yakowazi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2012
- 1,765
- 624
Masikini Hapendi Watoto
Maneno Matamu Sitayasema Mimi Kwenye Serikali Yangu. Mimi Ni Makavu TuCode:~~~~~~~~~~~~~~~~~~~ Mwakani Tarehe Kama Mtafurahi Ninyi ~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
JPM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masikini Hapendi Watoto
Maneno Matamu Sitayasema Mimi Kwenye Serikali Yangu. Mimi Ni Makavu TuCode:~~~~~~~~~~~~~~~~~~~ Mwakani Tarehe Kama Mtafurahi Ninyi ~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
JPM
Angalia fujo za barabarani ndipo utajua kuwa yajayo yatamfanya JPM kuwa rais boraKazi ya Urais ni ngumu Sana.
Mama anatakiwa ajipange.
Naona mama ameanza kutafuta huruma kwa watu.
Tusiruhusu mama adeke, kipindi Cha majonzi kimeisha sasa achape Kazi bila woga Wala kinyonge.
Wananchi tunamtegemea.
Ila kitendo cha leo kinaonesha nchi na serikali imeanza kuwa dhaifu Sana na mda so mrefu atashindwa kuongoza.
Mama chukua hatua mapema kabla kivuli cha Magufuli hakijawaisha wanaokuzunguka na kuacha kabisa kufanya kazi.
Haahaa rais Bora kwa weweAngalia fujo za barabarani ndipo utajua kuwa yajayo yatamfanya JPM kuwa rais bora
Subiri kidogo tu tutaelewana! JPM alikuwa ni hero kubali Katapa huo ndiyo ukweli unaowaumaHaahaa rais Bora kwa wewe
Maneno kuna tamko.. maana yake ni kupandishwa mishahara?..
Hakulifaa Taifa hiliSisi yetu ni kusema 'mtanikumbuka'
uzuri wa JPM alikuwa anachana live
Alifaa sana....Hakulifaa Taifa hili
Kuwa na akili basi, bajeti ilishatengenezwa kukiwa hakuna fungu la nyongeza, sasa unataka yeye adange aongeze mshahara?
Kwa maovu yake atakumbukwa.Sisi yetu ni kusema 'mtanikumbuka'
uzuri wa JPM alikuwa anachana live
Kupandishwa mshahara ni kuongezeka kwa take home pay ambayo inaweza kuongezwa kwa kupunguziwa kodi. Je wafanyakazi hawajapunguziwa kodi Ingawa kidogo?
Alisema mtanikumbuka kwa mazuli ....Kwa maovu yake atakumbukwa.
Sijamwelewa mtoa mada, Ina maana hotuba ya rais ifahamike kwa waandamizi wake wote? Sasa kama wafanyakazi wangefahamu mapema hakuna nyongeza ya mishahara umuhimu wa hotuba ya rais ingekuwa Nini?
Alisema mtanikumbuka kwa mazuli ....
sio mabaya
Hata mimiBinafsi sina matarajio makubwa na huyu Rais.
Hata wakaopandishwa vyeo wataongezewa mishahara..Kwa ujumla speech ilikuwa nzuri hasa aliporekebisha wategemezi hadi umri wa miaka 21..
Mimi nachoshangaa why yeye na waziri wake Mhagama kama walikuwa hawana coordination