Medical council of Tanganyika(MCT), acheni kuonea vijana wa wanaomaliza udaktari

Medical council of Tanganyika(MCT), acheni kuonea vijana wa wanaomaliza udaktari

Mkuu inawezekana una point.. lakini ungeona structure ya huo mtihani ungeelewa andiko la jamaa.. mtihani ni wakisiasa sana..
Maana mtihani una maswali 150 unayafanya kwa masaa 3. Maswali yote ni multiple choice na ni theory tu.

Kijana wa mwaka wa 3 ana mtihani ulio realistic zaidi ya mtihani wa post au pre intern..

Hii mitihani ingekua ya maana kama ingekua theory na practical kama mtihani mingine ya medical school. Lakini huu wa maswali 150 tana theory ni kupotezeana muda na pesa tu.

Pia hela ya registration kupata leseni baada ya kufaulu hio mtihani ni kubwa sana.. imagine mtu huna kazi utoe 300k kwa ajili ya registration na kupata leseni.
Wewe ndio umechanganya mambo hapa.
Mleta mada ameleta bandiko la kiujumla la kupinga uwepo wa pre& post intern exams kwa sababu eti wahitimu wa udaktari tayari walichafanya mitihani mingi sana na kufaulu wakiwa bado chuoni. Na sisi tumempinga kwa kusema wazi kuwa; kwa mhitimu yoyote wa Udaktari hapaswi kuogopa mtihani na anapaswa mara kwa mara kupimwa upeo wake kwa mitihani kwa lengo la kumkumbusha wajibu wake na kujiridhisha upeo wake kabla ya kutibu watu.

Kuhusu ubora wa hiyo mitihani, hilo sijui, na wala sio hoja ya hapa. Yote kwa yote, kwa kuwa mitihani hiyo inaandaliwa na baraza la madaktari (MCT), chombo chenye jukumu la kusimamia utendaji wa madaktari kila siku basi presumptive tunaweza kusema ni mitihani yenye viwango na kukidhi taaluma ya udaktari hapa Tanzania.
 
Naomba utuambie hapa ni fani gani, au nchi gani ina hii kitu inaitwa Pre intern na post, angalau post, lkn hii pre ni nini hiki?, Kwa ajili gani?
Kama unadhani kuhitimu MD kunaweza kukufanya ufanye kazi popote, basi nenda leo na degree yako USA, UK, Germany, Canada nk halafu kajaribu kuomba kazi kisha njoo tupe mrejesho hapa JF.

Kukusaidia tu, kila nchi ina standard zake, na kuna nchi unaweza kuteseka zaidi ya miaka mitano huku ukifanyishwa mitihani tu na bado usiruhusiwe kufanya kazi.
 
Kama shida ni hii, basi hivyo vyuo vifungwe havina sifa, lkn sio kuleta mambo ya ajabu ajabu kama haya, mtoto wa maskini hasa waliosoma private wanalipa fedha nyingi sana mpaka anamalza anakuwa amefilisi familia,leo tena mnamletea mitihani isiyokuwa na nia nzuri kwake
Chuo nenda kasome popote lakini inapokuja suala la professionalism&Practices kila nchi kuna mamlaka zinazosimamia fani husika kwa utaratibu maalum. Usilazimishe vifanane wakati zina malengo tofauti. Usiingie kwenye mchezo kama hujui kanuni za mchezo, utaishia kulaumu kila mtu.

Wahitimu wa sheria wanautaratibu wa kwenda Law school......
Wahitimu wa uhasibu wanakwenda kupigwa serial exams za CPA......
Wahitimu wa Ugavi (Procurement) nao wanabananishwa na serial exams...

Sasa mhitimu wa MD kuwekewa mitihani miwili tu anaanza kulalamika, Daktari gani wa ovyo huyo?
 
Hili swala la mitihani baada ya mtu kumaliza masomo na kugraduate sidhani kama ni sahihi sana na naliona kama ni kwa ajili ya upigaji zaidi .
Vipi kuhusu waajiri kuwapigisha interview (mitihani) waombaji wa kazi wakati tayari wanavyo vyeti vya kuhitimu nalo limekaaje?
 
