Ulikuwepo katika utawala wa Nyerere? Kama ni bora sana kwanini walitaka kumpindua?Ulitegemea huyu angeweza kumfunika Magu?! Magu is next to Nyerere. Hata kwa Nyerere anachopungukiwa ni ile brilliance ya Nyerere. Otherwise he is far ahead of them all.
Hero kwako, rais mvunja katiba kiasi kile kumsifia yataka moyo.Kwangu ni kukosa uzalendo kwa taifaSubiri kidogo tu tutaelewana! JPM alikuwa ni hero kubali Katapa huo ndiyo ukweli unaowauma
Matamko yalikua ya kutosha na wafanyakazi wamerishika nayo.
Makato ya kodi yatakua 8%
Umri wa wategemezi umeongezwa mpaka mika 21
Mishahara itapanda mwakani (angalau tumaini lipo)
Retention fee ya HESLB (6%) imeondolewa
Na la muhimu zaidi masikini hampendi mwana.
Binadamu Wana Mambo duhHapo sasa
Haahaa, endelea kuota.Mama kwangu ni hero na shujaaa.Mwendazake alikuwa mtawala na sio kiongozi..Kuna kizazi cha watanzania kitakuja na maamuzi ya kumpa hayati heshima ya utakatifu, i mean st. Magufuli. Itakuwa miaka kadhaa mbele na si kizazi hiki cha mafisadi na wala rushwa
...kwangu never ever, japo yapo Mambo mazuri alifanya Kama mwanadamu, kile kitendo Cha kuvunja katiba na kiapo chake kilifuta Nia yake yote njema aliyokuwa nayo.Kiongozi yeyote mvunja katiba hafai kamwe.Ni usaliti mkubwa Sana kwa watu wakeSoon mtakiri wenyewe ni swala la muda tu
...wako watakaomkumbuka, lakini kidogo.Sisi wengine tunaoipenda taifa letu tunasonga mbele, kiongozi ukianza puuza kiapo chako ni usalilti kwa taifaMagu alishasema mtanikumbuka
...mmmh, Sina uhakika na hicho, ungesema baadhi ya vitu mkuuCEO huwa anaongea public kitu ambacho kila msaidizi wake anakijua
...haahaa, kwangu alikuwa rais mbabe na mvunja katiba ya nchi yake...Sir Magufuli the hero, ndiye alikuwa rais mwenye maono, mwelekeo sahihi na misimamo. Kwake ilikuwa rangi either ni nyeusi au nyeupe. Hakukuwa na mapichapicha kama haya.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Binafsi nilishajua kwamba hilo suala halipo! Sio kwamba mimi ni Insider bali huwa siishi kwa mazoea!!!Kama Samia alikuwa anajua haiwezekani kupandisha mishahara leo alipaswa kuwaweka wasaidizi wake mapema ili waweze 'kuwaandaa watu kisaikolojia'mapema...
Lakini Wafanyakazi hata kama tunanjaa ya muda mrefu ya kuongezewa mishahara tuwe na subira. Mama ameingia juzi, corona imepiga uchumi tumwache mama ajipange. Kifupi tumpe muda.Mapema Sana wakati anaapisha wateule wake wa Mwanzo Rais Samia alisema kuna tatizo kubwa la Coordinations serikalini...
Leo nimeona hili tatizo kati yake Rais na waziri wake Jennista Mhagama...
Na lack of coordination Kwa ujumla kutoka IKulu kwenda chini Kwa watu Wengine ..
Kama Samia alikuwa anajua haiwezekani kupandisha mishahara leo alipaswa kuwaweka wasaidizi wake mapema ili waweze 'kuwaandaa watu kisaikolojia'mapema...
Ajabu leo wafanyakazi wameaminishwa kuna 'tamko'linakuja na hata waziri Jenista Mhagama alishadadia kabisa kuwa Leo kuna 'tamko'..
Hotuba za vyama vya wafanyakazi naamini IKulu ilizipata mapema na hata arrangements za leo walishirikiana kati ya serikali na Viongozi wa wafanyakazi..
Serikali ingeweza kabisa kuwaeleza mapema kuwa mishahara mwaka huu ni ngumu lakini mwakani itawezekana..
