Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Huyo US kama Ukraine kashindwa huko Iran ndio anakwenda kuaibika mwambieni asijaribuHuu Mziki umeshanunuliwa na US sio tena Israel Ayatolah ajiandae kujificha kwenye mashimo kama Saddam.
Kameandikiwa hayo mkuu! Kwamba mmataifa yote yenye nguvu yatajipendekeza kukalinda!Umemsikia Biden alivyobweka kuhusu Iran kuishambulia Israel!?..ukiipiga tutailinda,hapo kaisrael kamejificha nyuma ya mgongo wa marekani,hakana lolote
Hawa ndo waandishi makanjanjaHuna fact kula chuma hiko. Huyo mwandishi ni muyahudi originally siyo wewe wa mchongo
Sir John Roberts tujukumbushane baada ya miezi miwili ijayo ikiwa Iran atajichanganyaHuyo US kama Ukraine kashindwa huko Iran ndio anakwenda kuaibika mwambieni asijaribu
Oo KumbeWewe nawe unadhani sisi ni watu wa kuchapwa tu kila siku na kulia lia kama kwamba hatuna akili timamu
Wazungu kwa muda mrefu wametafuta sababu ya kuipiga Iran kwa sababu ya kurutubisha Nyuklia, sasa naona sababu wameipata, wanataka Iran iingie directlyIsraeli hana uwezo wa kupigana na Iran. Angekua na uwezo angeshafanya siku nyingi sana. Tunajua anamtegemea huyo bwanaake marekani ila nae mchumba tu
Iran anayo nuclear tayari. Wanatakiwa wasimsubiri aingie kama kweli wamedhamiria walianzishe tu.Wazungu kwa muda mrefu wametafuta sababu ya kuipiga Iran kwa sababu ya kurutubisha Nyuklia, sasa naona sababu wameipata, wanataka Iran iingie directly
Una shida kubwa sana kichwani. So sorry for you.Huna fact kula chuma hiko. Huyo mwandishi ni muyahudi originally siyo wewe wa mchongo
Iran yupo vitani daily mkuu. Au unadhani Hezbollah, Houth na hao Islamic resistance wa Iraq ni nani? Hao kila siku wanaitwanga israeli. Chukua hiyo kutoka kwa muyahudi originally siyo nyie wa mchongo.Sir John Roberts tujukumbushane baada ya miezi miwili ijayo ikiwa Iran atajichanganya
Hahaha basi wapalestina 33 elfu wasingeuwaIsreal ikiwa pekee hata Jkt wanawapiga.
Washabiki wa Saddam wanaujua mzikiHuyo US kama Ukraine kashindwa huko Iran ndio anakwenda kuaibika mwambieni asijaribu
Aisee mkuu unamuongelea sadama ambaye hata nuclear kwajili ya kuzalisha umeme tu alikuwa hawezi kutengeneza? USA aliingia Iraq kuchukua mafuta kaka Iran anatengeneza ballistic missiles, anatengeneza nuclear bomb , ana tekonolojia yake na yupo kwenye sanctions zaidi ya miaka 40 unamlinganishaje na Saddam? Ebullient kuwa siriaz nakuheshimu ujueWashabiki wa Saddam wanaujua mziki
Mbona wakichapwa na Saddam hadi wakaomba po.Aisee mkuu unamuongelea sadama ambaye hata nuclear kwajili ya kuzalisha umeme tu alikuwa hawezi kutengeneza? USA aliingia Iraq kuchukua mafuta kaka Iran anatengeneza ballistic missiles, anatengeneza nuclear bomb , ana tekonolojia yake na yupo kwenye sanctions zaidi ya miaka 40 unamlinganishaje na Saddam? Ebullient kuwa siriaz nakuheshimu ujue
Hapa hoja sio inaelekea wapi bali hoja ni inamilikiwa na nani.Kaangalie ramani vizuri
Meli inamilikiwa na bilionia wa kiisrael.Kwa specifications ulizoziweka hapa, Hiyo Meli ni ya Ureno, unasemaje ni ya Israel? Au una report mambo yanayokuzidi kimo, umri na uelewa?
Au kwa kuwa inamilikiwa na Myahudi? Haujui kuwa ndani ya Iran Wayahudi pia wapo na wanamiliki Mali? Au haujui kwamba hata aliyewahi kuwa rais maarufu wa Karibuni nchini Iran na mwenye hesima kubwa ana asili ya Kiyahudi?
Nani huyoMbona wakichapwa na Saddam hadi wakaomba po.