Wapimwe tu maana yanayoendelea huko vyuoni ni aibu
Nilishuhudia kwa mchepuko wangu anasoma Bugando 3yr mtihani ya semester iliyopita walikuwa wanauziana huko telegram kwa sh elfu15 wenyewe wanaita Gaka.
Sasa Watu kama hao wakiachwa wapite tu mpaka kazini itakuwa massacre.

Wewe kama ulisoma na kufaulu unaogopa nini mitihani? Hata ungeambiwa kila mwezi mtihani
 
Naomba utuambie hapa ni fani gani, au nchi gani ina hii kitu inaitwa Pre intern na post, angalau post, lkn hii pre ni nini hiki?, Kwa ajili gani?

What Is the Purpose of the Medical Internship?

Put simply the medical internship forms a provisional or pre-registration year between medical school and working as a clinical doctor. It can be considered as a final test or assessment of a trainee doctor’s capabilities prior to being able to work independently READ MORE source : Guide To The Medical Internship In Australia. Key Facts.
 
post, angalau post

The reality for trainee doctors now is that they continue to work in supervised roles for a number of years after completing an internship

WHAT IS A MEDICAL RESIDENCY (Post intern) LIKE?

Many medical students are curious to know: how long is medical residency? Exactly what is a medical resident? A medical residency takes place in a hospital or clinic and provides in-depth training within a specific medical specialty. Typically, residencies last for three years. Doctors-in training develop skills in laboratory work, medical procedures, patient care, quality control, and self-care—both mental and physical—as well as the “disclosure of adverse events''—the delivery of bad news. First year residents are called “interns” because the first year of residency—also called PGY-1 (post-graduate year one)—is considered an internship. Interns become “residents” from PGY-2 onward as they concentrate more on their specialties. Doctors who advance to subspecialties after residency are known as “fellows,” as their training is called a fellowship. Doctors must go through the application, interview, and match process again to enter a fellowship.

Residency is intensive and difficult, and doctors-in-training work long hours as they put their classroom and clinical experience into practice. To ensure safety and quality of care, the ACGME limits interns, residents, and fellows to an 80-hour work week—exactly twice that of a full-time 40-hour job. That 80 hours includes all in-house clinical and educational training, clinical work done from home, and “moonlighting”—working an extra job in addition to a residency or fellowship. (Interns are forbidden to moonlight.) READ MORE : What is a Medical Residency Program and How do I Get into One?


READ MORE : Length of Residencies - Residency Roadmap
 
Naomba utuambie hapa ni fani gani, au nchi gani ina hii kitu inaitwa Pre intern na post, angalau post, lkn hii pre ni nini hiki?, Kwa ajili gani?

27 September 2021

HOW TO APPLY FOR MEDICAL INTERNSHIP IN TANZANIA||Internship in Tanzania



Source : The White Coat Hub

HOW TO APPLY FOR MEDICAL INTERNSHIP IN TANZANIA||Internship in Tanzania


27 Sept 2021
Hello here are links for all steps necessary for application _____________________________________

Step 1 The registration process starts with degree verification, so you have to get your degree verified by the Tanzania commission of Universities (TCU). The application is done online at https://faas.tcu.go.tz/login.php You will pay about USD$50 After the degree is verified you will come to Dar es salaam or have an agent to collect the TCU certificate

Step 2 - apply for the Pre Internship Examination - $50 application http://mct.go.tz/index.php/faqs/new-a...

Step 3 when the application window opens you will have to apply online on the MCT (medical council of tanganyika) website. You will upload the required documents eg passport, qualifications, and the TCU certificate etc . You will then choose the one hospital. You will pay USD$105 for the provisional license

Step 4 When your application is accepted you will then go to the Medical council in Dodoma to collect your provisional license to practice and other documents. You will also submit the certified copies of the documents you uploaded during the application procedure.
 
Kwanza nikiwa kama mzazi niwape pole sana mamia kwa maelfu wa vijana wanaomaliza udaktari katika vyuo mbalimbali hapa nchini,kwa sababu ni wahanga wakubwa wa hii kitu inaitwa MCT.

