Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakijaribu kitu gani?Eehh wao mkamate .
Amewambia, The Hague ni Taasisi isiyo ya NATO..
Akaonya, embu fikiria makombora yatue hapo the Hague !!.
Kawaonya na wajeruman, Tena Hawa wanakijua vizuri kipondo walichopewa na Urusi.
Kawaambia, siku mkijaribu, tutadondoaha Nyukilia Kila Mahali.
Tuanze na Putin kwanza alichosema aache story.Mkamate sasa acha stor
.Watamdaka na hakuna kitu atafanya
Waanze kumkamata Rais wa Iran kwanza kabla hawajamgusa putinWait and see
Wamemuulia baba yakeNimeona hapo kawatolea mfano ujeruman..... inaonyesha putin ana hamu sana na wanazi
SawaWamemuulia baba yake
Mbali na Nuclear. Kwa Jeshi la sasa la Russia, ukiwekwa mkono kwa mkono, Russia hachomoki. German, UK, Japan n.k hawa ni watu haswa japo ni kama tunawachukulia simple ktk mapambano.Nimeona hapo kawatolea mfano ujeruman..... inaonyesha putin ana hamu sana na wanazi
NonsenseHuyo Medvedev ni mlopokaji tu hana jipya,ukweli ni kuwa iwe sasa au baadae Putin lazima afike the Hague,ponapona yake ni kufariki mapema basi.
Ukweli huuma sana,lakini dikteta lazima afike the Hague.Nonsense
Haya ni zaidi ya mahaba.Yaani Rais WA nchi yenye nuclear akamatwe tumia Akili hakuna na kumsogelea putin anaweza kwenda pale London na kutembea mchana kutwa na mtu asimguse.
Ukitumia Akili ndo utajua ndo ukweli wenyeweHaya ni zaidi ya mahaba.
Hakuna ukweli wowote uliyoandika hapo umeandika Pumba.Ukweli huuma sana,lakini dikteta lazima afike the Hague.