imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
AyatolahNani huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AyatolahNani huyo
Kinachotokea ni kinyume ya hayo.Israel hapigani ni US na UK safari hii Ayatolah anang'oka kabla hajatengeneza Mabomu ya Atomiki Dunia nzima itapumua.
Ayatolah akiondolewa Hezbola watachapwa na Israel mpaka wakimbie Houthi nao itabidi Serikali halali ya Yemen iungwe mkono kuwaondoa Houthi na kuwarudisha kwenye Mashamba ya Mirungi Deal Done!
Amani inarejea Duniani.
Ngoja uone usije tu kubadili ID na kujificha.Kinachotokea ni kinyume ya hayo.
Israel inategemea zaidi US na UK .Zote mbili ziko hali mbaya za kiuchumi ndio maana wamemuachia Ukraine na janga lake.
Iwapo ni hivyo Houth ,Hamas,hezbollah na Iran watakuw wamepat nyama kilaini ya kuila.
Hatimae na Misri na Jordan zitapinduliwa atabaki Saudia akiwa amenywea sana.
Kama Ufaransa ilivyotimuliwa kutoka Afrika kaskazini na magharibi na US na UK nazo zitaondolewa kutoka middle East na dunia itapata amani ya muda mrefu na heshima itarudi kwa walioonewa karne kadhaa.
Na kama Russian atakuwa na Iran, hapo USA lazima atafute chakaHuu Mziki umeshanunuliwa na US sio tena Israel Ayatolah ajiandae kujificha kwenye mashimo kama Saddam.
YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO MPOKEE LEO View attachment 2962304
Hawa watu huwa hawasomiTatixo la kupenda wa Imani na hisia bila kuwa na shule wala knowledge vichwani. Hebu tuambie, hapo uhusiano uliopo kati ya Mediterranean na Yemen walipo hao Houth upo wapi?
Kila siku huwa tunawaambieni humu kuwa mnakuja na nyuzi za kujazana upumbavu tu halafu mmaitikiana ‘Takbiir ‘
View attachment 2962324
Wasome nini ?? biblia ??Hawa watu huwa hawasomi
Waisraeli wengi wanaoishi hapo wametokea Russia kwa hiyo Putin hawezi kujiingiza kumtetea Ayatolah.Na kama Russian atakuwa na Iran, hapo USA lazima atafute chaka
Sema maisha yako wewe, usisingizie wengineYESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO MPOKEE LEO View attachment 2962304
Ukumbuke Iraq alipigana na Iran miaka 8, 1980-88 na wakatoka suluhuAisee mkuu unamuongelea sadama ambaye hata nuclear kwajili ya kuzalisha umeme tu alikuwa hawezi kutengeneza? USA aliingia Iraq kuchukua mafuta kaka Iran anatengeneza ballistic missiles, anatengeneza nuclear bomb , ana tekonolojia yake na yupo kwenye sanctions zaidi ya miaka 40 unamlinganishaje na Saddam? Ebullient kuwa siriaz nakuheshimu ujue
Nashangaa hata moderator wanaliruhusu hili gaidi kuweka mabandiko yake ya kigaidi kila wakati hapa JF. Lilipaswa lipewe permanent ban,hazungumzii amani hata siku moja.Hakuna siku utazungumzia au kupost mambo ya amani??
Tusiwe watumwa wa dini zetu!!!!
Zee la kutetea magaidi nakuona unawajibika vyema kabisa.We mfia kristo acha unafiki unadhani hao wayahudi wanakupenda sana au?
Yesu amuokoe nani yy mwenyewe kujiokoa kashindwa kapgwa mpk kabaki na chupiYESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO MPOKEE LEO View attachment 2962304
Kwahiyo wewe umefurahia watu wasio na hatia/watoto kupoteza maisha? Nyie watu mnaroho gani aise!Mwanzoni Mnafurahia mbinyo kwa waisraeli, mkianza kuchwapa mnakuja hapa na vilio vya kila aina.
Waislamu huwa hamna akili.
Meli imekamatwa ikitoka dubai kwenda india, hapo Israel anahusikaje?
[/QUOT]
Mashoga 🌈 wenzako wanalalamika meli yao imetekwa na Irani
Israel wanahamisha watu kwenda kujificha kwenye mahandaki, wanahamisha ndege vita kwenda kwenye mahandaki, wanakusanya maelfu ya Tani ya toilet papers Kwa ajili ya kujitawdha huko mahandakini, shule zimefungwa, hospitali zote wameambiwa wajipange Kwa mass casualties haya yoote yanafanywa na serikali ya Israel lakini wewe mngoni wa Lituhi unadai kuwa Iran Hana Cha kufanya Kwa Israel sasa hiyo hamisha hamisha ni ya Nini na akati wao Wana Kila kitu Cha kujilinda?Iran hana chochote cha kuifanya Israel mkuu Alwaz
🤣🤣🤣Israel wanahamisha watu kwenda kujificha kwenye mahandaki, wanahamisha ndege vita kwenda kwenye mahandaki, wanakusanya maelfu ya Tani ya toilet papers Kwa ajili ya kujitawdha huko mahandakini, shule zimefungwa, hospitali zote wameambiwa wajipange Kwa mass casualties haya yoote yanafanywa na serikali ya Israel lakini wewe mngoni wa Lituhi unadai kuwa Iran Hana Cha kufanya Kwa Israel sasa hiyo hamisha hamisha ni ya Nini na akati wao Wana Kila kitu Cha kujilinda?