Mchakato wa kumpata daktari unajulikana na ni mgumu sana kwani mtu kufikia kumaliza miaka mitano ya udaktari wa binadamu anakuwa amepitia mitihani mingi ya theory na practical.

Sasa hawa MCT wamekuja na kitu kinaitwa pre internship na post internship, kichekesho zaidi ni hiyo pre internship, ndugu zangu duniani kote na hata hapa Tanzania kwenye baadhi ya mabaraza kama famasia, maabara, na wauguzi, hamna kitu kinaitwa pre internship exam, unampima nini kijana ambae anatarajia kufanya mafunzo ya internship mwaka mmoja??? Lengo lenu katika hili ni nini?, Ina maana nchi hii madaktari wametosha kiasi hicho mnaamua kuzima ndoto za vijana??.

Maombi yangu kwa hawa wakubwa;
Waziri wa afya na naibu wake,
Na kwa unyenyekevu Mh. Rais wetu Mama Samia, naomba kuagizwa kufutwa mara moja kwa hiki kitu kinachoitwa pre internship na pia kukiangazia kwa jicho la tatu post internship kama inafaa kuendelea kuwepo kwenye kada hii ya udaktari.
MCT ni kero kwa madaktari.
 
Ten
Huo mkato unaousema ni upi au unajibu tu kama umekatwa kichwa, haya nikuulze swali, hii mituhani imeanza mwaka jana, je huko nyuma ilikuwaje, hujawahi kwenda kutibiwa ukapona??, Unahisi hao waliokutibu pia walifanyishwa mtihani kama huu?? Sisi wazazi wenye watoto hasa ambao tumetoa fedha kusomesha ndio tunajua uchungu wa hiki
Tena umemuuliza vizuri, na je hao wanaowafanyisha mtihani wenzao na wao walifanya mtihani huo? Na kama hawakufanya kwa tutilie shaka uwezo wao wa kutibu!!
 
Najaribu kutafakarii sipati picha Ila acheni Mungu aitwe Mungu tu
 
Woga wa nini kuhusu kufanya mtihani ikiwa mhusika alikaa vizuri darasani na kufaulu? Mimi ninaamini madaktari ni watu wanaojiamini na kuenjoy kufanya mitihani sana, sasa mitihani miwili tu (Pre and post internship), tena mitihani muhimu kwa professional yake iweje Daktari alalamike?
Katika hili nitawatetea MCT kwa 100%.
Kwa mfano:

1. Katika mazingira ya sasa ambao vijana wamesoma katika vyuo vingi tofauti na katika nchi tofauti tofauti sana, kigezo cha kuwapima kuwa wamefuzu kabla ya kuanza internship ni kuweka mtihani tu ili kuwa na standard zinazokubalika.

2. Katika mazingira ambayo vyuo vingi vimekuwa vikichakachua ufaulu, ni kwanini MCT isiweke mtihani ili kujiridhisha kama mhusika anafuzu kutibu watanzania?
Naunga mkono hoja. Tena ufanyaji wa mitihani hiyo usimamiwe kwa juhudi zote hakuna mtahiniwa kuangalizia. Ikiwezekana "wanikodi" kusimamia hiyo mitihani.
 
Kama unadhani kuhitimu MD kunaweza kukufanya ufanye kazi popote, basi nenda leo na degree yako USA, UK, Germany, Canada nk halafu kajaribu kuomba kazi kisha njoo tupe mrejesho hapa JF.

Kukusaidia tu, kila nchi ina standard zake, na kuna nchi unaweza kuteseka zaidi ya miaka mitano huku ukifanyishwa mitihani tu na bado usiruhusiwe kufanya kazi.
We ni mshamba sana , rudi shule
 
hawa wanao weka ugumu ni waleee manesi walio chaguliwa na Sarungi kwa mafungu kwenda huko burgaria kusomea udaktari!! sasa wana uchungu kweli lkn wamezeeka soon wata pata pensheni zao!
 
Naona madaktari wa michongo manaogopa mitihani..

MTC nao imejaa matapeli kwahiyo ngoma droo.

Cha msingi kuwepo na mtihani baada ya kumaliza intern..yani kusajiliwa wala kupewa leseni kama hujafanya huo mtihani.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom