Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Kuna mambo unaweza shindwa elewa yanaendaje hapa nchini
Mimi nimewaza kua Meena Ally kasema ile video sio yake na kasema huyo dada anafananishwa na yeye ila sio yeye.
Swali la kujiuliza ni kwamba Kama huyo mwenye video sio yeye Sasa yeye kafungua kesi ya nin polisi kuhusu hiyo video?
Anataka polisi wamkamate mtu ambae yeye hamjui ili apate faida gan?
Kwanin ahangaike kwenda polisi kwa jambo ambalo sio lake na hata hajui alielitenda?
Kwanin ajipe stress mitandaoni kwa kujibishana na watu wakati hiyo inshu sio yake?.
Why asitulie tu aendelee na maisha mengine mpaka serikali itakapo mfata yenyewe, kwanin ajikimbize polisi kujitetea kua sio yeye bila kuitwa?
Tanzania ina vituko sana
Mimi nimewaza kua Meena Ally kasema ile video sio yake na kasema huyo dada anafananishwa na yeye ila sio yeye.
Swali la kujiuliza ni kwamba Kama huyo mwenye video sio yeye Sasa yeye kafungua kesi ya nin polisi kuhusu hiyo video?
Anataka polisi wamkamate mtu ambae yeye hamjui ili apate faida gan?
Kwanin ahangaike kwenda polisi kwa jambo ambalo sio lake na hata hajui alielitenda?
Kwanin ajipe stress mitandaoni kwa kujibishana na watu wakati hiyo inshu sio yake?.
Why asitulie tu aendelee na maisha mengine mpaka serikali itakapo mfata yenyewe, kwanin ajikimbize polisi kujitetea kua sio yeye bila kuitwa?
Tanzania ina vituko sana