Mei Mosi 2021: Makosa niliyoyaona kwenye Hotuba ya rais Samia na wasaidizi wake

Mei Mosi 2021: Makosa niliyoyaona kwenye Hotuba ya rais Samia na wasaidizi wake

Ila mwenda zake alitupeleka chaka lenye miiba,alibaka sheria ya annual increament na sasa wanaofuata wanaona ni sawa tu,haya tunayoyaona yaliachwa na yeye.
 
Mimi nadhani Waziri Mhagama ndio hakuelewa kuwa kupunguzwa kwa kodi ni njia mojawapo ya kuongeza mshahara. Alitakiwa alifafanue hilo kwa Viongozi wa wafanya kazi mapema kwani wao wamezoea kuambiwa mshahara umeongezeka kwa kiwango fulani!! Jenista ndio kalikoroga hapo, upeo wa mawaziri wetu na watendaji wengi ni mndogo hivyo kuelewa concept ya coordination itachukua muda!! Wamezoea kila mtu na MUHOGO wake!

Mimi nadhani Waziri Mhagama ndio hakuelewa kuwa kupunguzwa kwa kodi ni njia mojawapo ya kuongeza mshahara. Alitakiwa alifafanue hilo kwa Viongozi wa wafanya kazi mapema kwani wao wamezoea kuambiwa mshahara umeongezeka kwa kiwango fulani!! Jenista ndio kalikoroga hapo, upeo wa mawaziri wetu na watendaji wengi ni mndogo hivyo kuelewa concept ya coordination itachukua muda!! Wamezoea kila mtu na MUHOGO wake!

Kila mtu na muhogo wake...

"Jenerali Ulimwengu"
 
Mapema Sana wakati anaapisha wateule wake wa Mwanzo Rais Samia alisema kuna tatizo kubwa la Coordinations serikalini...

Leo nimeona hili tatizo kati yake Rais na waziri wake Jennista Mhagama...
Na lack of coordination Kwa ujumla kutoka IKulu kwenda chini Kwa watu Wengine ..

Kama Samia alikuwa anajua haiwezekani kupandisha mishahara leo alipaswa kuwaweka wasaidizi wake mapema ili waweze 'kuwaandaa watu kisaikolojia'mapema...

Ajabu leo wafanyakazi wameaminishwa kuna 'tamko'linakuja na hata waziri Jenista Mhagama alishadadia kabisa kuwa Leo kuna 'tamko'..

Hotuba za vyama vya wafanyakazi naamini IKulu ilizipata mapema na hata arrangements za leo walishirikiana kati ya serikali na Viongozi wa wafanyakazi..
Serikali ingeweza kabisa kuwaeleza mapema kuwa mishahara mwaka huu ni ngumu lakini mwakani itawezekana..

Hii ingepunguza 'expectation kubwa 'iliyokuwepo leo..na hali ya 'dissapointment' baada ya hotuba...

Nimejiuliza je Jesnista Mhagama alikuwa hajui Rais hatapandisha mishahara leo?
Viongozi wa vyama vya wafanyakazi?..

Serikali ina vyombo vyake vya Ku leak taarifa kusudi..ili kupima upepo au kuwaandaa watu kisaikolojia...Leo mbona
Imekuwa tofauti?

Kama vile aliekuwa anajua kuwa mishahara haipandi Leo ni Samia peke yake...wakati kila mtu akiwemo waziri Jenista Mhagama walikuwa wana expect mishahara kupanda leo .tatizo lilikuwa wapi??

Samia ameanza kuwa 'anaogopwa'?

Kuna ukuta Kati yake na wasaidizi wake?

Kingine ilikuwaje Rais aseme hata yeye anakatwa kodi wakati haipo hivyo?
Mawaziri ,wabunge ,Ma Dc ma RC wameanza kukatwa kodi??..

Mbona kama Rais kaanza kuwa 'mkiwa'mapema? Kama wanaotakiwa kumsaidia hawamsaidii why asiwafukuze haraka?..
Uko sahihi kabisa, hata Waziri Mkuu naye nilimsikia akisema kuwa tamko linakuja.

