Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka huu muda ushachana mkeka tayari
Nadhani kiburi kimeanza kukutoka Sasa . Subiri saa Moja kukamilisha nilichosema awaliAcha kukariri, Baad ya dakka 90 utaamin nilichosema
Tp Mazembe anaongozaSimba katoa draw
Bado mkeka unapumua
Tunaomba iishe hivyo hivyoTp Mazembe anaongoza
AaahaaaaaMleta mada nimemfundisha vizuri, anafuata vizuri nyayo zangu
Naona utabiri wako mechi mbili za mwanzo unakwenda vizuri.Habari Wakuu,
Kuelekea Mechi za CAF CHAMPIONS LEAGUE kesho tarehe 2 December, Matokeo yatakuwa kama Yafuatavyo,
Yanga vs Al Ahly (Yanga Atashinda)
Jwaneng vs Simba (Itaisha kwa Draw)
Tp mazembe vs Mamelod (Tp Mazembe Atashinda )
Mimosas vs Wydad (Wydad Atashinda)
Nouadhibou vs pyramids (itaisha kwa Draw)
Etoile sahel vs Petro de Luanda (itaisha kwa Draw),
M screenshot hii Post mapema ili asije kesho baada ya mechi zote kukamilika mkasema post ilieditiwa,
Tukutane kesho baada ya Game zote kukamilika. Hayo matokeo niliyoorodhesha ni ya Mechi zote za CAF za Kesho.
Muwe na Usiku mwema, Tukutane kesho Kwa Mkapa.
Kama kuna mtu aliufuata huu mkeka atakuwa anacheka tuWe Jamaa una hatariii, kama hulogi basi ni jiniazii sana...hupaswi kuiishi nchi Moja na Gigy.
Yanga leo ni kicheko piaNaona utabiri wako mechi mbili za mwanzo unakwenda vizuri.
kuna mtu alisema hivyo kwenye mechi Ya Tp mazembe dhidi ya Mamelod, sasa na wew utakuw wa pili Baad ya Mechi kuisha Uludi hapa Kwenye huu uziYanga kuishinda ahly ni ndoto za mchana.
Hahahha Hapan mkuu silogiWe Jamaa una hatariii, kama hulogi basi ni jiniazii sana...hupaswi kuiishi nchi Moja na Gigy.