Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
usharudi ? pole kwa msibaManeno kuna tamko.. maana yake ni kupandishwa mishahara?..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usharudi ? pole kwa msibaManeno kuna tamko.. maana yake ni kupandishwa mishahara?..
Soon mtakiri wenyewe ni swala la muda tuHaahaa rais Bora kwa wewe
Lazima mfokewe nyie wazembe manake bila hivyo hamuendiHuyo mwache tu, usitukumbushe machungu, alichokua anajua ni kusimanga na kutufokea wafanyakazi.Bora leo hatujaongezwa lakini pia hatujafokewa wala kusimangwa
Mkuu nimekuelewa sana[emoji120],Kuna kitu hapa nimekichunguza nikahisi, naona Rais na serikali yake kwa namna fulani kama wanataka kuzima tetesi zizazozagaa kwenye mitandao halafu baadae huwa kweli, ni kama wanajaribu kurudisha imani ya wananchi kwa serikali yao (siri).
Sasa nahisi wameona wasome upepo kwenye mitandao wakiona watu wanaaminishwa jambo fulani (baada ya taarifa kuvuja) wao waje tofauti ili kuwapunguzia wenye ushawishi mitandaoni (twitter in particular) waonekane waropokaji na wazandiki.
Japo inawezekana kweli mpango ulikuwa ni kuongeza mishahara ndio maana mpaka kina Mhagama walikuwa wanajua hilo, inawezekana mchezo umebadilishwa ghafla hata hao kina Mhagama hawakuwa na habari.
Sasa kwanini kuwahadaa wafanyakazi kwa maneno matamu matamu???Kuwa na akili basi, bajeti ilishatengenezwa kukiwa hakuna fungu la nyongeza, sasa unataka yeye adange aongeze mshahara?
Akumbukwe kwa lipi ndugu?soon very soon
mliyempa majina ya ajabu ajabu mtamkumbuka sana
Ulitegemea huyu angeweza kumfunika Magu?! Magu is next to Nyerere. Hata kwa Nyerere anachopungukiwa ni ile brilliance ya Nyerere. Otherwise he is far ahead of them all.Kazi ya Urais ni ngumu Sana.
Mama anatakiwa ajipange.
Naona mama ameanza kutafuta huruma kwa watu.
Mfano wako ni mzuri hao wote waliacha nchi imekufa kiuchumi huku wao wakisifika!!!Ulitegemea huyu angeweza kumfunika Magu?! Magu is next to Nyerere. Hata kwa Nyerere anachopungukiwa ni ile brilliance ya Nyerere. Otherwise he is far ahead of them all.
We acha mchezo, kwani katiba ndiyo imesababisha tusipate tamko? Watu tunataka nyongeza ya mishahara bwashee, hakuna anayekula katiba.Asipo leta katiba atakuja kuwa Rais dhaifu zaidi toka tupate uhuru
Fuatilia vema matamko ya Jenista Mhagama hata kabla ya hii mei mosi iliyopita jana... anzia bungeni wakati hususan bunge lililopita kisha matamko yake mengine utapata majibu wizara hiyo kwanini ina ombwe... labda yupo pale kwa kazi maalum... ajira zinazidi kudidimia wawekezaji wakizidi kuchanja mbuga mpaka imebidi apunguziwe huo mzigo kwa kuteuliwa ndugu Mwambe...Mapema Sana wakati anaapisha wateule wake wa Mwanzo Rais Samia alisema kuna tatizo kubwa la Coordinations serikalini...
Leo nimeona hili tatizo kati yake Rais na waziri wake Jennista Mhagama...
Na lack of coordination Kwa ujumla kutoka IKulu kwenda chini Kwa watu Wengine ..
Kama Samia alikuwa anajua haiwezekani kupandisha mishahara leo alipaswa kuwaweka wasaidizi wake mapema ili waweze 'kuwaandaa watu kisaikolojia'mapema...
Ajabu leo wafanyakazi wameaminishwa kuna 'tamko'linakuja na hata waziri Jenista Mhagama alishadadia kabisa kuwa Leo kuna 'tamko'..
Hotuba za vyama vya wafanyakazi naamini IKulu ilizipata mapema na hata arrangements za leo walishirikiana kati ya serikali na Viongozi wa wafanyakazi..
Serikali ingeweza kabisa kuwaeleza mapema kuwa mishahara mwaka huu ni ngumu lakini mwakani itawezekana..
Hii ingepunguza 'expectation kubwa 'iliyokuwepo leo..na hali ya 'dissapointment' baada ya hotuba...
Nimejiuliza je Jesnista Mhagama alikuwa hajui Rais hatapandisha mishahara leo?
Viongozi wa vyama vya wafanyakazi?..
Serikali ina vyombo vyake vya Ku leak taarifa kusudi..ili kupima upepo au kuwaandaa watu kisaikolojia...Leo mbona
Imekuwa tofauti?
Kama vile aliekuwa anajua kuwa mishahara haipandi Leo ni Samia peke yake...wakati kila mtu akiwemo waziri Jenista Mhagama walikuwa wana expect mishahara kupanda leo .tatizo lilikuwa wapi??
Samia ameanza kuwa 'anaogopwa'?
Kuna ukuta Kati yake na wasaidizi wake?
Kingine ilikuwaje Rais aseme hata yeye anakatwa kodi wakati haipo hivyo?
Mawaziri ,wabunge ,Ma Dc ma RC wameanza kukatwa kodi??..
Mbona kama Rais kaanza kuwa 'mkiwa'mapema? Kama wanaotakiwa kumsaidia hawamsaidii why asiwafukuze haraka?..
Weka matarajio kwenye mipango yako rais hatembezi mikateBinafsi sina matarajio makubwa na huyu Rais.
Wampe Mdee.Mhagama hiyo wizara si size yake sijui kwanini bado anaachwa hapo!!!
kiongozi was malaika 😀😀😀😀😀Kuna kizazi cha watanzania kitakuja na maamuzi ya kumpa hayati heshima ya utakatifu, i mean st. Magufuli. Itakuwa miaka kadhaa mbele na si kizazi hiki cha mafisadi na wala rushwa
huo mzoga wenu hakuna wa kumfikia kwa kuua watu na kuua demokrasia. Matatizo yote tunayoyapata Leo yameletwa na yeye. Mbona kabla yake mambo ya maslahi ya wafanyakazi yalikuwa yanakwenda vizuri tu.Ulitegemea huyu angeweza kumfunika Magu?! Magu is next to Nyerere. Hata kwa Nyerere anachopungukiwa ni ile brilliance ya Nyerere. Otherwise he is far ahead of them all.
NWORhuo mzoga wenu hakuna wa kumfikia kwa kuua watu na kuua demokrasia. Matatizo yote tunayoyapata Leo yameletwa na yeye. Mbona kabla yake mambo ya maslahi ya wafanyakazi yalikuwa yanakwenda vizuri tu.