Meja Jenerali Charles Mbuge astaafu utumishi wake jeshini

Meja Jenerali Charles Mbuge astaafu utumishi wake jeshini

Halafa machawa wa UVCCM walimkula huyu mzee milioni kama 500 hivi ili mtoto wake ashinde kura za maini kupitia UVCCM matokeo bint yake akaambulia kupata kura moja, mzee alipoata matokeo aliwatolea bastora wale vijana, almanusura awamwage ubongo
Sasa hawa wapigaji waliotaka kununua chaguzi ndo wanasifiwa kulinda nchi, wakati wao ndo wanaitafuna nchi na kulinda uozo?
Very sad.
Chuki ni kubwa sana katika jamii kutokana na siasa chafu za hapa nyumbani zilizoasisiwa na CCM.
 
Sasa hawa wapigaji ndo wanasifiwa kulinda nchi, wakati wao ndo wanaitafuna nchi?
Watanzania wapo gizani kwenye mambo mengi sana kama siyo yote.

Kuna mtu tume ya maadili ilijaribu kuibua madudu yake lakini hakuna hatua inayochukuliwa. Chura wake kazina masikio.

Leo hii mtu huyohuyo huko Arusha anatumia nafasi yake katika ofisi ya umma kunadi brands za kampuni fulani ya Magari, nchi nzima imesimama inakenua. Huenda jamaa ameshavuta mabilioni ya kutosha ili tu kufanya branding
 
Watanzania wapo gizani kwenye mambo mengi sana kama siyo yote.

Kuna mtu tume ya maadili ilijaribu kuibua madudu yake lakini hakuna hatua inayochukuliwa. Chura wake kazina masikio.

Leo hii kuna mtu huyohuyo huko Arusha anatumia nafasi yake katika ofisi ya umma kunadi brands za kampuni fulani ya Magari, nchi nzima imesimama inakenua. Huenda jamaa ameshavuta mabilioni ya kutosha ili tu kufanya branding
Most of the officials of the government in this country are crooks.
 
Sasa hawa wapigaji waliotaka kununua chaguzi ndo wanasifiwa kulinda nchi, wakati wao ndo wanaitafuna nchi na kulinda uozo?
Aliye sema anaushahidi wa huo upigaji? au ndiyo tuseme kuwa, tusi halitumwi, shida iko kwako wewe unaye pokea kitu bila tafakari ya athari za kuweka kitu katika jamii bila due diligence??

Weka ushahidi wa huo upigaji!

Eshimuni kazi za watu, wanajitolea usiku na mchana kwa ajili ya ustawi wa Nchi, leo mnakuja na dhihaka!?

By the way ,you all hamna mnachofahamu kuhusu Jeshi, mnanipotezea muda.
 
Aliye sema anaushahidi wa huo upigaji? au ndiyo tuseme kuwa, tusi halitumwi, shida iko kwako wewe unaye pokea kitu bila tafakari ya athari za kuweka kitu katika jamii bila due diligence??

Weka ushahidi wa huo upigaji!

Eshimuni kazi za watu, wanajitolea usiku na mchana kwa ajili ya ustawi wa Nchi, leo mnakuja na dhihaka!?

By the way ,you all hamna mnachofahamu kuhusu Jeshi, mnanipotezea muda.
Wewe kwanza hujui tofauti ya "heshimuni" na "eshimuni".

Hujui Kiswahili.

Kama hujui Kiswahili wewe mshamba tu.

Ndiyo maana unatetea jeshi ambalo hulijui.
 
Ma Jenerali wengi bila vita ni u jenerali wa mchezo tu. Nchi yenyewe uchumi mdogo, ma jenerali wengi wa nini?
Rwanda pale ilipo ina four star Generals wanne na iko nchi eneo dogo. Tanzania tuna four star General mmoja, Lt. Gen. mmoja, Major Gen. na Brig. Gen. wachache. Huo wingi unaulinganisha na nchi gani maskini kama sisi, au ulitaka wawe wangapi ndio wasiwe wengi?
Unatetea vipi wingi wa Ma Jenerali katika nchi masikini ambayo hata haiweki wazi military spending yake?
China haiweki wazi military spending yake, nayo ina Majenerali wachache?

