Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Hasa wanaume wanateseka sana,Nyumbani kuna mambo mengi, nyumba zinaficha yaliyomo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasa wanaume wanateseka sana,Nyumbani kuna mambo mengi, nyumba zinaficha yaliyomo
Hii ni sababu kubwa ya vifo vya wanaume tulio wengi. (Tuna contain vitu vingi, vingine ni sumu kali kwa afya)Hasa wanaume wanateseka sana,
Kwa exposure ya Kiranga na everything ni fedheha Sana Kwako lubengera kujitutumua kubishana na mtu anae kuzidi kila kitu.Subiri wnaume tujadili, tukimaliza, utapewa nafasi!
Nimestaafu hapa nina kaduka ka mangi mtaji haufiki hata laki ila niko peace tu.Hii ni sababu kubwa ya vifo vya wanaume tulio wengi. (Tuna contain vitu vingi, vingine ni sumu kali kwa afya)
Magari ya tata mabovu?Kufa nako ni swali la kuulizana? Kafa Tata na magari yake mabovu sembuse wewe na mimi?
Katika watu ambao hautakiwi kubishana nao mmoja wapo ni Kiranga ,jamaa anajua mpaka anajua tena ,ni kutulia na kupata madini yake na experience kutoka kwake.Kwa exposure ya Kiranga na everything ni fedheha Sana Kwako lubengera kujitutumua kubishana na mtu anae kuzidi kila kitu.
Unacho mzidi kiranga ni UJINGA pekee ulio / unao uonyesha kwenye comment zako.
Nakushaur TU kwa Nia njema.
Usijisumbue kunijibu maana nimesha kupa demotion.
Wasalaam.
Very true. Na hata ukibishana nae tumia lugha nzurii utajifunza mengi Sana kutoka kwake.Katika watu ambao hautakiwi kubishana nao mmoja wapo ni Kiranga ,jamaa anajua mpaka anajua tena ,ni kutulia na kupata madini yake na experience kutoka kwake.
Kwa hili naungana na wewe 💯Sasa mbona tunawaona sehemu nyingi mbali na mipaka?
Wajikite zaidi kwenye shughuli za kiuchumi, watumike kujenga zaidi, watumike kwenye engineering projects zaidi.
Sasa hivi ukiondoa hizo habari nikizozitaja hapo juu, ambazo haziwezi kuchujua vikosi vingi sana, sielewi wanajeshi wanafanya kazi gani.
Hawawezi kuwa wanafanya mazoezi ya vita siku zote.
Uko vizuri kwenye spinning na kuhamisha magoli.Wewe ni mjinga unatetea hela ya kodi ya wananchi itumike bila uwazi.
Watu kama wewe ndio mnafanya Tanzania izidi kuwa masikini.
Mimi sifikiri kwamba ninaweza kujadiliana na mtu mjinga kama wewe.
Acha ujinga, Jamaa sio kila kitu anafahamu!Very true. Na hata ukibishana nae tumia lugha nzurii utajifunza mengi Sana kutoka kwake.
Wewe hapa umetoka kuandika jeshi lizuie wahamiaji na wala rushwa.Wewe unayetetea jeshi usilolielewa ndiye una matatizo ya akili.
Na watu kama wewe ndio mnasababisha Tanzania izidi kuwa masikini.
Wewe ni mjinga unatetea hela ya kodi ya wananchi itumike bila uwazi.
Watu kama wewe ndio mnafanya Tanzania izidi kuwa masikini.
Mimi sifikiri kwamba ninaweza kujadiliana na mtu mjinga kama wewe.
Wewe binafsi umegundua nini hadi leo katika umri ulionao?Wafanye tafiti za kisayansi ambazo zinasaidia kwenye Ugunduzi Mpya na Uundaji wa Silaha zetu wenyewe hapa hapa Tanzania.
Waanzishe Viwanda Vipya vya Kutengeneza na Kuunda Silha za Kisasa kwa ajili ya shughuli za Ulinzi na Usalama, sambamba za Silaha na Mifumo ya Kupigania Vita.
Mathalani, wangeanzisha Kiwanda Cha Kutengeneza Ndege zisizo na Rubani (Drones).
Magari ya tata mabovu?
Wewe ndiye ume spin.Uko vizuri kwenye spinning na kuhamisha magoli.
😅😅Wewe ndiye ume spin.
Hoja muhimu ya military spending na transparency hujaiongelea, una project kwangu spinning yako.
Pengine bila hata kuelewa dhana za military spending na transparency.
Inaonekana si tu hatuelewani, hatuwezi kuelewana.
Wapumbuwazi hawawezi kukuelewa labda welevu wachache walioko humuTatizo unatetea jeshi la nchi ambayo hata military spending yake hujui.
Halafu unaleta strawman fallacy na logical non sequitur fallacy kama mimi nimesema Mbuge hakutakiwa kuwa General wakati mimi nimeongelea suala la nchi kuwa na wanajeshi wengi wasio na kazi yoyote inayoonekana.
Unalinganisha China na Tanzania, una uchuni sawa na Wachina?
Umeambiwa huyo Mbuge mwenyewe mwizi tu kahonga pesa mwanawe ashinde uchaguzi UVCCM akapigwa chini.
Hawa wanajeshi wezi wezi wanaolinda CCM na kuiba iba ndio mnawasifia sana kuwa wanalinda nchi hawa?
Hapo JKT kulikuwa na Jenerali mmoja anaitwa Karubi alikuwa na tumbo kubwa kuliko mwanamke mjamzito, ukimuangalia aibu unaona mwenyewe.
Mwingine Makame Rashid kutwa anashinda na malaya Wambulu wasio na maana, ashukuru tu Tanzania hakuna uhasama wa kuuana.
Hawa ndio mnawasifia wanalinda nchi hawa?
Wewe hujui kusoma kwa ufahamu.
Wapi nimesema jeshi lizuie wahamiaji na wala rushwa?
Nakuonesha hilo jeshi lenu mnalolisifu nyanya tu, mkuu wa majeshi ndiyo katoa kauli ya kwamba kuna wageni wengi wako sehemu nyeti serikalini, publicly, kinyume cha itifaki zote za jeshi.
Maana yake kuanzia mkuu wa majeshi wa jeshi lenu mnalolisifia anajiharishia.
Na nyie mnakunywa uharo huo bila hata kuuchuja kwa kulisifia hili jeshi la hawa viongozi wezi na wajinga.