Media zetu zinavyofunga akili zetu kwa minyororo ya michezo ya kubashiri

Ningelikua na mamlaka fulani ya juu nchi hii [emoji847] ningelipiga marufuku michezo yote inayo husiha bahati na sibu, sijui kamari ikiwemo kubeti vile vi dude vya wachina wanavyo weka 200 ili kucheza n.k nguvu kazi ya taifa ina lemazwa.
Hao ndio walia kodi wakubwa
 
Redio zilianzishwa kwaajili ya watu maskini, kaa ndani msikilize anayelipwa mshahara, matangazoya biashara yapo kwa ajili yako, Ndo maana namkubali sana Chibude#Wasafibet.
Mbn ueleweki
 
Mkuu pesa yoyote ya kamali imelaaniwa na Mungu,hata ujenge nyumba ipo siku tu ima utaiuza au itaungua au utadhulumiwa au inaweza tu ikavunjwa na serikali kwamba umejenga mahali pasiporuhusiwa.....huwez kufanyia la maana pesa kamali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…