Hao majenerali wengi ni wangapi na unashauri wawe wangapi kwa vigezo vipi. Mbuge alikuwa mkuu wa JKT, JKT ni mojawapo ya kamandi 6 za jeshi. Taja nchi ambayo mojawapo ya kamandi zake kuu haiongozwi na at least Brigadier General au relevant rank.

Kwahiyo unataka Army, Naval Wing, Defence HQ, jeshi la akiba viongozwe na nani kama sio at least Brigadier General. Nchi gani hiyo Luteni anaongoza Army au Reserve?
Deterrence una m deter nani (nation state) anataka kupigana vita na Tanzania sasa?
Deterrence kwa yeyote anayetaka kujaribu kuvuruga amani. Kwa kuwa humjui haimaanishi hayupo, na kwa kuwa humjui hiyo ni mojawapo ya mafanikio ya jeshi nchi kutokuwa na adui. Au wewe ndio nyinyi mnaolipa bima ya afya alafu mnatamani kuumwa magonjwa makubwa ili malipo yenu ya bima yasiende bure.

Mojawapo ya kazi ya jeshi ni kufanya mazoezi kujipanga na vita ikitokea, sio kulazimisha vita itokee ili jeshi lionekane lipo.
Mkuu wa majeshi kalalamika watu wasio Watanzania wameshika nafasi nyeti serikalini, maana yake wanausalama na wanajeshi wameshindwa kulinda nafasi za serikalini zisishikwe na watu wasioeleweka, let alone ku deter vita.
Sio kazi ya JWTZ kudhibiti waajiriwa serikalini. Kuna mamlaka za uhamiaji na mamlaka za ajira. Soma majukumu ya JWTZ uelewe.
Unahakikishaje hatupigani vuta kwa sababu ya deterence na si kwa sababu hakuna anayetaka kupigana vita na sisi tu?
Kwa sababu jeshi lina deter na adui hatokei, hivyo likefanikiwa. Ukiwa na headache ukatumia painkillers na ukapata nafuu, unaanzaje kusingizia kuwa kichwa kimeacha chenyewe kuumwa wakati umetumia jitihada za kukiponya.

Unahakikishaje hatupigani vita kwa sababu hakuna anayetaka kupigana na sisi na si kwamba hakuna anayekuja kutuvamia sababu ya deterrence?
 
Wewe kwanza hujui tofauti ya "heshimuni" na "eshimuni".

Hujui Kiswahili.

Kama hujui Kiswahili wewe mshamba tu.

Ndiyo maana unatetea jeshi ambalo hulijui.
Wewe unaye jua Kiswahili, mbona hufahamu maana ya Jeshi na jeshi?

Mpaka umri huo hujui maana ya makosa ya kiuandishi??

Mshamba mmoja unayejifanya kujua kila kitu! kumbe Trash tu!
 
Rwanda pale ilipo ina four star Generals wanne na iko nchi eneo dogo. Tanzania tuna four star General mmoja, Lt. Gen. mmoja, Major Gen. na Brig. Gen. wachache. Huo wingi unaulinganisha na nchi gani maskini kama sisi, au ulitaka wawe wangapi ndio wasiwe wengi?

China haiweki wazi military spending yake, nayo ina Majenerali wachache?

Hao majenerali wengi ni wangapi na unashauri wawe wangapi kwa vigezo vipi. Mbuge alikuwa mkuu wa JKT, JKT ni mojawapo ya kamandi 6 za jeshi. Taja nchi ambayo mojawapo ya kamandi zake kuu haiongozwi na at least Brigadier General au relevant rank.

Kwahiyo unataka Army, Naval Wing, Defence HQ, jeshi la akiba viongozwe na nani kama sio at least Brigadier General. Nchi gani hiyo Luteni anaongoza Army au Reserve?

Deterrence kwa yeyote anayetaka kujaribu kuvuruga amani. Kwa kuwa humjui haimaanishi hayupo, na kwa kuwa humjui hiyo ni mojawapo ya mafanikio ya jeshi nchi kutokuwa na adui. Au wewe ndio nyinyi mnaolipa bima ya afya alafu mnatamani kuumwa magonjwa makubwa ili malipo yenu ya bima yasiende bure.

