Meli ya Israel yatekwa Yemen
Wamekimbia wote [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yanachokoza then yanajificha nyuma ya watoto na wanawake ila humo humo Myahudi anapiga pigo takatifu! Kwann hao wanaume wasijitokeze kama watoto wao wanauwawa
Kama ni hivo hao askari wa kiyahadi wanauliwa na kina nani huko Gaza? Kwa mujibu wa idf Tayari idadi vifo vya askari wa kiyahudi imefikia 60 huko Gaza ni nani anawauwa ?
 
Kama ni hivo hao askari wa kiyahadi wanauliwa na kina nani huko Gaza? Kwa mujibu wa idf Tayari idadi vifo vya askari wa kiyahudi imefikia 60 huko Gaza ni nani anawauwa ?
Kisingizio cha Yahudi ili waendelee kufanya unyama!
Nilikuwa mjeshi sijawahi kuona Uwazi KTK kueleza Waliokufa na majeruhi kwenye Medani ya vita[emoji56][emoji38][emoji38]
 
Unaona kabisa mtu anawashwa washwa kisa akianza kukunwa kisawasawa utasikia watu oohh unamuonea sasa anaonewa vipi na kataka mwenyewe.
 
Unaona kabisa mtu anawashwa washwa kisa akianza kukunwa kisawasawa utasikia watu oohh unamuonea sasa anaonewa vipi na kataka mwenyewe.
Wewe baba wa miaka 48 ukimuona mtoto mdogo wa miaka 10 anawashwawashwa utamkuna?
 
Ndo walikupiga Kamba hiyo madrasa ? waziri mkuu wa kwanza Israel ni David Ben gurion
But the fact remain the same that he was a terrorist!

Pia acha upumbavu wa stereotypes za kidini, unakufanya uonekane uko mpumbavu kiasi gani.—Unadhani kila mtu ni mdini hapa Jukwaani.
 
But the fact remain the same that he was a terrorist!

Pia acha upumbavu wa stereotypes za kidini, unakufanya uonekane uko mpumbavu kiasi gani.—Unadhani kila mtu ni mdini hapa Jukwaani.
But to say he was a first prime minister is a fallacy
Na wewe acha ubwege kwa kuongea uongo halafu usirekebishwe ....watu pekee wa aina yako ni wanaotoka huko nilipopataja
 
Maelewano ni lazima japan akubali kuacha kuwaunga mkono magaidi wa israeli.
Screenshot_20231120-202606_X.jpg

Hao ni maharamia kama wale Wasomali. Mwisho wa siku watadai pesa
 
Juzi wana jeshi w Houthi w Yemen waliitangazia Israel kua kuanzia hapo itazisaka na kuzikamata ama kuzilipua meli zote za Israt zinazobeba mizigo ya aian yoyote na kupita Red Sea

Jana walikamata meli moja.

Tazama meli hiyo jinsi ilivyotekwa.
20231120_205801.jpg


Well,
Israel said there were no Israelis on board the Galaxy Leader ship, but why is the seizure of the ship still a big issue for Israel?

Israeli officials insisted the ship was British-owned and Japanese-operated.

However, ownership details in public shipping databases associated the ship’s owners with Ray Car Carriers, founded by Abraham “Rami” Ungar, who is known as one of the richest men in Israel.

Founder of Ray Shipping Ltd and very close to former Mossad director Yossi Cohen.
 
Tatizo la waarabu wanachokoza kichaa wakiwa kwenye nyumba ya vioo. Wakianza kupelekewa moto wanaanza kulia kuomba huruma za kimataifa.
 
Back
Top Bottom