Hakuna lolote Mkuu, timu yetu Ni ya kijinha Sana, hivi sisi Ni Wa kufungwa na mbao kwenye mechi muhimu hivi? Inauma Sana, vipi lakini Mkoa mpya huko mambo yanaenda? Huku mjini chakula nimepanda bei mno kupita hata petrol,Asante Mkuu ila hawa Mbao sio mchezo mchezo.
Ahsante kwa kulitambua hilo mkuu..safari bado ni ndefu sanaKuna vitu vinakwaza Sana, yaani kisaikolojia Tu ilikua tumeshawafunga hawa Mbao. Sasa kwa mpira huu tukikutana na Timu za waarabu tutatoka? Au ndio kama kila siku kwenda kuwasindikiza Tu wenzetu kwenye tournament?
Fainali ya FA inabidi tujiandae.!Asante Mkuu ila hawa Mbao sio mchezo mchezo.
Mkuu hawa tunatembea nao mapema sana, Simba taifa kubwaaaaaFainali ya FA inabidi tujiandae.!
Kabisa, kumbukumbu game ya mwisho kwenye ligi bila miamala mlikuwa hamtoboi.Fainali ya FA inabidi tujiandae.!
Pole mtani.Ubingwa gani huu mchachu namna hii?
Hongereni Wanayanga wenzangu,ila sina raha kabisa.
Bora nifanye mambo yangu mengine maana hata kuserebuka nashindwa.
Kwa unyoooooonge kabisa....
Cheers [emoji17] [emoji485]
Hahahaah poleniKinachouma ni Mbao kutufunga mechi za mhimu tu......
Acha upu... , marangi gani haya yakutumia[COLOR=]YANGA SHANGILIENI UBINGWA, ILA HAWA MBAO UDHALILISHAJI GANI HUU KWA WATU WAZIMA
Nawe Acha Kiherehere Au UBINGWA MCHACHU?Acha upu... , marangi gani haya yakutumia