Ni sarakasi za kisiasa za kupiga pesa ndefu huku ngumbaru wanaooibiwa wakifurahia.Isitoshe ndege zile Dreamliners sijui zinaruka kwenda wapi. Na zile zilizobaki kwanza uendeshaji wake hauna transparency maana Kasoma ya ATCL imehamishiwa Ikulu ambalo CAG haruhusiwi kukagua.
Uelewa wako ndipo ulipo fikia hamna shida.Hakuna haja ya picha, Magufuli bus terminal ni ya kisasa zaidi.
Akikujibu unitag mkuuNi sarakasi za kisiasa za kupiga pesa ndefu huku ngumbaru wanaooibiwa wakifurahia.
Kama haya manunuzi yangekuwa na ufanisi na manufaa kwa umma tungewekewa wazi mahesabu.
Angalau wewe unamjua Mungu ndiyo sababu unakuwa honest hivi...Kila kitu kina uzuri na ubaya wake...Inategemea unachagua upande upi kwenye mjadalaYapo yakusikitisha na yapo yakupendeza...
Kwani Ikulu sio mali au ofisi ya umma?Atcl kama shirika la umma lipo subjected kufanyiwa ukaguzi msidanganye watu.3
GDP ya data za kupika, majizi ya kura na wamwaga damu bana mna mambo.GDP ya tanzania mpaka january imefika $70B, just $19 billion less to lead the whole east africa, kwahio kwa haraka haraka tuseme ule mradi wa mafuta wa uganda + sgr will be enough to throw us mpaka atleast $94B, this is all you need to know kuhusu swla la maisha kuboreka hilo ni swala la jitihada za mwananchi mwenyewe! tayar infrastructure umewekewa! kama unafanya kilimo kusafirisha mzigo mpaka dar kwa treni haizidi 8K, kwa basi inafika mpaka 20K, kazi imebaki kwako sasa.
Atcl kama shirika la umma lipo subjected kufanyiwa ukaguzi msidanganye watu.3
Unaongea tuMko vizuri sana kwenye taarifa za kwenye makaratasi! Ila ukija kwenye maisha halisi ya Watanzania, mambo ni tofauti kabisa.
Mna mkakati wowote ule wa kuboresha kilimo awamu hii? Mna mkakati wa dhati wa kuboresha mazingira ya kufanya biashara?
Mna mkakati wowote ule wa kupunguza tatizo la ajira na pia kuboresha maisha ya wafanyakazi? Kote huko majibu yamekaa kisiasa na kinadharia zaidi! Kubali tu, Raus wako kipenzi ni failure!!
Kwa takwimu hizi za kupika siwezi kukubaliana na hili.GDP ya tanzania mpaka january imefika $70B, just $19 billion less to lead the whole east africa, kwahio kwa haraka haraka tuseme ule mradi wa mafuta wa uganda + sgr will be enough to throw us mpaka atleast $94B, this is all you need to know kuhusu swla la maisha kuboreka hilo ni swala la jitihada za mwananchi mwenyewe! tayar infrastructure umewekewa! kama unafanya kilimo kusafirisha mzigo mpaka dar kwa treni haizidi 8K, kwa basi inafika mpaka 20K, kazi imebaki kwako sasa.
Hivi sisi watanzania kuhangaika na vitu vidogo vidogo Kama hivi shida ni umasikini wetu au shida ipo kwenye uwezo wetu wa kufikiri?Wapinzani wa Tanzania wanakasumba mbaya sana. Wao kila jambo ni kukosoa tu.
Wakiona serikali inajenga shule,hospital, barabara au stendi ya mabasi wao ni kukosoa tu.
Nimeshuhudia mabadiliko makubwa sana kwenye miji yetu tangu JPM awe rais.Naweka baadhi ya mifano. Nilishuhudia mkoa wa Singida ukipata stendi mpya ya kisasa iliyogharaimu bil 12 +.
Pia tumeshuhudia stendi mpya ya kisasa jijini Dodoma na soko kubwa la kisasa la Ayubu Ndugai. Stendi mpya ya mabasi ya Magufuli ni ya kutiliwa mfano. Maana ni zaidi ya Johanesburg park station.
Wapinzani tokea JPM aingie madarakani mlikuwa mnakosoa na kumdhihaki kuw ni mzee wa kupenda Megastructures. Je, sasa hamuoni zilivyobadili taswira ya taifa letu? Hamuoni kuwa ni kaendeleo makubwa na miundo mbinu ya kisasa ambayo itaongeza mapato kwa taifa?
My take; Tusipende kukosoa kila kitu,hata mradi wa JNHPP ukikamilika itakuwa ni Megastructure inayotusaidia.
Tuajiliwe na Nani wakati private sector imekufa. Jpm Kaua private sector. Kilimo limekuwa hususani korosho, mbaazi na tumbaku.hizi ndo akili za upinzani? kwan lazima serikali ikuajiri?
Hizi za kwetu zijui nani alipiga hiyo mchoro ..... Yaani mpaka uingie ndani ndiyo ujue uko stand. Ukiwa kwa nje you can't tell hiyo structure unayoiangalia ni kitu gani π π π πLeta picha za Jo'burg Park station na hizi Magufuli stations tufanye comparison kabla hatuja endelea na mjadala.
Mimi naenda kwa taarifa rasmi. Huu ni uthibitisho huwa wanakaguliwaView attachment 1714917