Medical Council of Tanganyika (MCT) lengo lenu ni lipi kwa vijana wetu? Njooni mueleze

Medical Council of Tanganyika (MCT) lengo lenu ni lipi kwa vijana wetu? Njooni mueleze

Mabaraza mengine mfano lile la wauguzi (TNMC) wameleta na mfumo mwingine extra wa CPD (Continuing Profesional Development), ambapo ukishapata leseni huwezi kui-renew mpaka uwe umepitia training mbalimbali na kujikusanyia points kadhaa ambazo wanajua wao calculations zao. Na hivi ndivyo standard za kimataifa zilivyo
Huu mfumo wa kureniew Kwa CPD sijui binafsi siuafiki basi tu. namfikiria jamaa yangu yupo rukwa huko anaendesha bajaji ana miaka miwili saiv kazi hana anakusanya vipi hizo points??? baadhi ya vitu ni vya ajabu sana.

Nawajua wataalamu kibao wa lab ngazi ya degree waliopo mtaani ...hawa hizo CPD watazifanyia wapi pindi walitaka kureniew hizo leseni? Yaani sina kazi ,na hakuna dalili ya kuajiriwa ..halafu hiyo hela kidogo nayopata Kwa kupambana mtaani nikahudhurie training kisa kureniew leseni ....aah wap

ingekua better mfumo huo WA kureniew uanze kumkaba mtu akishaingia kwenye system ....japo shida nyingine huwez mtoa mtu kwenye ajira kisa hajareniew leseni na wataalamu wengi huwa hawareniew humo makazini.
 
Mkuu hao shida yao ni kupata mapato tu.
Ujinga mtupu, tz kila mtu anatafuta pa kupigia ,leo ninao uwezo angalau kumsadia kijana je ni vijana wangapi ni yatima na nyuma ana wadogo zake anawasaidia Hata KWa lile bum ,alafu anaanza angaika na ujinga wa namna hii ,wizi mtupu
 
Kwa hiyo unataka useme Law School nayo ifutwe? Si walishafaulu chuoni?

Post zako zinaonesha umetoka vyuo vile vya kubebwa bebwa. Kama mko vizuri mnaogopa nini? Kama hamjui hata sheria zinazosimamia mabaraza yenu, mtajua kutibu? Mwandiko wenyewe taabu tupu. Mtakuja kuua watanzania nyie. Tena wawape mitihani migumu, siku hizi mnachomekwa na wazazi wenu vyuoni hata kama hamna sifa. Ukifeli nenda kwenye NGOs.


WEWE una akili pungufu how nizungumzie law school wakati utendaji wake sijui ,nazungumzia nilipobobea ,ACHA kujikuta Bwana, nazungumzia ninapopajua vizuri, na WEWE Kama mada ukifika unapopajua vizuri nitakaa kimiya,
Sasa law school na medicine wapi na wapi japo ipo sehem vyaweza kutana ,kaa Kimia mkuu
 
Tena waongezewe na mid interm exam, hivi wajua mtoa mada kuwa siku hizi kuna MD vilaza? Tena wengi mno, wamekuwa lecerned na MCT lakini wakija in ground bora hata CA, tena wakikaa mwaka wakajua jua hata ku circumcise wana anza dharau na kuyataka madaraka.... Wapigwe tu hakuna namna na alie feli arudi tu 1st year hakuna namna
We umewajuaje ,mbona kiroho nakuona Hata WEWE ulikua kilaza Sana, Acheni mazalau, Mimi nimepitia huko ,Kipindi hicho Amo ndo walikua mabosi wetu wa kutufundisha KAZI , utaniambia nini, WEWE limbukeni ,wafikili ulipo ndani ya medicine wajua KILA kitu ,changia KWa adabu
 
Huu mfumo wa kureniew Kwa CPD sijui binafsi siuafiki basi tu. namfikiria jamaa yangu yupo rukwa huko anaendesha bajaji ana miaka miwili saiv kazi hana anakusanya vipi hizo points??? baadhi ya vitu ni vya ajabu sana.

