Shekilage haelewii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Unasupp mpaka unaelewa somo.. hawa MD wanapitishwa ila hilo suala la Pre intern ni kuwaoneaa aiseee..Pepa zetu za pharmacy zina balaa..
PC001
PC002
PC003
Imepitishwa mkuu..kwa mwaka huu wanafanya tarehe 13 this month kabla ya kuanza intern November.Eeehe kumekuchaaa... Mbona majanga kwani hii imepitishwa????[emoji3][emoji3][emoji3]
Shekilage anakula vichwa sio poa..ukipata leseni yako unafurahi kinoma..Shekilage haelewii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Unasupp mpaka unaelewa somo.. hawa MD wanapitishwa ila hilo suala la Pre intern ni kuwaoneaa aiseee..
Bora umewahi kusema, maana Makanjanja huwa ndio wanawahi siti za mbele.Ningependa mada hii ichangiwe na wanataaluma zaidi wengine tubaki wasomaji.
Tutajuwa mchele na pumba ni zipi tukipata intellectual argument za wanataaluma.
Hivi mkuu Pharmacy ni ngumu sana?!!Shekilage anakula vichwa sio poa..ukipata leseni yako unafurahi kinoma..
Siwezi kusema ni ngumu au laini kulinganisha na nyingine..lakini nachoamini ni kuwa inabidi ukae chini ujifunze sana..Hivi mkuu Pharmacy ni ngumu sana?!!
Mbona nikikutana na washkaji wanaongea kana kwamba Kuna URASIMU NA "PSYCHOLOGICALLY TORTURE" kwa wanafunzi na pia malipizi ya kuonea wengine kwa wale waliokwisha kupita na kufanikiwa kada hiyo?!!
Oooo kumbe....Siwezi kusema ni ngumu au laini kulinganisha na nyingine..lakini nachoamini ni kuwa inabidi ukae chini ujifunze sana..
Kuna kozi bhana ni ngumu kama Pharmaceutics..huko mtu unasoma hadi hesabu za Laplace..yaani full kuvurugana..kimsingi sio fani rahasi rahisi tu kusoma.
Laiti MD wangekuwa wana Sup mitihani hiyo kama wale wa Pharmacy Council(Pharmaceutical personnel), hoja ya upigaji na ukusanyaji wa mapato ingekaa vyema sana, maana ungeona wanavyolipishwa kila wanapofanya mtihani.
MD kwenye hii mitihani wanafaulu wote(sijasikia habari za kusup).
Kule Pharmacy Council ufaulu huwa ni chini ya 50% kwa kada zote(Pharmacist, Pharm Tech, Pharm Assistant), halafu kuna masomo 3 ya kufanyia mtihani. Kila somo linalipiwa. Watu husup hadi mara 4 na kila sup wanailipia. Huoni hapa ndipo wanapokusanya mapato? Unaweza kulinganisha na MD wanaofaulu wote, tena somo(mtihani) moja(mmoja)?
Pharmacy Council, pepa zinapigwa mara 3 ndani ya mwaka 1, MCT wanapigisha pepa kwa awamu ngapi kwa mwaka?
Si unaona Pharmacy Council wanavyokusanya mapato?
Suala la mitihani libakie palepale na kuboreshwa zaidi, hapa tuungane kuhoji upigaji kama dalili zipo, ingawa upigaji lazima uwepo.
Wenzetu(mataifa mengine) wamepiga hatua kwa sababu mifumo yao ya kuzalisha wanataalum ipo madhubuti, sisi huku wakitaka kuimarisha mifumo tunaona ni nongwa, sijui ni lini tutafika walipofika wenzetu.
Mkuu umeeleza vizuri sana,lakini pia modality yake iwe inayoelewekaNchi za watu huku mitihani hufanyika baada ya kumaliza muda wa mazoezi .
Hiyo pre-intern kama sijaielewa vizuri kidogo lengo lake kubwa ni nini..japo nilikua miongoni mwa watu tuliohitaji post intern exam iwepo kipindi kile maana MD's walikua hawana mtihani huu baada ya intern japo hata modality ya mtihani wenyewe waliouweka nilijulishwa sio mzuri..
Huku mtu ili apate leseni lazima afanye USMLE exam na umegawanyika step 1 & 2 .
Nadhani Tanzania wangetembea na mfumo huo tu.