Ni ukweli usiopingika kuwa hii Serikali ya SSH haina "coordination".
By the way, I think this Mother is going to fail considerably in her leadership as a president.
 
Binafsi nilishajua kwamba hilo suala halipo! Sio kwamba mimi ni Insider bali huwa siishi kwa mazoea!!!

Unajua zamani wafanyakazi walizoeshwa kutangaziwa nyongeza Siku ya Mei Mosi! Mwamba Che Ben, akaona hii kitu ya kuwa-tune wafanyakazi kwamba kila Mei Mosi wanatangaziwa kupanda mshahara ni jambo lisilo na afya!!

Akaachana na huo upuuzi!!

Sikumbuki JK kuwahi kutangaza kupanda kwa mshahara wakati wa Sherehe za Mei Mosi... labda nimepitiwa!! Sana sana watu walikuwa wanashtukia tu kuna elf 9500 imeongezeka!!!

Mwenda zake angekuwa ni mtu wa kupandisha mishahara, labda huyu ndo angeturudisha zama za Mwinyi kwa sababu Mwamba alikuwa anapenda sana kucheza na jukwaa!!

Anyway, hawa watu wa serikalini siku hizi wananitia uvivu sana kuwafuatilia kwa sababu, kwa kawaida huwa SIPENDI WATU WAONGO!

Sasa kama Jenister aliwaaminisha watu kwamba kutakuwa na ongezeko la mshahara basi atakuwa ni mpuuzi kweli kweli!!! Yeye amehudumu kwenye serikali iliyopita! Aliona lini na wapi serikali aliyokuwa anahudumu ikitangaza kupanda mshahara kwenye Sherehe za Mei Mosi!!!

Actually iko hivi...
Kutoka Kwa Ben hadi JK walipunguza kabisa
Centralized government...
Wafanyakazi wachache hasa walimu
Na serikali kuu ndo walikuwa wanapata nyongeza ya kila mwaka kuanzia July..

Wakati Wengine hasa wa mashirika waliweka
Utaratibu wao.. mostly ilikuwa kila January..

Magufuli akaja kubadili nowadays watumishi wa mashirika hawana tofauti na walimu.
Mfano shirika kama NHIF wanapeleka makusanyo yote serikalini na wakipanga bajeti yeyote hata ya kuongeza Tu allowances
Inabidi waombe kibali na waombe hiyo bajeti serikali kuuu.... Shida imeanzia hapa...

Mfano we ni mstaafu wa NHIF baada ya miaka miwili kuanzia sasa bado na wewe unasubiri serikali kuu iweze kua approve increment zako zote za miaka 6 iliyopita ili uweze kustaafu ..ingawa NHIf wala haina shida ya pesa kukurekebishia... Magufuli alitoa hizo power Kwa taaasisi na mashirika ya serikali kujiendesha...so hata mfanyakazi wa TRA .
Na yeye Jana alikuwa anasubiria 'tamko'..

Kikwete aliweka utaratibu wa nyongeza za kimya kimya bila matamko...unless shirika au taasisi inaitegemea serikali 100 Percent..

Siku hizi kila shirika au taasisi kila kitu hadi
Wapewe go ahead..

Now Samia nna uhakika hata hajui how deep
Hii kitu ilivyo...
Kama ni hali ya uchumi why isingetoka go ahead Kwa taasisi na mashirika ambayo yako healthy kurekebisha hata hizo increment kwanza?..

Samia naamini Jana alizungumzia zaidi serikali kuu...
 
Heri hata nyie wafanyakazi mmepakwa mafuta kwa mgongo wa chupa.
 
Kuna msemo wanasema

"Masikini hampendi mwana"
Nimefikiria mpaka sasa sijajua maana yake

Wataalam embu nisaidieni hapa
Aibu iliyoje! Mtoa msemo katoa na maana yake. Zwazwa aina yako hujibu kuwa anafikiri mbili mara mbili ni nne. Anafikiri nini?
 
Binafsi nilishajua kwamba hilo suala halipo! Sio kwamba mimi ni Insider bali huwa siishi kwa mazoea!!!

Unajua zamani wafanyakazi walizoeshwa kutangaziwa nyongeza Siku ya Mei Mosi! Mwamba Che Ben, akaona hii kitu ya kuwa-tune wafanyakazi kwamba kila Mei Mosi wanatangaziwa kupanda mshahara ni jambo lisilo na afya!!

Akaachana na huo upuuzi!!

Sikumbuki JK kuwahi kutangaza kupanda kwa mshahara wakati wa Sherehe za Mei Mosi... labda nimepitiwa!! Sana sana watu walikuwa wanashtukia tu kuna elf 9500 imeongezeka!!!

Mwenda zake angekuwa ni mtu wa kupandisha mishahara, labda huyu ndo angeturudisha zama za Mwinyi kwa sababu Mwamba alikuwa anapenda sana kucheza na jukwaa!!

Anyway, hawa watu wa serikalini siku hizi wananitia uvivu sana kuwafuatilia kwa sababu, kwa kawaida huwa SIPENDI WATU WAONGO!

Sasa kama Jenister aliwaaminisha watu kwamba kutakuwa na ongezeko la mshahara basi atakuwa ni mpuuzi kweli kweli!!! Yeye amehudumu kwenye serikali iliyopita! Aliona lini na wapi serikali aliyokuwa anahudumu ikitangaza kupanda mshahara kwenye Sherehe za Mei Mosi!!!
Yaani hata mie nilishangaa wafanyakazi mpaka,wakawa wameshatayarisha mabango kwa kujiamini na kauli mbiu eti' Mishahara juu...
Hiiiiiii.. kazi iendelee.
 
SA ya makaburu ilikua na uchumi imara kuliko hata SA ya weusi sasa unataka kusema kwa matatizo wanayopitia weusu kule SA ya umaskini wa kutupwa warudi chini ya Apartheid policy?

Hivi nani kaukuza uchumi wa ujerumani kuliko Hitler? Hvi Uganda inaweza paa kiuchumi kma enzi za viwanda vya jinja chini ya Idd Amin? Unataka kusema Ug watamkumbuka Amin?

Ubaya wa JPM hauwezi kufutwa na madhaifu ya Samia..... Mumkumbuke au lah he's dead mwili ushaoza yupo kuzimu huko. So haitosaidia kitu zaidi ya kuharakisha anguko la CCM
Nadhani hujafuatilia vizuri Mambo ya SA...hujui makubaliano yalikuwa ya aina gani kwa kuwapa madaraka ya walio wengi...huko SA weusi walipata Political power na siyo economic power...wazungu ni wajanja...kwa kufikia makubaliano hayo makaburu na Western powers waliepusha Mambo gani...mazungumzo Kati ya Mandela na Pik Both wakati Mandela Yuko jela mpaka Leo ni Siri wanaojua ni wazungu na hasa mataifa makubwa ya magharibi..

On Magufuli, nyie watu mnapata taabu Sana na legacy yake ambayo haiwezi kufutika katika nchi Kama ilivyo legacy ya Nyerere...we had a president ambaye alikuwa mchapa kazi na anayeweza kufanya kazi kwa faida ya nchi...Few waliumia it is true..ni hao wanaopiga kelele na kufurahia kifo chake...
Nchi Hii haiwezi kuongozwa na mtu legelege na anayeweza kuwatumikia matajiri na mabeberu na siyo wanachi walio wengi...JPM was tough na nchi Hii inahitaji a tough leader...Hakuna nchi yoyote iliyoweza kusonga mbele kwa kupiga Domo la kinachoitwa demokrasia...in fact democracy is the worst form of government...
In USA millions died on the road to democracy..it is also the same to UK, Germany, Russia etc..
TZ mnapiga kelele Sana for nothing..kazi yetu ni kulalamika na kushutumu hiki na kile..sisi ni wajuaji kupitiliza, wapuuzi, wajinga na wapumbavu pia..we don't know what is good for us...sisi ni wavivu na wapenda vya dezo...maendeleo hayaji kwa kupiga Domo bali kwa kufanya kazi na kutekeleza wajibu kwa Kila mmoja...kwa kifo ChaJPM, TZ tumempoteza a true leader, a patriot, a true African....May God rest his soul in peace...
 
Mapema Sana wakati anaapisha wateule wake wa Mwanzo Rais Samia alisema kuna tatizo kubwa la Coordinations serikalini...

Leo nimeona hili tatizo kati yake Rais na waziri wake Jennista Mhagama...
Na lack of coordination Kwa ujumla kutoka IKulu kwenda chini Kwa watu Wengine ..

Kama Samia alikuwa anajua haiwezekani kupandisha mishahara leo alipaswa kuwaweka wasaidizi wake mapema ili waweze 'kuwaandaa watu kisaikolojia'mapema...

Ajabu leo wafanyakazi wameaminishwa kuna 'tamko'linakuja na hata waziri Jenista Mhagama alishadadia kabisa kuwa Leo kuna 'tamko'..

Hotuba za vyama vya wafanyakazi naamini IKulu ilizipata mapema na hata arrangements za leo walishirikiana kati ya serikali na Viongozi wa wafanyakazi..
Serikali ingeweza kabisa kuwaeleza mapema kuwa mishahara mwaka huu ni ngumu lakini mwakani itawezekana..

Hii ingepunguza 'expectation kubwa 'iliyokuwepo leo..na hali ya 'dissapointment' baada ya hotuba...

Nimejiuliza je Jesnista Mhagama alikuwa hajui Rais hatapandisha mishahara leo?
Viongozi wa vyama vya wafanyakazi?..

Serikali ina vyombo vyake vya Ku leak taarifa kusudi..ili kupima upepo au kuwaandaa watu kisaikolojia...Leo mbona
Imekuwa tofauti?

Kama vile aliekuwa anajua kuwa mishahara haipandi Leo ni Samia peke yake...wakati kila mtu akiwemo waziri Jenista Mhagama walikuwa wana expect mishahara kupanda leo .tatizo lilikuwa wapi??

Samia ameanza kuwa 'anaogopwa'?

Kuna ukuta Kati yake na wasaidizi wake?

Kingine ilikuwaje Rais aseme hata yeye anakatwa kodi wakati haipo hivyo?
Mawaziri ,wabunge ,Ma Dc ma RC wameanza kukatwa kodi??..

Mbona kama Rais kaanza kuwa 'mkiwa'mapema? Kama wanaotakiwa kumsaidia hawamsaidii why asiwafukuze haraka?..
Hapo sijaona kosa lolote ulilolionyesha

Mimi kosa naliona kwa viongozi wa vyama vya wafanyakazi

Kwanini wasubiri matamko ya nyongeza wakati wa mei mosi!? Kwani plan ya bajeti ya mwaka husika wa fedha inaandaliwa siku ya mei mosi!?

Nyongeza ya mishahara ni suala la kibajeti. Rais hawezi kuropoka tu kwamba anapandisha mishahara Kama kwenye bajeti haimo

Sasa hivi tupo kwenye bunge la bajeti. Wangetaka taarifa wangechungulia huko kwanza waone kilichomo kwenye bajeti kuu ya serikali kabla ya kuandaa hutuba zao na mabango yao.

Kwasababu hii ni agenda ya vyama vya wafanyakazi ya miaka mingi, ilikuwa jukumu lao kutafuta taarifa hizo kupitia vyanzo wanavyojua wao kuchungulia kwenye bajeti ya serikali wajue Kama agenda yao imo au haimo halafu hutuba yao iwe ya kumuuliza Rais kwanini hajaongeza badala ya kuwa hutuba ya kuomba tamko.

Viongozi wangefanya kazi yao vizuri, mabango yangesheheni jumbe za madai na maswali kuliko yalivyokuwa.

Ifikie hatua watu wanaenda mei mosi wakiwa na "conditions" kwa mamlaka sio kwenda kusubiri matamko

Kwa mfano tuwe na mabango yanayosomeka :-

"bila nyongeza ya mishahara hakuna ufanisi kazini",.

"Nyongeza ya mishahara ni haki ya kisheria kwa wafanyakazi, viongozi tendeni haki wafanyakazi tutekeleze wajibu"

"Kazi haiwezi kuendelea Kama maslahi kwa wafanyakazi ni duni"

"Malimbikizo ya madeni ni sumu ya morali kwa wafanyakazi"

Tatizo vyama vya wafanyakazi vimejaa viongozi waoga na waliowekwa na mkono wa serikali.

