Hapa swala sio copy and paste..hapo ni unajarbu tu kuweka league
Kuna vitu ni common..kinachotakiwa ni uboreshaj tu.
Kwani radio ngapi zina top 10 au top 20? Kwaiyo hapo tuseme nazo ni copy n paste?
Vipindi vya taarabu nazo ni copy n paste? Vipo vingap hpa Tanzania?
Swala ni uboreshaji tu na ubunifu kwa vipind hivyo hivyo vilivyopo
Kwaiyo kisa kuna peps,hutak Coca-Cola iwepo?
Ndiomana kuna matamasha vile vile...kila mmoja ana uboreshaji wake...
Anyways mkuu msalmie diva hapo mjengon
Sent using
Jamii Forums mobile app