Nawajua wataalamu kibao wa lab ngazi ya degree waliopo mtaani ...hawa hizo CPD watazifanyia wapi pindi walitaka kureniew hizo leseni? Yaani sina kazi ,na hakuna dalili ya kuajiriwa ..halafu hiyo hela kidogo nayopata Kwa kupambana mtaani nikahudhurie training kisa kureniew leseni ....aah wap

ingekua better mfumo huo WA kureniew uanze kumkaba mtu akishaingia kwenye system ....japo shida nyingine huwez mtoa mtu kwenye ajira kisa hajareniew leseni na wataalamu wengi huwa hawareniew humo makazini.
Yani nyumba MOJA KILA mtu na kipande chake ,why afya tuwe na vikundi vingi Kama sio wizi ni nini, binafsi mgonjwa mpaka anatoka hospital huduma yake imechanginwa na watu kibao KWa nini lisiwepo shirikisho moja ,KWANZA WIZARA YA AFYA ,NIWAOMBEN ,TCU NIWAOMBEN MCT ,na vyama vingine vya afya visitake wapandeni vichwani, tz wizi ,ukiritimba, ujinga ujinga tu
 
WEWE una akili pungufu how nizungumzie law school wakati utendaji wake sijui ,nazungumzia nilipobobea ,ACHA kujikuta Bwana, nazungumzia ninapopajua vizuri, na WEWE Kama mada ukifika unapopajua vizuri nitakaa kimiya,
Sasa law school na medicine wapi na wapi japo ipo sehem vyaweza kutana ,kaa Kimia mkuu
Jamii forum Kuna watu ,huwa Wanamazalau Sana , nakujiona wao Ndo kila kitu, wanakosea Sana jf ina watu majembe ,na waviwango vya juu Sana na hawanaga makuu ,simple but sure, nawapena wanajf wote mungu akawazidishie wote na imekua KWa leo na KWa Mara ya kwanza
 
Wanapigq hela tuu yaan ni kupiga pesa tuu hakuna kingine!!!
 
Sina mengi ,kwanza niwasalimu, wanajf popote mlipo, KILA mmoja KWa imani yake.

Pili niende kwenye mada moja kwa moja

Tanzania tunavyama vingi Kama sio utitiri vinanvyo simamia taaluma flani flani ,nk, ila leo nimejikite KWa Hawa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA(MCT)


Binafsi Kama baba na mlezi ambae nimepitia Iyo taaluma na kusonga mbele, ningependa ( MCT) mnipe majibu ,

Taaluma manayosimamia najua mnaijua vizuri,ndo maana mpo apo,mnajua pamoja na intern inachukua miaka sita shule kumalizika ,inayojumlisha mafunzo ya vitendo na theory ilo Sina shaka kabisa kwamba hamjui

Enzi zetu hatukua na post intern exam, japo ni hivi karibuni mlianzisha ,binafsi Sina shida na Hili ,WENDA lego lenu nikumpima uyu Dr nini amejifunza zaidi, japo sion logic yoyote ,kwani alipo kule si ana waangalizi wake kwenye hospital aliyopo, Sasa unampa mtiani umemfundisha nini badala ya mtiani kupewa pale Hospital alipofanyia intern,
NAOMBA JIBUN ILI PIA

Hamjatosheka Sasa nasikia mmekuja na kitu kinaitwa pre intern Exam , kwamba vijana wamemaliza masomo ya miaka mitano, walim wao ,vyuo vimejiridhisha kwamba wako vizuri na wamefaulu nyie ndo ,mwajifanya kutoamini vyuo vyao, walim wao ,kwamba mnatoa mtiani wa kuwapima tena Ili waende intern, ebo nyie vipi ,kuzalisha ukiritimba mpaka kwenye maisha ya watu,
Nyie mlioko hapo na kugawana posho mlifanyiwa hivi?

1.Sasa toeni majibu Iyo pre intern exam KWa awa vijana impact yake ni ipi, ?