Haki haidaiwi kinyonge. Haki hudaiwa kwa ujasiri

Tutaishi kwa kusubiri matamko hadi lini!? Ifikie mahali hawa kina Nyamuhuko wapishe damu changa zenye ubunifu
 
Tatizo watu mlikuwa mna yenu mliyotaka kuyasikia kwa mama, kuondolewa 6% ya heslb, PAYE kupunguzwa kwa 1% hilo si neno? Acheni ujinga wenu Rais hawez kumridhisha kila mtu ila angalau ameleta mwanga kuliko marehemu JIWE.

hiyo 6% isikie tu kwa jirani kama ingeendelea hivyo ungekukuta unastaafu utumishi wa umma na deni la heslb unalo
 
Hotuba ya My. Rais siyo public document. Ni siri. Na Rais wetu Samia ni mtu mzuri sana kuhakikisha hakuna siri Inatoka. Pili kwa muda wake mfupi na changamoto zilizopo si rahisi kupandisha mshahara. Kwanza ngoja apandishe vyeo/madarasa maana madarasa mapya pia nayo ni ongezeko la mshahara. Hivyo pia fungu la kuwapandishia mshahara litengwe. Inaonekana halikutengwa maana budget huwa inaandaliwa mapema.
Kwa msingi hiyo tumpe muda. Mwakani akikausha tena ndipo lawana kalikali zimuandame.
Kwa leo yapo machache amefanya ambayo itakuwa ni ahueni kidogo kwa mtumishi wa umma.

Mkuu Umeongea Point kubwa mnooo
Natamani kila anaempinga wewe usihangaike mtupie tuu hii quote then kaa kimya ahangaike nayo[emoji115][emoji1666][emoji1666][emoji110][emoji851]
 
Nadhani hujafuatilia vizuri Mambo ya upSA...hujui makubaliano yalikuwa ya aina gani kwa kuwapa madaraka ya walio wengi...huko SA weusi walipata Political power na siyo economic power...wazungu ni wajanja...kwa kufikia makubaliano hayo makaburu na Western powers waliepusha Mambo gani...mazungumzo Kati ya Mandela na Pik Both wakati Mandela Yuko jela mpaka Leo ni Siri wanaojua ni wazungu na hasa mataifa makubwa ya magharibi..

On Magufuli, nyie watu mnapata taabu Sana na legacy yake ambayo haiwezi kufutika katika nchi Kama ilivyo legacy ya Nyerere...we had a president ambaye alikuwa mchapa kazi na anayeweza kufanya kazi kwa faida ya nchi...Few waliumia it is true..ni hao wanaopiga kelele na kufurahia kifo chake...
Nchi Hii haiwezi kuongozwa na mtu legelege na anayeweza kuwatumikia matajiri na mabeberu na siyo wanachi walio wengi...JPM was tough na nchi Hii inahitaji a tough leader...Hakuna nchi yoyote iliyoweza kusonga mbele kwa kupiga Domo la kinachoitwa demokrasia...in fact democracy is the worst form of government...
In USA millions died on the road to democracy..it is also the same to UK, Germany, Russia etc..
TZ mnapiga kelele Sana for nothing..kazi yetu ni kulalamika na kushutumu hiki na kile..sisi ni wajuaji kupitiliza, wapuuzi, wajinga na wapumbavu pia..we don't know what is good for us...sisi ni wavivu na wapenda vya dezo...maendeleo hayaji kwa kupiga Domo bali kwa kufanya kazi na kutekeleza wajibu kwa Kila mmoja...kwa kifo Cha TZ tumempoteza a true leader, a patriot, a true African....May God rest his soul in peace...
Japo sipo kutetwa legacy ya mtu Kuna vitu nimeviona na inabidi v ifanyiwe kazi Kama sisi Kama taifa tunataka kueonga mbele

1. Tuendelee na uwekezaji katika uzalishaji. Tofauti ya hotba ufunguzi wa bunge 2020 na juzi 2021 iko clear kwamba mwelekeo Sasa unageuka kutoka serekali ya uwekezaji kwenda serekali ya MATUMIZI...sikusikia Tena Ile upanuzi wa.maloshio kwa hekta milioni 6...,.sikusikia Tena kuongeza maeneo ya umwagiliahi kutokaneka 500.000 za Sasa Hadi eka 1.200.000 mwaka 2025. Sikusikia.tena ile story ya kufungua machinjio 7 kubwa za kisasa za nyama na sikusikia habari ya dege la mizigo kupeleka mazao nje....


