Huyo amechanganyikiwa, kwani ni Urusi tu ndiyo inamiliki hayo mabomu au silaha za nyuklia? Ni nchi nyingi ikiwemo Marekani wanamiliki hizo silaha. Huko ni kukata tamaa na wanataka kusababisha vita vya tatu vya dunia itakayochochea matumizi ya nyuklia duniani na hata warusi wataangamia vile vile
Ila mnataka mashoga kama akina J. Biden,sio?Atakamatwa kama Kawa,dunia ya sasa hatutaki watu wangese kama Putin.
ushoga umeingiaj hapo?Ila mnataka mashoga kama akina J. Biden,sio?
InatoshaRussia wanaamini ktk matumizi ya nguvu hata pale zisipotakiwa hutumika.
Mrusi ana uwezo mkubwa kivita.
Na naweza fanya lolote.
Ikumbukwe CHINA yupo nae kundi moja.
Wanamakubaliano yao ya SIRINI.
Kumchokoza Mrusi ni sawa umemchokoza Mchina.
Wanazi waliisumbua sana Soviet Union. Ila waligeziwa kibao na kuchezea kipigo kila kona ya dunia 😀😀😀ndio maana wanamtambua Russia in bold letters tena bila msaada wa yeyote yule. Mwingereza alikuwa katulia zake tu anaangalia Ujerumani akizidiwa asiingilie makoloni yake.Wamemuulia baba yake
Kwamba ukibomoa jengo la mahakama unafuta tuhuma dhidi yako............wanao tumia akili wanaamini hivyoWe ukitumia matako
Inatosha
Tutajie Nan mwngn mwenye nazo,Kwani hypersonic zipo Urusi tu mkuu??
Twambie hao icc waliwahi mshughulikia nani[emoji1787]Atakamatwa kama Kawa,dunia ya sasa hatutaki watu wangese kama Putin.
Hao wote ulowataja washafilisika kiuchumi na kijeshi tangu WW2Mbali na Nuclear. Kwa Jeshi la sasa la Russia, ukiwekwa mkono kwa mkono, Russia hachomoki. German, UK, Japan n.k hawa ni watu haswa japo ni kama tunawachukulia simple ktk mapambano.
Mfateni Moscow basi kama nyie wanaume[emoji16]Huyo Medvedev ni mlopokaji tu hana jipya,ukweli ni kuwa iwe sasa au baadae Putin lazima afike the Hague,ponapona yake ni kufariki mapema basi.
Na nukes za Zaman zilikua nafuu,Nahic dunia imesahau kilichoipata japan.kichwa Cha binadamu ni kibovu sana.Ni rahisi sana kusahau.Sasa Kuna vinchi naona vinatafuta hii zahama vikisakiziwa na mjomba wao.
Ila marekan anapendeza na wapenda amani sio?PUTIN bwege tu anapendwa na vichaa na wapenda vurugu
Kwa Ukraine usipaumu,nguvu ililazimikaRussia wanaamini ktk matumizi ya nguvu hata pale zisipotakiwa hutumika.
Uyo usa anayo na alishayatumia kuua watu,Huyo amechanganyikiwa, kwani ni Urusi tu ndiyo inamiliki hayo mabomu au silaha za nyuklia? Ni nchi nyingi ikiwemo Marekani wanamiliki hizo silaha. Huko ni kukata tamaa na wanataka kusababisha vita vya tatu vya dunia itakayochochea matumizi ya nyuklia duniani na hata warusi wataangamia vile vile
Ni uchizi uliotukuka,Hata haiingii akilini Rais wa Nchi ya kwanza kijeshi unaanzaje kumkamataje