nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Kwahiyo wabetiji tukuamini kwamba Tp Mazembe atamfunga Mamelod leo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana watu kweli wa kutaka matokeo yule Shalulile na Ribero wote wasipate goli ni ngumu sana maana wanapeana assist za ukweli...Mamelodi wana mpira wa kasi sana wapo vizuri
Aisee Mamelodi ni wagumu sana ni Timu ambayo hawajui wanacheza kiwanja gani wakifungwa ni kuwa wamezidiwa tu uwezo hao Mazembe wanakufa hovyo kwa Esperance kama wadudu waliomwagiwa Rungu hakuna Timu pale sasa hivi labda watoe sare...Saa kumi sio mbali utaanza kuamin maneno yangu
Dah, hivi unajua unazungumzia Odds 619 mzee?! How can i trust you? Kwa laki au Buku?Habari Wakuu,
Kuelekea Mechi za CAF CHAMPIONS LEAGUE kesho tarehe 2 December, Matokeo yatakuwa kama Yafuatavyo,
Yanga vs Al Ahly (Yanga Atashinda)
Jwaneng vs Simba (Itaisha kwa Draw)
Tp mazembe vs Mamelod (Tp Mazembe Atashinda )
Mimosas vs Wydad (Wydad Atashinda)
Nouadhibou vs pyramids (itaisha kwa Draw)
Etoile sahel vs Petro de Luanda (itaisha kwa Draw),
M screenshot hii Post mapema ili asije kesho baada ya mechi zote kukamilika mkasema post ilieditiwa,
Tukutane kesho baada ya Game zote kukamilika. Hayo matokeo niliyoorodhesha ni ya Mechi zote za CAF za Kesho.
Muwe na Usiku mwema, Tukutane kesho Kwa Mkapa.
Watu wa mikeka wanakuumiza akili?Naona ushaenda chaka mzee, subiri muda wa game ufike.. Matokeo hayo yakitokea hivyo, kuna buku ya vocha hapa.
Mamelodi huwa hawana cha home wala away ni wa moto kotekote.Aisee Mamelodi ni wagumu sana ni Timu ambayo hawajui wanacheza kiwanja gani wakifungwa ni kuwa wamezidiwa tu uwezo hao Mazembe wanakufa hovyo kwa Esperance kama wadudu waliomwagiwa Rungu hakuna Timu pale sasa hivi labda watoe sare...
Tia BukuDah, hivi unajua unazungumzia Odds 619 mzee?! How can i trust you? Kwa laki au Buku?
Acha kukariri, Baad ya dakka 90 utaamin nilichosemaYANGA atafungwa 1:0 bao ni la free Kik na Simba atatoka sare 0:0
Mpira ungekuwa rahis kama ambavyo umeelezea hapo, basi Bayern munich angekuwa anabeba Uefa kila mwakaAisee Mamelodi ni wagumu sana ni Timu ambayo hawajui wanacheza kiwanja gani wakifungwa ni kuwa wamezidiwa tu uwezo hao Mazembe wanakufa hovyo kwa Esperance kama wadudu waliomwagiwa Rungu hakuna Timu pale sasa hivi labda watoe sare...
Bado masaa matatu ifike saa kumi utarejea huu uzi hapa kutoa ShukraniWana watu kweli wa kutaka matokeo yule Shalulile na Ribero wote wasipate goli ni ngumu sana maana wanapeana assist za ukweli...
Jusimdharau usiyemjuaAcha kukariri, Baad ya dakka 90 utaamin nilichosema
Stake what you can affordKwanini asitie laki mkuu?
Si ni uhakika?
Mpelekee tuHuu mkeka nikimpelekea bibi yangu kule Namtumbo hautachanika kweli?
aah lakini umetuhakikishia hapa kwamba utabiri wako haubadilikiStake what you can afford
Mimi nipo live hapa faza wacha tusubirie burudani yetu...Bado masaa matatu ifike saa kumi utarejea huu uzi hapa kutoa Shukrani
Munich athanasius beba kombe mara 5 mfululizo Real alibeba UEFA mara tatu shida yetu tunadhani mpira ni mgumu kwa kuwa hatujawekeza tunataka matokeo chanya..Mpira ungekuwa rahis kama ambavyo umeelezea hapo, basi Bayern munich angekuwa anabeba Uefa kila mwaka