Mgugu
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 2,165
- 4,403
Shkamoo bibiUsishangae kuwa hii ni ada ya shule tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shkamoo bibiUsishangae kuwa hii ni ada ya shule tu.
Hicho kibumbu kikubwa umekionaje?amekomaa kweli kweli alafu ana 'kibumbu' kikubwa balaa...atakuwa na uwanja wa mpiraa!!…..mwanaye naye anaelekea kumrithi...
Ni mpango tu wa utawala wa shetani kuwakomoa wanaume waone kuhusiana na wanawake ni adhabu mashoga na mabasha waongezekehiyo pesa ni zaidi ya milioni 50 za bongo, dah, huyo mtoto ana matumizi ya aina gani.
Wanateswa sana ili mashoga waongezeke, wanaume waone wanawake jahanamumarekani wanaume wanateswa sana na wanawake...inshort haki sawa sio haki sawa ..maana yake wanawake watukandamize wanaume.
unakuta kwenye hiyo £21000 anayotumia kabisa mtoto ni £500 zingine mama anafinya.
mbaya mkienda court unakuta hakimu wa kike lazima dau lipandishwe
Wana haki za kudanga, kunyonya na kukandamiza wanaume, hizo haki za kunyonya wanaume zikija Bongo tutaomba Taliban na Al Shabaab waje watawale upuuzi mtupu, ndiyo maana Marekani mashoga wengi uanaume imekuwa matesoUlaya raha wanawake wanapata haki zao kimbembe Bongo ukizaa na chekbob wako mkamwagana kama mama hujiwezi ndiyo basi tena huwezi weka tumaini Kwa ulozaa nae yani binti kama unazaa zaa tu
Kuna mtanzania alizaa na mzungu. Mbona alirudi bongo kwa kuikimbia child supportUlaya ukizaa na mwanamke uwage na pesa sana yakutosha labda upate zari mwanamke akupende akufichie siri ya madai ya mtoto na hii hûtokea wakiachana tu ila wangekuwa wanaishi wote gharama zingekuwa ndogo tu