bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,662
- 812
Kama ni hivo hao askari wa kiyahadi wanauliwa na kina nani huko Gaza? Kwa mujibu wa idf Tayari idadi vifo vya askari wa kiyahudi imefikia 60 huko Gaza ni nani anawauwa ?Wamekimbia wote [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yanachokoza then yanajificha nyuma ya watoto na wanawake ila humo humo Myahudi anapiga pigo takatifu! Kwann hao wanaume wasijitokeze kama watoto wao wanauwawa