Chikenpox
JF-Expert Member
- Oct 15, 2022
- 784
- 1,246
- Thread starter
- #61
Bora tuangamie. Kwani kwa mfano wewe una faida Gani hapa duniani zaidi ya kujamba na kunya
Huyo amechanganyikiwa, kwani ni Urusi tu ndiyo inamiliki hayo mabomu au silaha za nyuklia? Ni nchi nyingi ikiwemo Marekani wanamiliki hizo silaha. Huko ni kukata tamaa na wanataka kusababisha vita vya tatu vya dunia itakayochochea matumizi ya nyuklia duniani na hata warusi wataangamia vile vile