Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mama huyooooMama mama mama huyo
😂 😂 😂 😂 😂sema mama akianza kumkumbuka marehemu asimkumbuke sana
atapunguza utamu wa hotuba😂 😂 😂 😂 😂
Hiyo mimba uliyodungwa chato itakutoa rohosema mama akianza kumkumbuka marehemu asimkumbuke sana
Wamaanisha nini?punguzo la asilimia 1% kutoka 9% kwenye PAYE
😀Hiyo mimba uliyodungwa chato itakutoa roho
Kwahiyo PAYE sasa ni 8% au 1%?punguzo la asilimia 1% kutoka 9% kwenye PAYE
makato ya PAYE ...WATAKATWA 8%Wamaanisha nini?
NI 8% Amepunguza 1%Kwahiyo PAYE sasa ni 8% au 1%?
[emoji23][emoji23]Kama ulivyo kilema wa biashara zako,maana najua unapigana kutwa ili upate kipato kikubwa Zaid ya Jana ,Sasa Kuna ubaya gan watumishi nao wakatunisha account zao ? Maana nao ndio biashara yao Kama ilivyo biashara yako inayokupa kipato ,yaan unataka watumish waendelee kuwa pale pale miaka nenda rud?Kwahiyo umeajiriwa ili uongezewe mshahara tu bila tija yeyote??
Mnavyofisadi mashirika yetu namna hii halafu mnataka tuwaongezee mishahara ndio mnazidi kutupa hasira.
Hivi hujui kwamba kila unapoongeza mishahara unasababisha gharama za maisha nazo kupanda??
Kwahiyo kwa ubinafsi wako unaona ni sawa watu wachache kuwaumiza wengi kila mara??
Hilo ongezeko litazidi basi hata laki??
Ila unajua naumivu yake huku mtaani??
Sidhani kama unafikiri sawasawa, maana inavyoonekana umeshakua kilema wa mshahara.
Na hapo unaweza kukuta una degree lakini kusoma hujuiKwahiyo PAYE sasa ni 8% au 1%?
UnafuatiliaaaaaaMama la mama...SASHA