implicit memory
JF-Expert Member
- Nov 14, 2024
- 806
- 926
Duh!!nimecheka sana aseh!! Upepo!Komandoo wa? Kubeba mabegi yenye upepo mwingi kwenye maonyesho kwa Nkapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!!nimecheka sana aseh!! Upepo!Komandoo wa? Kubeba mabegi yenye upepo mwingi kwenye maonyesho kwa Nkapa?
haha nilikua sijakusoma mwanzo 😂SISU
ila basi mi naona wapemba ndio peace sana jeshini walikua fair kinoma jamaa tofauti na sisiTena wanakua wanaaa kinoma
SubutuuuuKwa anaejua hv mwamba kama huyu analipwa sh ngapi, hv cheo kama huyu au mawaziri , governor, na vibopa wengne wanachezea range gani ya mshahara si itakua 20,000,000/= kwenda juu au sio wajuzi?
Komando anayeweza kufanya majukumu kwenye maji na nchi kavu ndio marine special force wa mwanzoni kwa hapa TZKwa Kiswahili
Yaan Komandoo wa Maji? Ashawahi kutupa show zake pale kwa Nkapa hata mara moja tuone jinsi Pesa zetu za kodi zinavyofanya kazi?Komando anayeweza kufanya majukumu kwenye maji na nchi kavu ndio marine special force wa mwanzoni kwa hapa TZ
wee jamaa jifunze kufikiri,komando gani ana mashavu kama anapuliza moto?,kitambi kama amemeza tikiti maji?Wakuu…
Naombeni mnifahamishe huyu Mkuu wa Kamandi ya Wana Maji, Meja Jenerali Ameir Hassan ni Komando? Nimeona ana bawa katika gwanda lake?View attachment 3154681
Kwani kunguru nao ni makomando mbona wanamabawaHuoni Bawa hilo Mzee au Unauliza ila Ukweli Unaujua 🤣🤣
Jeshini ukishafika level hizo , age na majukumu mapya haya require extreme physical fitness anymoreKomando mwenye kitambi
Sio kweli.Mpaka kafika hapo basi ametoka mbali sana na mazoezi anayo ila kwa sasa hawezi tena ni mtu mwenye cheo kikubwa sana hapo
Hata duniani ukingalia wenye vyeo sio maana wanakimbia na kufanya mazoezi magumu hapana.
Hapo uko kwenye raha tu
Unahukumu kwa miili yao auSio kweli.
Kaangalie makamanda wa IDF, Lt Gen Halevi, Maj Gen Orin Gordin nothern command incharge kiboko ya Hizbullah, southern command incharge Maj Gen Yaron Finkelman kiboko ya Hamas, Chief of staffs Maj Gen Amir Baram
Huyu ni balaa, ni full SEAL commandor; yaani SEA, AIR AND LAND (SEAL). Hatari sana lakini salamaInaonekana alipikwa vema sanaView attachment 3154689