Mei Mosi Mwanza: Rais Samia ahutubia, aahidi kuongeza mishahara kuanzia mwakani, agusia mafao ya wastaafu

Mei Mosi Mwanza: Rais Samia ahutubia, aahidi kuongeza mishahara kuanzia mwakani, agusia mafao ya wastaafu

Watu wanawaza samia akiongeza mshahara ndo atakuwa mtu mwema zaidi ya jpm?

Hivi nyie akili yenu ipo wapi? Mm wakati nikiwa mtumishi wa serikali nakumbuka nyongeza ilikuwa hela ndogo sana. Na maisha yana baki pale pale....
Mkuu tupe neno LA hekima ilikuwaje akatundika daluga huko Serikalinijitoe,na badaye ulijishughulisha na nini ama ilikuwaje??
Nia ni kujifunza,maana wengine tukiwa huku ndio tunafikiria maisha ni huku tu.
 
Salaam nyingi kwa jina la JMT

Ninawazoom hapa waandamanaji katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani wakiwa na mabango yenye kauli mbiu 'maslahi Bora, Mishahara juu, Kazi iendelee'

Je, ndivyo itakavyokua?

Muda utaamua kama ndivyo au itakua vinginevyo!
Kwa Sasa tumsubiri Mama.

Nawatakia mei mosi njeeeemaaa!
 
Jiwe ndio kiboko ya kila mpuuzi nchi hii.

Enzi hizo mwanaume akiongea kauli ni moja tu na mnaufyata.

Sasa hivi mnaleta unafki wa kupiga kelele mngeongea mbele ya kidume tuone kama mnayaweza.

Mafisadi na vibaraka walikimbia nchi.

Wafanyakazi wazembe na wezi waliichukia serikali maana waliishi kwa halali yao ya mshahara na posho wanayostahili.

Kile kidume ni noma ndio maana wabaya wake bado wanateswa na jinamizi lake wakilala jiwe wakiamka jiwe.

Wananchi wa kawaida wanalia sana kupoteza lile dume la mbegu sababu alisimama nao pamoja na unyonge wao. Aliwapa uhuru wa kweli mwenye biashara alifanya na hakusumbuliwa, aliwapelekea umeme, zahanati, maji na barabara nzuri alihakikisha kinachopatikana kinaenda kuwafaidisha watanzania walio wengi haswa maskini pangu pakavu na ndio maana watampenda daima.

Maofisini huko alipanyoosha at least mwananchi mnyonge alisikilizwa na mtumishi wa serikali tena bila connection wala kutoa rushwa tofauti na tawala zingine.

RIP Chuma aka Jiwe.
aliekwambia kuwa mafisadi walikimbia nchi ni nani?
for the record wengine waliendelea kupiga na waliendelea kuwepo bungeni.
na aliwafaham. nn aliwafanya?

sisemi ni mbaya. kuna mazuri yake ambayo aliyasimamia.
ila kila serikal ina style yake ya uongozi.

Jiwe is gone. he is past now
 
Jiwe ndio kiboko ya kila mpuuzi nchi hii.

Enzi hizo mwanaume akiongea kauli ni moja tu na mnaufyata.

Sasa hivi mnaleta unafki wa kupiga kelele mngeongea mbele ya kidume tuone kama mnayaweza.

Mafisadi na vibaraka walikimbia nchi.

Wafanyakazi wazembe na wezi waliichukia serikali maana waliishi kwa halali yao ya mshahara na posho wanayostahili.

Kile kidume ni noma ndio maana wabaya wake bado wanateswa na jinamizi lake wakilala jiwe wakiamka jiwe.

Wananchi wa kawaida wanalia sana kupoteza lile dume la mbegu sababu alisimama nao pamoja na unyonge wao. Aliwapa uhuru wa kweli mwenye biashara alifanya na hakusumbuliwa, aliwapelekea umeme, zahanati, maji na barabara nzuri alihakikisha kinachopatikana kinaenda kuwafaidisha watanzania walio wengi haswa maskini pangu pakavu na ndio maana watampenda daima.

Maofisini huko alipanyoosha at least mwananchi mnyonge alisikilizwa na mtumishi wa serikali tena bila connection wala kutoa rushwa tofauti na tawala zingine.

RIP Chuma aka Jiwe.
Wewe utakuwa unakaa kwa shemeji yako tu
 
Kuna watu ni wabinafsi sana yaani wao tu ndio waongezewe mishahara watu hawafiki hata milioni 3 halafu the rest 50 milion waumie kwa gharama za maisha kupanda.

Mambo ya ajabu sana hayo. Kelele mingi tija hakuna.
umeandika as if hizi ajirs ni dhambi.
na sio ubinafsi. hata hao wanaoomba waingezewe sio kwamba wana maisha mazuri sana. au wanakula maandazi hiyo hela.

ni haki na wao wanamaisha. kama watu wengine
 
Jiwe ndio kiboko ya kila mpuuzi nchi hii.

Enzi hizo mwanaume akiongea kauli ni moja tu na mnaufyata.

Sasa hivi mnaleta unafki wa kupiga kelele mngeongea mbele ya kidume tuone kama mnayaweza.

Mafisadi na vibaraka walikimbia nchi.

Wafanyakazi wazembe na wezi waliichukia serikali maana waliishi kwa halali yao ya mshahara na posho wanayostahili.

Kile kidume ni noma ndio maana wabaya wake bado wanateswa na jinamizi lake wakilala jiwe wakiamka jiwe.

Wananchi wa kawaida wanalia sana kupoteza lile dume la mbegu sababu alisimama nao pamoja na unyonge wao. Aliwapa uhuru wa kweli mwenye biashara alifanya na hakusumbuliwa, aliwapelekea umeme, zahanati, maji na barabara nzuri alihakikisha kinachopatikana kinaenda kuwafaidisha watanzania walio wengi haswa maskini pangu pakavu na ndio maana watampenda daima.

Maofisini huko alipanyoosha at least mwananchi mnyonge alisikilizwa na mtumishi wa serikali tena bila connection wala kutoa rushwa tofauti na tawala zingine.

RIP Chuma aka Jiwe.
Sio kweli,awamu ya Kayafa UNAFIKI ulikuwa mwingi,wafanyakazi wengi ndio waliiba fedha nyingi mno kwakuwa ubanaji mkubwa wa fedha ulitawala,so mwanya ukipatikana watu wanapiga.TAKWIMU nyingi zilizopatiwa serikalin zilikuwa za uwongo na uo ndio ukweli(nakupa takwimu bora liende yan mbelembele yao)
 
mwezi mmoja umeshajua uchumi umekua sana tofauti na miaka 5 iliyopita[emoji16][emoji16][emoji16].

mnaongozwa na hisia sio utashì tena.
Kama huelewi kiswahili ngoja nitapost kwa kisukuma ili uelewe kwa lugha ya kabila lako
 
Back
Top Bottom