Hii ingepunguza 'expectation kubwa 'iliyokuwepo leo..na hali ya 'dissapointment' baada ya hotuba...
Nimejiuliza je Jesnista Mhagama alikuwa hajui Rais hatapandisha mishahara leo?
Viongozi wa vyama vya wafanyakazi?..
Serikali ina vyombo vyake vya Ku leak taarifa kusudi..ili kupima upepo au kuwaandaa watu kisaikolojia...Leo mbona
Imekuwa tofauti?
Kama vile aliekuwa anajua kuwa mishahara haipandi Leo ni Samia peke yake...wakati kila mtu akiwemo waziri Jenista Mhagama walikuwa wana expect mishahara kupanda leo .tatizo lilikuwa wapi??
Samia ameanza kuwa 'anaogopwa'?
Kuna ukuta Kati yake na wasaidizi wake?
Kingine ilikuwaje Rais aseme hata yeye anakatwa kodi wakati haipo hivyo?
Mawaziri ,wabunge ,Ma Dc ma RC wameanza kukatwa kodi??..
Mbona kama Rais kaanza kuwa 'mkiwa'mapema? Kama wanaotakiwa kumsaidia hawamsaidii why asiwafukuze haraka?..
Sisi yetu ni kusema 'mtanikumbuka'
uzuri wa JPM alikuwa anachana live
Hilo jini makata Nani alikumbuke??? Mungu aendeleee kulitia Moto wa kutosha.soon very soon
mliyempa majina ya ajabu ajabu mtamkumbuka sana
Bora wa n.y.okoSubiri kidogo tu tutaelewana! JPM alikuwa ni hero kubali Katapa huo ndiyo ukweli unaowauma
Huu msemo Mother ameitunga pale pale tuKuna msemo wanasema
"Masikini hampendi mwana"
Nimefikiria mpaka sasa sijajua maana yake
Wataalam embu nisaidieni hapa
Hii mitego inategwa kweli kweli.Mapema Sana wakati anaapisha wateule wake wa Mwanzo Rais Samia alisema kuna tatizo kubwa la Coordinations serikalini...
Leo nimeona hili tatizo kati yake Rais na waziri wake Jennista Mhagama...
Na lack of coordination Kwa ujumla kutoka IKulu kwenda chini Kwa watu Wengine ..
Kama Samia alikuwa anajua haiwezekani kupandisha mishahara leo alipaswa kuwaweka wasaidizi wake mapema ili waweze 'kuwaandaa watu kisaikolojia'mapema...
Ajabu leo wafanyakazi wameaminishwa kuna 'tamko'linakuja na hata waziri Jenista Mhagama alishadadia kabisa kuwa Leo kuna 'tamko'..
Hotuba za vyama vya wafanyakazi naamini IKulu ilizipata mapema na hata arrangements za leo walishirikiana kati ya serikali na Viongozi wa wafanyakazi..
Serikali ingeweza kabisa kuwaeleza mapema kuwa mishahara mwaka huu ni ngumu lakini mwakani itawezekana..
Hii ingepunguza 'expectation kubwa 'iliyokuwepo leo..na hali ya 'dissapointment' baada ya hotuba...
Nimejiuliza je Jesnista Mhagama alikuwa hajui Rais hatapandisha mishahara leo?
Viongozi wa vyama vya wafanyakazi?..
Serikali ina vyombo vyake vya Ku leak taarifa kusudi..ili kupima upepo au kuwaandaa watu kisaikolojia...Leo mbona
Imekuwa tofauti?
Kama vile aliekuwa anajua kuwa mishahara haipandi Leo ni Samia peke yake...wakati kila mtu akiwemo waziri Jenista Mhagama walikuwa wana expect mishahara kupanda leo .tatizo lilikuwa wapi??
Samia ameanza kuwa 'anaogopwa'?
Kuna ukuta Kati yake na wasaidizi wake?
Kingine ilikuwaje Rais aseme hata yeye anakatwa kodi wakati haipo hivyo?
Mawaziri ,wabunge ,Ma Dc ma RC wameanza kukatwa kodi??..
Mbona kama Rais kaanza kuwa 'mkiwa'mapema? Kama wanaotakiwa kumsaidia hawamsaidii why asiwafukuze haraka?..