Meli ya Israel yatekwa uchochoro wa bahari ya Hormuz

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Vita vya Iran kwa Israel vimeanza rasmi kwa njia za awali kutumia mbinyo wa kiuchumi.

Houth kutoka Yemen ambao ni washirika wa Iran walisema zamani kuwa wataifunga Homutz na Mediteranean na watu hawakufahamu kwa vipi na lini.

Sambamba na maandalizi ya kuipiga Israel moja kwa moja, Leo ndio Iran imeanza kwa kuiteka meli ya Israel iliyokuwa ikipita uchochoro wa bahari ya Homutzi.

Meli hiyo inamilikiwa na kampuni ya Zodiac Maritime inayomilikiwa na bebari wa kiyahudi aitwaye Eyal Ofer na ilijificha kwa kupeperusha bendera ya Ureno.

Baada ya Houth kusimamisha safari za meli kwenda bandari ya kusini ya Israel ya Eliat, Israel ilitumia mwanya wa uchochoro wa Homutz kupitishia bidhaa zake mpaka UAE na baadae kuzisafirisha kwa njia ya ardhi kupitia nchi hiyo.

Huo utakuwa ni mbinyo ambao utaiwacha Israel na bahari ya mediteranean tu mpaka hapo na Hizbullah watakapokasirishwa na kuamua kuiziba pia.

Iranian state media says IRGC seized vessel near Strait of Hormuz

 
Waislamu huwa hamna akili.
Meli imekamatwa ikitoka dubai kwenda india, hapo Israel anahusikaje?
Kumbe bado hujaelewa.Wewe ndio akili huna.
Israel inapitishia bidhaa zake Dubai kukwepa bahari nyekundu ambako kuna Houth.Sasa ikiwa na homutzi nayo itakuwa shida atapitishia wapi tena bidhaa zake.
 
Kwa hiyo meli ikikamatwa inakuaje baadae au ndio inachukuliwa moja kwa moja na irani
 
Kwa specifications ulizoziweka hapa, Hiyo Meli ni ya Ureno, unasemaje ni ya Israel? Au una report mambo yanayokuzidi kimo, umri na uelewa?
Au kwa kuwa inamilikiwa na Myahudi? Haujui kuwa ndani ya Iran Wayahudi pia wapo na wanamiliki Mali? Au haujui kwamba hata aliyewahi kuwa rais maarufu wa Karibuni nchini Iran na mwenye hesima kubwa ana asili ya Kiyahudi?
 
Hakuna siku utazungumzia au kupost mambo ya amani??
Tusiwe watumwa wa dini zetu!!!!
 
Israel ikifanyiwa mbinyo na ugaidi wafia dini mnashabikia israel ikijitetea mnapiga kelele israel taifa katili sana israel inafanya jinai inafanya mauaji ya kimbari embu kuna haja dunia kuangalia vitendo vya kinafiki vinavyoenezwa na watu wa dini fulani wanapenda kulalamika kinafiki
 

Tatixo la kupenda wa Imani na hisia bila kuwa na shule wala knowledge vichwani. Hebu tuambie, hapo uhusiano uliopo kati ya Mediterranean na Yemen walipo hao Houth upo wapi?
Kila siku huwa tunawaambieni humu kuwa mnakuja na nyuzi za kujazana upumbavu tu halafu mmaitikiana ‘Takbiir ‘
 
Wewe huna lolote mahaba yako kwa wayahudi umekua kipofu unahitaji ukombolewe.
 
Mnazidi kujiongezea sababu za kudundwa siku si nying mtaanza na hashtag za #prayforIran
Iran size yake hao mabwana zenu wa kubwa kama USA ndio wanaweza kutunishiana misuli hao israeli ma wengine NATO sijui nani wachumba tu .vipi bado wanafanya vikao usiku kucha kujiandaa na shambulio la Iran?
 
We mfia kristo acha unafiki unadhani hao wayahudi wanakupenda sana au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…