TANZIA Medi wa Ngara Oil afariki Dunia

TANZIA Medi wa Ngara Oil afariki Dunia

Jikite kwenye jukwaa la mapenzi
Mnapenda sana hizi taarifa za misiba sijui mnafurahia ama? So boring

Mnaumiza ndugu jamaa na marafiki kwa ushabiki wenu wa kijinga.

Acheni kufurahia vifo vya wenzenu
 
Ukiona mwenzio ananyolewa wewe tia maji.Tuko njia moja mkuu.La msingi ni kujiandaa kwani hatujui siku wala saa.
 
Apumzike kwa amani.

Ila kwa vifo hivi Mh. Rais kwa kujua au kutojua kwako unatukwaza sana mheshimiwa.

Kwanini unatufanyia hivi kweri?

Hadi afe nani? Au hadi tufe wangapi?
Kwani Mh Raisi unaemlalamikia ndiyo aliyeumba kifo!?
 
Inakera kinyama, mtu akisikia msiba tu anawahi JF kuanzisha uzi
Si bora huku huko whats up watu wana default msg wanabadili jina tu wameshatuma mtu hata hajapoa wameshatuma. Juzi nilipewa habari ya msiba nikasema saa ngapi amefariki naambiwa sasa hivi, nikasema siwapigii wahusika kuwapa pole mpaka niwasikie wenyewe wametangaza maana msiba kawaida wenye msiba wanatakiwa waseme, wewe unapiga simu poleni kumbe mtu yuko ICU haya mambo nashauri hata kama umesikia lakini subiri wenye msiba wathibitishe.
 
Jf imekuwa ya MATANGAZO YA VIFO.
ipo siku mtu atafiwa na KUKU wake ataleta tanzia humu.tumechoka
Kwani ndugu zao wamewatuma mje mtangaze msiba wao?
Wewe unajuwaje kama wanaoleta hizi taarifa hapa ni ndugu zao wafiwa? Halafu kama hutaki kusoma siuache kwani umelazimishwa we vipi?
 
Salaam

Kwa majonzi makubwa, nimesikitika kupokea kifo cha Mmiliki wa Vituo vya Mafuta vya Ngara Oil.

Ameugua kwa Muda mfupi, leo kakodi ndege kwenda Dar kwa Matibabu zaidi, kifo kikamkuta huko.

Mbele yetu nyuma yake.

Bob Marley neno la Mwisho alomwachia mwanaye ni kwamba hela haiwezi kununua Uhai. Money can buy a life.

Pumzika kwa amani Kamanda.

Vifo vinagusa sana jamii yetu. Omba sana usipate msiba kwako.
View attachment 1694721
Jazia Nyama kwenye Uzi wako, alizaliwa wapi, je Mtaji wa kuuza mafuta aliupataje,je baada kifo chake Nani atakua Mrithi wa biashara zake nakadhalika! Sasa wwe unatuambia tu mtu kafa Basi umemaliza!!
 
Salaam

Kwa majonzi makubwa, nimesikitika kupokea kifo cha Mmiliki wa Vituo vya Mafuta vya Ngara Oil.

Ameugua kwa Muda mfupi, leo kakodi ndege kwenda Dar kwa Matibabu zaidi, kifo kikamkuta huko.

Mbele yetu nyuma yake.

Bob Marley neno la Mwisho alomwachia mwanaye ni kwamba hela haiwezi kununua Uhai. Money can not buy a life.

Pumzika kwa amani Kamanda.

Vifo vinagusa sana jamii yetu. Omba sana usipate msiba kwako.
View attachment 1694721
Waarabu na waarabu koko watakufa sana,tatizo wanapenda sana kukusanyika na hapo ndo wanaambukizana. To be honest nimeona wagonjwa wengi ni wanaume waarabu na waarabu koko.
 
Mnapenda sana hizi taarifa za misiba sijui mnafurahia ama? So boring

Mnaumiza ndugu jamaa na marafiki kwa ushabiki wenu wa kijinga.

Acheni kufurahia vifo vya wenzenu
Unadhani kuficha taarifa kunapunguza ukweli wa vifo? Ushabiki ni upi ambao mleta taarifa ameutonesha? Dhamira ya unafiki na Kiburiii vinawachoma. Just a matter of time, Truth is there to stay!!
 
Wapi nimekutukana nyokolist. Unajiumbua kwa ID nyingi nyingi
Mimi nimeingiaje tena huko?
Nilipoandika "Tafadhali tusitukanane" niliandika kwa kukusudia matusi yanayoingia jukwaani humu.

Sisi wa Ngara au wenye uhusiano na Ngara tunahusika na taarifa hizi.
Marehemu alikuwa ni sehemu yetu.
Tunamshukuru sana mtoa taarifa.

Naamini hakuna anayelazimishwa kusoma asilolitaka.
 
Mh. Rais amekuwa akisema hadharani corona haipo wakati ipo.

Moshi mkurugenzi wa halmashauri kaamuru madiwani kuvua barakoa.

Huu ugonjwa unataka mabarakoa, kunawa nawa mikono, social distancing na kuwahami walioko Hatarini zaidi.

Dar wameonyesha njia:


Wapi tunapomtaka kutufanyia lolote?

Anatukera kwa sababu hataki kukubali ugonjwa upo. Matokeo yake anadhoofisha juhudi za watu kujilinda na hivyo kutolinda wengine pia.

Hataki kuwahami walioko hatarini.

Kimsingi hataki kujihusisha na huu ugonjwa. Hataki kuwaachia wataalamu wa afya kuongoza vita dhidi ya ugonjwa huu hali yeye si mtalaam wa magonjwa.

Sisi kama walipa kodi kwa misimamo yake hii kwa hakika inatukwaza sana hasa tunapoona watu wakifa kwenye mazingira yaliyowezekana kabisa kuzuilika.
Kwahiyo unasubiri Rais akuambie unawe mikono, uvae barakoa, n.k?
Basi sawa
 
Wapi alisema hakuna ugonjwa?

Halafu akisema upo au haupo ndio inaondoa ukweli na uhalisia wa huo ugonjwa? Huko kwenye matangazo daily ndio ugonjwa umeisha kwa matangazo ya Rais?

Chuki ZINGINE zihamishie shambani
 
Back
Top Bottom