Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Update[emoji818]Mnatoa Apdate yanini wakati mlisha sherehekea ubingwa
Hahahaah poleni na kipigo.........na hongereni kwa ubingwa.!Hawa Yanga inabidi wapewe fimbo haiwezekani wafanye ujinga mfululizo namna hii..!
Ubingwa bado wanapumlia mashine...! tunasubiri figisu ya TFFUbingwa kwa kufungwa [emoji3]
Walioshuka ni JKT, TOTO AFRICA na AFRICAN LYONMm nataka kujua walioshuka tu
Uongozi makini unaweka pingamizi mapema kabla ya mchezo maana majina ya wachezaji wa mechi hiyo huwa yametolewa. Kusubiri baada ya kufungwa ni uchuroSimba mabingwa, tunarejeshewa pointi zetu 3
Watu wameshakabidhiwa tayariUbingwa bado wanapumlia mashine...! tunasubiri figisu ya TFF
African Lyon, Toto Africa na JKT RuvuJamani Walioshuka Daraja Akina Nani?