2.Alafu naomba mtueleze KWa uwazi majukum yunu yawe wazi msije kua mnaingilia mpaka KAZI za TCU, maana nimeona kijana wangu KILA kukicha anaomba pesa ,nikiuliza ya nini naenda kuverify vyet vya form 4, 6, Ili nitume maombi MCT Ili kufanya mtiani

Swali
KWa Iyo nyie mmejigeuza TCU iliyomdahili uyu mwanafunzi kwenye chuo chake, akapata na mkopo bord, asilimia 100, leo wewe unataka vyeti vya nyuma Ili iweje?
2. Awa vijana mnaowachelewesha KWa ukiritimba tu ,badala waende intern wamalize wapate pa kujiegesha, Ili nakuanza angalau rejesha pesa walizokopa ,Ili iwasaidie vijana wengine ,je mnaona mnawatendea haki watanzania ,na Kama sivyo KWa nini muendelee kalia viti hivyo

Mwisho naomba MCT mlete maji live , vinginevyo nitajua Kuna kitu nyuma ya pazia ambacho mnapitia mlango wa nyuma kukifanikisha KWa malengo YENU
Dhumuni kuu ni ukusanyaji pesa. Hata ERB waliambiwa hakuna ruzuku wajibebe!!
 
Sina mengi ,kwanza niwasalimu, wanajf popote mlipo, KILA mmoja KWa imani yake.

Pili niende kwenye mada moja kwa moja

Tanzania tunavyama vingi Kama sio utitiri vinanvyo simamia taaluma flani flani ,nk, ila leo nimejikite KWa Hawa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA(MCT)


Binafsi Kama baba na mlezi ambae nimepitia Iyo taaluma na kusonga mbele, ningependa ( MCT) mnipe majibu ,

Taaluma manayosimamia najua mnaijua vizuri,ndo maana mpo apo,mnajua pamoja na intern inachukua miaka sita shule kumalizika ,inayojumlisha mafunzo ya vitendo na theory ilo Sina shaka kabisa kwamba hamjui

Enzi zetu hatukua na post intern exam, japo ni hivi karibuni mlianzisha ,binafsi Sina shida na Hili ,WENDA lego lenu nikumpima uyu Dr nini amejifunza zaidi, japo sion logic yoyote ,kwani alipo kule si ana waangalizi wake kwenye hospital aliyopo, Sasa unampa mtiani umemfundisha nini badala ya mtiani kupewa pale Hospital alipofanyia intern,
NAOMBA JIBUN ILI PIA

Hamjatosheka Sasa nasikia mmekuja na kitu kinaitwa pre intern Exam , kwamba vijana wamemaliza masomo ya miaka mitano, walim wao ,vyuo vimejiridhisha kwamba wako vizuri na wamefaulu nyie ndo ,mwajifanya kutoamini vyuo vyao, walim wao ,kwamba mnatoa mtiani wa kuwapima tena Ili waende intern, ebo nyie vipi ,kuzalisha ukiritimba mpaka kwenye maisha ya watu,
Nyie mlioko hapo na kugawana posho mlifanyiwa hivi?

1.Sasa toeni majibu Iyo pre intern exam KWa awa vijana impact yake ni ipi, ?

2.Alafu naomba mtueleze KWa uwazi majukum yunu yawe wazi msije kua mnaingilia mpaka KAZI za TCU, maana nimeona kijana wangu KILA kukicha anaomba pesa ,nikiuliza ya nini naenda kuverify vyet vya form 4, 6, Ili nitume maombi MCT Ili kufanya mtiani

Swali
KWa Iyo nyie mmejigeuza TCU iliyomdahili uyu mwanafunzi kwenye chuo chake, akapata na mkopo bord, asilimia 100, leo wewe unataka vyeti vya nyuma Ili iweje?
2. Awa vijana mnaowachelewesha KWa ukiritimba tu ,badala waende intern wamalize wapate pa kujiegesha, Ili nakuanza angalau rejesha pesa walizokopa ,Ili iwasaidie vijana wengine ,je mnaona mnawatendea haki watanzania ,na Kama sivyo KWa nini muendelee kalia viti hivyo

Mwisho naomba MCT mlete maji live , vinginevyo nitajua Kuna kitu nyuma ya pazia ambacho mnapitia mlango wa nyuma kukifanikisha KWa malengo YENU
Umeandika vizuri sana...huyu jamaa wa MCT ana uwezo mdogo sana......
 