Mkuu mie naamini hakuna course ngum ili Hali mtu kaomba akaisome ,tiyari amejiandaa ,na anajua anaimudu, hao wasitishe watuOooo kumbe....
Ndio maana basi wakimaliza na kuwa walimu huwa watata sana....🤣🤣
Tukiwa huko mapumzikoni tunawasikia hao jamaa wanavyojitapa kwa "kuwaning'iniza wanafunzi " ha ha ha
KWa iyo ina maana gani Kama Sio kuhujum uchumi, maana vijana wanadaiwa pesa huko bord lini wataanza kuzirejesha ? Maana mtu anabaki ameshikili cheti tu maana yake hawezi ajirika popote, maana yake NIKUWEKA Cheti kabatin na kuendesha bajaji, MCT ni kwamba hawajui serikali imewekeza pesa NYINGI KWa Hawa vijana? Na Sio chin mil 30, KWa KILA kijana, pesa hizi ni kodi za WATANZANIAImepitishwa mkuu..kwa mwaka huu wanafanya tarehe 13 this month kabla ya kuanza intern November.
Nataka kuamini kuwa wanaangalia zile basics tu,na mtu asiyekuwa nazo basi intern hatoenda,utaendelea kuishikilia tu degree yako.
Hahahhaa.Shekilage anakula vichwa sio poa..ukipata leseni yako unafurahi kinoma..
🤣🤣Kwa hiyo "wanajimwambafai tu"?!! Ha ha haMkuu mie naamini hakuna course ngum ili Hali mtu kaomba akaisome ,tiyari amejiandaa ,na anajua anaimudu, hao wasitishe watu
Mie si dkt na aghalabu sijawahi kuwa na ndoto ya kuwa lakini siihitaji rocket science kujua MCT wamechemka kama hoja za mtoa mleta maada ni za kweli.Ningependa mada hii ichangiwe na wanataaluma zaidi wengine tubaki wasomaji.
Tutajuwa mchele na pumba ni zipi tukipata intellectual argument za wanataaluma.
Acha uongo yan CA akawa bora kuliko MD co kweli. Na haiwez kutokeaTena waongezewe na mid interm exam, hivi wajua mtoa mada kuwa siku hizi kuna MD vilaza? Tena wengi mno, wamekuwa lecerned na MCT lakini wakija in ground bora hata CA, tena wakikaa mwaka wakajua jua hata ku circumcise wana anza dharau na kuyataka madaraka.... Wapigwe tu hakuna namna na alie feli arudi tu 1st year hakuna namna
Lazima tuwe wawazi binadam yeyote huweza badilika lingana na mazingira yanayomkabili, mpaka mtu anaomba course flani amejiandaa ,vinginevyo Kama zingekua ngum Kama wanavyotaka kuaminisha umma basi watu wasingekua wanaenda na kumaliza course zao, huku kutisha nikutaka tengeneza vizazi vijavyo ili waanze ogopa course flan flan🤣🤣Kwa hiyo "wanajimwambafai tu"?!! Ha ha ha
Ni kweli mkuu yupo mdau hum amesema wanafanya pre intern tarehe 13/oct/2021Mie si dkt na aghalabu sijawahi kuwa na ndoto ya kuwa lakini siihitaji rocket science kujua MCT wamechemka kama hoja za mtoa mleta maada ni za kweli.
Ila kiukweli ni kuwa baadhi ya "madokta,wafamasia,mainjinia,wanasheria" huwa wana EGO sana huku mabaa na vijiwe maskani.....tunasikia tambo zao kuwa walichosoma ni KIGUMU kama vile kimetoka sayari za mbali 🤣Lazima tuwe wawazi binadam yeyote huweza badilika lingana na mazingira yanayomkabili, mpaka mtu anaomba course flani amejiandaa ,vinginevyo Kama zingekua ngum Kama wanavyotaka kuaminisha umma basi watu wasingekua wanaenda na kumaliza course zao, huku kutisha nikutaka tengeneza vizazi vijavyo ili waanze ogopa course flan flan
Yupo kijana wangu wa mwisho anataka kua ruban ,Sasa nianze muogopesha masomo ayo ni Magum wakati yeye ameamua na ndo anachotaka, Mimi Kama mzazi nikuhakikisha natumia akili, ili afanikishe ndoto zake japo ni gharama kweli kweli , ila lazima maana ndo anachotaka