUE kesho tarehe 2 December, Matokeo yatakuwa kama Yafuatavyo,

Yanga vs Al Ahly (Yanga Atashinda)

Jwaneng vs Simba (Itaisha kwa Draw)

Tp mazembe vs Mamelod (Tp Mazembe Atashinda )

Mimosas vs Wydad (Wydad Atashinda)

Nouadhibou vs pyramids (itaisha kwa Draw)

Etoile sahel vs Petro de Luanda (itaisha kwa Draw),

M screenshot hii Post mapema ili asije kesho baada ya mechi zote kukamilika mkasema post ilieditiwa,

Tukutane kesho baada ya Game zote kukamilika. Hayo matokeo niliyoorodhesha ni ya Mechi zote za CAF za Kesho.

Muwe na Usiku mwema, Tukutane kesho Kwa Mkapa.
Dah, hivi unajua unazungumzia Odds 619 mzee?! How can i trust you? Kwa laki au Buku?
 
Aisee Mamelodi ni wagumu sana ni Timu ambayo hawajui wanacheza kiwanja gani wakifungwa ni kuwa wamezidiwa tu uwezo hao Mazembe wanakufa hovyo kwa Esperance kama wadudu waliomwagiwa Rungu hakuna Timu pale sasa hivi labda watoe sare...
Mamelodi huwa hawana cha home wala away ni wa moto kotekote.

Ukiona timu Africa hii imeweza kuwadhibiti Waarabu tena huwa wanawapiga nje ndani hiyo timu achana nayo.
 
Aisee Mamelodi ni wagumu sana ni Timu ambayo hawajui wanacheza kiwanja gani wakifungwa ni kuwa wamezidiwa tu uwezo hao Mazembe wanakufa hovyo kwa Esperance kama wadudu waliomwagiwa Rungu hakuna Timu pale sasa hivi labda watoe sare...
Mpira ungekuwa rahis kama ambavyo umeelezea hapo, basi Bayern munich angekuwa anabeba Uefa kila mwaka
 
Mpira ungekuwa rahis kama ambavyo umeelezea hapo, basi Bayern munich angekuwa anabeba Uefa kila mwaka
Munich athanasius beba kombe mara 5 mfululizo Real alibeba UEFA mara tatu shida yetu tunadhani mpira ni mgumu kwa kuwa hatujawekeza tunataka matokeo chanya..
 
Back
Top Bottom