babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Wakitaka wanaenda kumnyakua kama kuku.
Na huyo msemaji atabaki msemaji.
Kumbuka Sadamisene na Osama
Na huyo msemaji atabaki msemaji.
Kumbuka Sadamisene na Osama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu Feb ianze,Sahizi kipigo kikitembea NATO lazma watembelee magoti [emoji3][emoji3][emoji3] kwenda kuomba Poo Urusi
Icc ni Mahakama ya kangaroo hiyo[emoji1787]Kwamba ukibomoa jengo la mahakama unafuta tuhuma dhidi yako............wanao tumia akili wanaamini hivyo
Zipo Urusi na China tu.Kwani hypersonic zipo Urusi tu mkuu??
Atakuwa aliyeandika ni bwabwa kwa hiyo anapiga kampeni kiaina.ushoga umeingiaj hapo?
Matakle weweHuyo Medvedev ni mlopokaji tu hana jipya,ukweli ni kuwa iwe sasa au baadae Putin lazima afike the Hague,ponapona yake ni kufariki mapema basi.
Wewe ni bwege mara 1000 ya PutinPUTIN bwege tu anapendwa na vichaa na wapenda vurugu
HahahahaNahic dunia imesahau kilichoipata japan.kichwa Cha binadamu ni kibovu sana.Ni rahisi sana kusahau.Sasa Kuna vinchi naona vinatafuta hii zahama vikisakiziwa na mjomba wao.
Kengw hiyo achana nayo mkuuHahahahah ila mnahitaji machoko kama wewe au sio? Wanaume rijali kama Putin hamuwataki kabisa.
Watu mna stress mnaleta humu,endelea kutukana kama ndio njia pekee ya kukupunguzia stress zako.Watu wa aina yenu wenye busara zetu huwa tunawapuuza tu.Matakle wewe
Na ww amini basiRussia wanaamini ktk matumizi ya nguvu hata pale zisipotakiwa hutumika.
Katika hao wanajeshi watiifu Putin ni mmoja wao[emoji38]Hizo ndaro ndaro zishatathminiwa sana, mlitoa ahadi nyingi na zote zimevunjwa mchana kweupe hakuna chochote putin alichoweza kufanya, sana sana putin akishakamatwa wanajeshi watiifu wataituliza urusi ili waondokane na udikteta maisha ya russia yarudi mahali pake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora tuangamie. Kwani kwa mfano wewe una faida Gani hapa duniani zaidi ya kujamba na kunya
Aliekuambia kuwa siamini ni nani?Na ww amini basi
Wanapelekewa moto kishenzi naskia makamu wa raisi wa US Kamala Haris anakuja Tanzania siku si nyingi. Yote ni kuja kujipendekeza nq kutaka Tanzania ifungamane nao kwenye kutetea ushoga 🤣🤣🤣ila kumbe TZ imesimama na Mrusi kimya kimyaTangu Feb ianze,
Wanato wanapumulia mashine[emoji16]
Mtapigwa mpak sura ziwe kama Wasira😅😅kwamba Putin aje Tanzania, kisha IGP wetu Mzee Wambura amkamate ampeleke Hague??
....ICC wana comedy za ajabu sana
Tuhuma za Bush, Obama na Clinton wao ziliishia wapi? Walikozipeleka wapeleke na za Putin huko huko. Waache kutishia mtu mzima nyau.Kwamba ukibomoa jengo la mahakama unafuta tuhuma dhidi yako............wanao tumia akili wanaamini hivyo
Kwa kutangaza kubomoa jengo la mahakama...? narudia tena, Russia huamini ktk matumizi ya nguvu hata kama si lazima.Tuhuma za Bush, Obama na Clinton wao ziliishia wapi? Walikozipeleka wapeleke na za Putin huko huko. Waache kutishia mtu mzima nyau.
Tuliza kipele wewe, sasa kama Marekani ametangaza kuwa sanction hao viongozi wa mahakama kama wakifungua kesi dhidi ya viongozi wa USA 🇺🇸 kuna tofauti gani na mkwara wa 🇷🇺 kuipiga khinzal hio mahakama?Kwa kutangaza kubomoa jengo la mahakama...? narudia tena, Russia huamini ktk matumizi ya nguvu hata kama si lazima.