In fact watu wengi walioamini katika kazi na kujipanga teyari walishachukuwa positions zao. Hukunkwe5u tuliaminishana tunaweza Sasa kukuzanufugaji wa sungura for export.....

Kuna watu walihamia.maporini kuanzisha maranch....

Naona wote Sasa wamerudi mjini wanashinda kwenye bar...yaani bar zinajaa wamejipanga kuanza kulamoesa ya wafadhili

Nilisikia tu habari ya kugawa maji kila.sehemu.....hapo ndio.mzungu anatushika...anachukuwa dhahabu anagawa maji.....

Kazi i3ndelee
 
Mfano wako ni mzuri hao wote waliacha nchi imekufa kiuchumi huku wao wakisifika!!!
Usiwe mjinga kiasi hicho. Dicteta aliwapumbaza kwa Ujinga wenu akiwahadaa kuwa uchumi umekua na anatumia Pesa za ndani kujenga miradi wakati linakopa kwa wazungu.
Hotuba ya Mh Samia imesema uchumi umeshuka wew Kibwetele uwe makini usikurupuke tuu kuandika.

Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
 
Hivi wizara ya Kazi ajira na vijana ina manaibu wangapi?
Hii wizara iangaliwe kwa Jicho la 3
 
Mapema Sana wakati anaapisha wateule wake wa Mwanzo Rais Samia alisema kuna tatizo kubwa la Coordinations serikalini...

Leo nimeona hili tatizo kati yake Rais na waziri wake Jennista Mhagama...
Na lack of coordination Kwa ujumla kutoka IKulu kwenda chini Kwa watu Wengine ..

Kama Samia alikuwa anajua haiwezekani kupandisha mishahara leo alipaswa kuwaweka wasaidizi wake mapema ili waweze 'kuwaandaa watu kisaikolojia'mapema...

Ajabu leo wafanyakazi wameaminishwa kuna 'tamko'linakuja na hata waziri Jenista Mhagama alishadadia kabisa kuwa Leo kuna 'tamko'..

Hotuba za vyama vya wafanyakazi naamini IKulu ilizipata mapema na hata arrangements za leo walishirikiana kati ya serikali na Viongozi wa wafanyakazi..
Serikali ingeweza kabisa kuwaeleza mapema kuwa mishahara mwaka huu ni ngumu lakini mwakani itawezekana..

Hii ingepunguza 'expectation kubwa 'iliyokuwepo leo..na hali ya 'dissapointment' baada ya hotuba...

Nimejiuliza je Jesnista Mhagama alikuwa hajui Rais hatapandisha mishahara leo?
Viongozi wa vyama vya wafanyakazi?..

Serikali ina vyombo vyake vya Ku leak taarifa kusudi..ili kupima upepo au kuwaandaa watu kisaikolojia...Leo mbona
Imekuwa tofauti?

Kama vile aliekuwa anajua kuwa mishahara haipandi Leo ni Samia peke yake...wakati kila mtu akiwemo waziri Jenista Mhagama walikuwa wana expect mishahara kupanda leo .tatizo lilikuwa wapi??

Samia ameanza kuwa 'anaogopwa'?

Kuna ukuta Kati yake na wasaidizi wake?

Kingine ilikuwaje Rais aseme hata yeye anakatwa kodi wakati haipo hivyo?
Mawaziri ,wabunge ,Ma Dc ma RC wameanza kukatwa kodi??..

Mbona kama Rais kaanza kuwa 'mkiwa'mapema? Kama wanaotakiwa kumsaidia hawamsaidii why asiwafukuze haraka?..
Amepatikana kWa njia ya katiba. Tutarajie chochote
 
Back
Top Bottom