Meli ya Israel yatekwa uchochoro wa bahari ya Hormuz

Meli ya Israel yatekwa uchochoro wa bahari ya Hormuz

Waislamu huwa hamna akili.
Umetumia :


jazba


hisia au taathira ya mawazo inayomfanya mtu ajisahau nafsi yake


Hii imesababishwa na :


chuki


1.tabia ya kutopenda, hasa watu au ya kuwa na roho mbaya


2.maneno ya kugombanisha watu


3.hali ya kukasirika


Meli imekamatwa ikitoka dubai kwenda india, hapo Israel anahusikaje?
Hapo vipi??

Middle East latest: Iranian commandos hijack Israel-linked cargo ship by helicopter - Israel vows 'consequences'​



Iranian forces have seized an Israel-linked cargo ship with 25 crew members on board, steering it towards Iran. Israel has vowed there will be "consequences" for the hijacking, and demanded the EU sanction Iran and deem its Revolutionary Guards terrorists.


 
Iran size yake hao mabwana zenu wa kubwa kama USA ndio wanaweza kutunishiana misuli hao israeli ma wengine NATO sijui nani wachumba tu .vipi bado wanafanya vikao usiku kucha kujiandaa na shambulio la Iran?
Sheikh tuliza busha ilo kwanza ni mwezi sasa umepita toka mmesema kua mna shambulia lakini mpaka sasa ni maneno tu hamna tofauti na mbwa koko
 
Sheikh tuliza busha ilo kwanza ni mwezi sasa umepita toka mmesema kua mna shambulia lakini mpaka sasa ni maneno tu hamna tofauti na mbwa koko
Jana Hezbollah kaitandika sana Israeli mpaka leo anaendelea hili ni zoezi endelevu . Huyo ujue ni Iran anatoa maelekezo. Tumsifu Yesu kristo
 
Vita vinakuja Ayatolah asianze kulialia kama Saddam na kujificha kwa kuvaa Baibui.

The War is Coming to Ayatolah.
 
Vita vinakuja Ayatolah asianze kulialia kama Saddam na kujificha kwa kuvaa Baibui.

The War is Coming to Ayatolah.
Israeli hana uwezo wa kupigana na Iran. Angekua na uwezo angeshafanya siku nyingi sana. Tunajua anamtegemea huyo bwanaake marekani ila nae mchumba tu
 
Kumbe bado hujaelewa.Wewe ndio akili huna.
Israel inapitishia bidhaa zake Dubai kukwepa bahari nyekundu ambako kuna Houth.Sasa ikiwa na homutzi nayo itakuwa shida atapitishia wapi tena bidhaa zake.
Haya makristo mengine huwa hayana akili, wakisikia Israel wanakuwa vichaa hawjitambui
 
Vita vinakuja Ayatolah asianze kulialia kama Saddam na kujificha kwa kuvaa Baibui.

The War is Coming to Ayatolah.
Sahihi na waislamu humu wanaochekelea wasianze kulialia humu kuwa ohh Israel anaendesha mauaji ya kimbari Iran

Walichekelea hivyo hivyo wakati Hamad walipovamia Israel kibao kilipogeuka wanalia hadi kujinyea kuwa Israel inaendesha mauaji ya kimbari dhidi ya wapalestina wa gaza
 
Hivi ninyi mnafikilia Israeli ni Taifa la mchezo mchezo, Leo mnaandika kusifia Iran kesho mtakuja mtaandika Pray for Iran. "Oooooooo angalia wanaua hadi watoto". Vita vya aina yoyote si vya kusifia jamani.
 
Israeli hana uwezo wa kupigana na Iran. Angekua na uwezo angeshafanya siku nyingi sana. Tunajua anamtegemea huyo bwanaake marekani ila nae mchumba tu
Israel hapigani ni US na UK safari hii Ayatolah anang'oka kabla hajatengeneza Mabomu ya Atomiki Dunia nzima itapumua.

Ayatolah akiondolewa Hezbola watachapwa na Israel mpaka wakimbie Houthi nao itabidi Serikali halali ya Yemen iungwe mkono kuwaondoa Houthi na kuwarudisha kwenye Mashamba ya Mirungi Deal Done!

Amani inarejea Duniani.
 
Israel hapigani ni US na UK safari hii Ayatolah anang'oka kabla hajatengeneza Mabomu ya Atomiki Dunia nzima itapumua.

Ayatolah akiondolewa Hezbola watachapwa na Israel mpaka wakimbie Houthi nao itabidi Serikali halali ya Yemen iungwe mkono kuwaondoa Houthi na kuwarudisha kwenye Mashamba ya Mirungi Deal Done!

Amani inarejea Duniani.
Mmechelewa Iran hivi sasa ana nuclear weapon ameshasema kiongozi mkuu wa nuclear wa umoja wa mataifa. Hakuna wa kumzuia Iran. Beberu lazima aondolewe hapo Middle East
 
Mmechelewa Iran hivi sasa ana nuclear weapon ameshasema kiongozi mkuu wa nuclear wa umoja wa mataifa. Hakuna wa kumzuia Iran. Beberu lazima aondolewe hapo Middle East
Ayatolah hana lolote Mikwara mingi tu.
 
Kwa specifications ulizoziweka hapa, Hiyo Meli ni ya Ureno, unasemaje ni ya Israel? Au una report mambo yanayokuzidi kimo, umri na uelewa?
Au kwa kuwa inamilikiwa na Myahudi? Haujui kuwa ndani ya Iran Wayahudi pia wapo na wanamiliki Mali? Au haujui kwamba hata aliyewahi kuwa rais maarufu wa Karibuni nchini Iran na mwenye hesima kubwa ana asili ya Kiyahudi?
Hio tajiri la Isreal
 
Umemsikia Biden alivyobweka kuhusu Iran kuishambulia Israel!?..ukiipiga tutailinda,hapo kaisrael kamejificha nyuma ya mgongo wa marekani,hakana lolote
Isreal ikiwa pekee hata Jkt wanawapiga.
 
Ayatolah hana lolote Mikwara mingi tu.
Kula chuma hicho. Myahudi mwenyewe anakiri israeli imeshindwa wewe hapo tandika unaleta mdomo.
 

Attachments

  • 20240413_163933.jpg
    20240413_163933.jpg
    89.3 KB · Views: 2
Wewe huna lolote mahaba yako kwa wayahudi umekua kipofu unahitaji ukombolewe.
kwako facts ni mahaba? Ndivyo mlivyo, so hamshangazi. Haya twambie wewe hiyo habari ukilinganisha na hiyo location.
Ukishindwa endelea kupiga Takbir
 
Isreal ikiwa pekee hata Jkt wanawapiga.
Hata akiwa na bwanake hawawezi kufanya lolote mkuu. Nakupa mfano angalia hapo Ukraine wememwaga marekani na wenzake zaidi ya USd bilioni 150 ila leo zelensky anasema wiki haifiki atakua keshakimbia au kakamatwa na Putin.
 
kwako facts ni mahaba? Ndivyo mlivyo, so hamshangazi. Haya twambie wewe hiyo habari ukilinganisha na hiyo location.
Ukishindwa endelea kupiga Takbir
Huna fact kula chuma hiko. Huyo mwandishi ni muyahudi originally siyo wewe wa mchongo
 

Attachments

  • 20240413_163933.jpg
    20240413_163933.jpg
    89.3 KB · Views: 3
Back
Top Bottom