Fundi Madirisha
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 184
- 988
Elewa basi ukiambiwa kua politics ndani yake. Ni kozi gani ina Pre and Post internership?Binafsi sijawahi kusikia au kuona Daktari halisi akiogopa au kulalamika kufanyishwa mtihani unaolenga kupima ufahamu wake wa kuweza kutibu wagonjwa.
Woga wa nini ndugu kama ulifuzu vyema udaktari wako?