Mojawapo ya kazi ya jeshi ni kufanya mazoezi kujipanga na vita ikitokea, sio kulazimisha vita itokee ili jeshi lionekane lipo.

Sio kazi ya JWTZ kudhibiti waajiriwa serikalini. Kuna mamlaka za uhamiaji na mamlaka za ajira. Soma majukumu ya JWTZ uelewe.

Kwa sababu jeshi lina deter na adui hatokei, hivyo likefanikiwa. Ukiwa na headache ukatumia painkillers na ukapata nafuu, unaanzaje kusingizia kuwa kichwa kimeacha chenyewe kuumwa wakati umetumia jitihada za kukiponya.

Unahakikishaje hatupigani vita kwa sababu hakuna anayetaka kupigana na sisi na si kwamba hakuna anayekuja kutuvamia sababu ya deterrence?
Tatizo unatetea jeshi la nchi ambayo hata military spending yake hujui.

Halafu unaleta strawman fallacy na logical non sequitur fallacy kama mimi nimesema Mbuge hakutakiwa kuwa General wakati mimi nimeongelea suala la nchi kuwa na wanajeshi wengi wasio na kazi yoyote inayoonekana.

Unalinganisha China na Tanzania, una uchumi sawa na Wachina?

Umeambiwa huyo Mbuge mwenyewe mwizi tu kahonga pesa mwanawe ashinde uchaguzi UVCCM akapigwa chini.

Hawa wanajeshi wezi wezi wanaolinda CCM na kuiba iba ndio mnawasifia sana kuwa wanalinda nchi hawa?

Hapo JKT kulikuwa na Jenerali mmoja anaitwa Karubi alikuwa na tumbo kubwa kuliko mwanamke mjamzito, ukimuangalia aibu unaona mwenyewe.

Mwingine Makame Rashid kutwa anashinda na malaya Wambulu wasio na maana, ashukuru tu Tanzania hakuna uhasama wa kuuana.

Hawa ndio mnawasifia wanalinda nchi hawa?
 
Wewe unaye jua Kiswahili, mbona hufahamu maana ya Jeshi na jeshi?

Mpaka umri huo hujui maana ya makosa ya kiuandishi??

Mshamba mmoja unayejifanya kujua kila kitu! kumbe Trash tu!
Wewe mshamba tu, hujui Kiswahili ndiyo maana hata huwezi kuelewa hoja zangu.

Sitashangaa ikiwa umefikishwa mjini na jeshi, kama umefika, ndiyo maana unaliabudu jeshi na wanajeshi wake.
 
Wewe mshamba tu, hujui Kiswahili ndiyo maana hata huwezi kuelewa hoja zangu.

Sitashangaa ikiwa umefikishwa mjini na jeshi, kama umefika, ndiyo maana unaliabudu jeshi na wanajeshi wake.
I knew utakosa hoja na utaishia kudhihaki, baada ya kukosoa uandishi wangu, wakati huo huo na wewe umepuyanga big time katika uandishi wako.

Nilikuambia mapema huku sio eneo lako. hujui chochote, kaa kimya wanaume tujadili.
 
I knew utakosa hoja na utaishia kudhihaki, baada ya kukosoa uandishi wangu, wakati huo huo na wewe umepuyanga big time katika uandishi wako.

Nilikuambia mapema huku sio eneo lako. hujui chochote, kaa kimya wanaume tujadili.
Unatetea jeshi kwa mahaba, huwezi kuwa na hoja kwa sababu huna namba wala data, kwa sababu kila kitu kuhusu jeshi Tanzania ni siri.

Sasa unatetea nini kijinga hivyo? Unatetea kitu usichokielewa?
 
Wafanye tafiti za kisayansi ambazo zinasaidia kwenye Ugunduzi Mpya na Uundaji wa Silaha zetu wenyewe hapa hapa Tanzania.
Waanzishe Viwanda Vipya vya Kutengeneza na Kuunda Silha za Kisasa kwa ajili ya shughuli za Ulinzi na Usalama, sambamba za Silaha na Mifumo ya Kupigania Vita.
Mathalani, wangeanzisha Kiwanda Cha Kutengeneza Ndege zisizo na Rubani (Drones).

Ukiwa na akili Tanzania watakuroga
 
Back
Top Bottom