Waige kwetu Pharmacy Council, hatubembelezi. Utafauli kwa uwezo. Hawa MCT hata wakipigiwa kelele na Wanasiasa wanafyata.
MCT ilitakiwa iwe na mbinu imara kushinda Pharmacy Council, ila ndio imekuwa kinyume chake. Na tena wanavyolia hivi hii mikakati inaweza kulegezwa
 
MCT ilitakiwa iwe na mbinu imara kushinda Pharmacy Council, ila ndio imekuwa kinyume chake. Na tena wanavyolia hivi hii mikakati inaweza kulegezwa
Sio kulegezewa waje na majibu, haya mavyama yamekaa kiupigaji KWa mlango wa nyuma, hivi huwa yanawakilisha mahesabu yao kwanza KWa CAG ,au ni upigaji tu , leo Ma Dr , wengi wanapiga mzigo sio wa kawaida je wote wanapitia mfumo huu, wa kinyonyaji na wakipuuzi Kama huu ,Kuna arafu kubwa ya kifisadi kwenye mavyama uchwara Kama hivi
 
Sio kulegezewa waje na majibu, haya mavyama yamekaa kiupigaji KWa mlango wa nyuma, hivi huwa yanawakilisha mahesabu yao kwanza KWa CAG ,au ni upigaji tu , leo Ma Dr , wengi wanapiga mzigo sio wa kawaida je wote wanapitia mfumo huu, wa kinyonyaji na wakipuuzi Kama huu ,Kuna arafu kubwa ya kifisadi kwenye mavyama uchwara Kama hivi
Laiti MD wangekuwa wana Sup mitihani hiyo kama wale wa Pharmacy Council(Pharmaceutical personnel), hoja ya upigaji na ukusanyaji wa mapato ingekaa vyema sana, maana ungeona wanavyolipishwa kila wanapofanya mtihani.

MD kwenye hii mitihani wanafaulu wote(sijasikia habari za kusup).

Kule Pharmacy Council ufaulu huwa ni chini ya 50% kwa kada zote(Pharmacist, Pharm Tech, Pharm Assistant), halafu kuna masomo 3 ya kufanyia mtihani. Kila somo linalipiwa. Watu husup hadi mara 4 na kila sup wanailipia. Huoni hapa ndipo wanapokusanya mapato? Unaweza kulinganisha na MD wanaofaulu wote, tena somo(mtihani) moja(mmoja)?

Pharmacy Council, pepa zinapigwa mara 3 ndani ya mwaka 1, MCT wanapigisha pepa kwa awamu ngapi kwa mwaka?

Si unaona Pharmacy Council wanavyokusanya mapato?

Suala la mitihani libakie palepale na kuboreshwa zaidi, hapa tuungane kuhoji upigaji kama dalili zipo, ingawa upigaji lazima uwepo.

Wenzetu(mataifa mengine) wamepiga hatua kwa sababu mifumo yao ya kuzalisha wanataalum ipo madhubuti, sisi huku wakitaka kuimarisha mifumo tunaona ni nongwa, sijui ni lini tutafika walipofika wenzetu.
 
Kweli hii ni ajabu, inamaana vjana wetu sikuhizi hawasimamiwi vizuri?!!

Enzi zetu Kama unasua sua usingeweza toboa.

My take,

Basi TCU wameshindwa kusimamia vyuo na huenda mifumo ya rushwa inatukwamisha.

Na ni imani yangu kua hiyo mitihani haisaidii chochote Kama mtoto hakusimamiwa vema na mwalimu wake hasa kwenye basic science.

Ushauri,

Nguvu ielekezwe kwenye kuwapa motisha wakufunzi wawasimamie vema watoto wetu, huko ndo pakutatulia tatizo, haya ni masomo ya science ambayo misingi yake hujengwa kwa matofali ya Theories,principles na concepts.

Mengine hayo sioni faida hata.
Labda hiyo ya uniformity na matakwa ya nchi nyingine.
 
Kwani Kada zingine mbona hawapigi kelele..??? Mitihani yenyewe wote wanaofanya wanambiwa wamefaulu...
Wengine wana post intern sio pre-intern..

Hii pre-intern ni kuleta ukiritimba mwingine umezaliwa..Though ni vizuri kujiridhisha kama watu wana skills kiasi kuhusu fani hiyo kabla ya mafunzo kwa vitendo.
 
Wengine wana post intern sio pre-intern..

Hii pre-intern ni kuleta ukiritimba usiokuwa na kichwa wala miguu..h
Kwa kumaanisha nini??? Pre intern kwa MD inakuwaje????
 
Wanafanya mtihani wa MCT kabla ya kwenda intern,usipofaulu unasugua benchi kwanza..
Eeehe kumekuchaaa... Mbona majanga kwani hii imepitishwa????[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom