Meja Jenerali Charles Mbuge astaafu utumishi wake jeshini

Akakutane na kikokotoo, kimkokotoe vzr
 
Hyo pesa unayo? Acha kujitekenya basiii
 
Wanakaa chini ya miembe kupiga stori na kuwatisha raia na kombati zao
 
Kila la heri kwenye maisha yake ya Kustaafu

Ni jambo la kushukuru Mungu kufikia umri huo wa kustaafu.

Wengi huishia njiani Kwa sababu mbalimbali ikiwemo Mauti.
 
Yani ndiyo umepata vocha baada ya wiki au vipi?

Sikukujibu au sikukujibu ulivyotaka wewe?

Kwa nini swali kiwe Marekani ikiwa Marekani na Tanzania hazipo sawa?

Unalinganisha vipi vitu ambavyo havilinganishiki?
Mkuu umeulizwa marekani wanafanya jibu ni yes au no.
 
Sijategemea nisome comment hii kutoka kwako? Au kuna mjinga amehack simu yako
 
Mkuu umeulizwa marekani wanafanya jibu ni yes au no.
Hapana,

I reject the premise that America is valid in this conversation.

Hunipangii jinsi ya kujibu.

Unaweza kuuliza sauti yangu ina rangi gani, na kukawa hakuna jibu la yes or no.

Jibu la yes or no hata kama lipo, inawezekana lisiwe na maana kwa sababu Marekani si kipimo, na Marekani ni tofauti sana na sisi, na Marekani si mfano mzuri wa kuiga, sasa kwa nini uchague Marekani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…